Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Somalia

  • Jinai mpya ya Marekani Somalia, Biden ameua Wasomali 465

    Jinai mpya ya Marekani Somalia, Biden ameua Wasomali 465

    Aug 22, 2022 02:21

    Shirika linalochunguza mashambulizi ya anga ya kimataifa limefichua kuwa Marekani inaficha idadi halisi ya vifo vya raia nchini Somalia na kwamba idadi ya waliopoteza maisha katika nchi hiyo ya Afrika ni mara 30 zaidi ya ile iliyotangazwa na Pentagon.

  • Waliouawa katika shambulio dhidi ya hoteli Mogadishu wapindukia 20

    Waliouawa katika shambulio dhidi ya hoteli Mogadishu wapindukia 20

    Aug 21, 2022 23:54

    Watu wasiopungua 21 wameuawa huku wengine 117 wakijeruhiwa, baada ya kundi la kigaidi la la al-Shabaab kuwashika mateka mamia ya watu katika hoteli moja huko Mogadishu, mji mkuu wa Somalia.

  • Watu 10 wauawa Mogadishu katika shambulio la magaidi wa al-Shabab

    Watu 10 wauawa Mogadishu katika shambulio la magaidi wa al-Shabab

    Aug 20, 2022 03:24

    Kwa akkali watu 10 wameuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa katika mji mkuu wa Somalia Mogadishu kufuatia hujuma na mashambulio ya wanamgambo wa kundi la kigaidi la al-Shabab.

  • Wanachama 13 wa genge la kigaidi la al Shabab waangamizwa Somalia

    Wanachama 13 wa genge la kigaidi la al Shabab waangamizwa Somalia

    Aug 15, 2022 02:36

    Vyombo vya habari vimeripoti kuwa, wanachama 13 wa genge la kigaidi ukufurishaji la al Shabab wameangamizwa katika shambulio la anga lililofanywa katikati ya Somalia.

  • Waziri auawa katika shambulio la al-Shabaab msikitini Somalia

    Waziri auawa katika shambulio la al-Shabaab msikitini Somalia

    Jul 30, 2022 05:55

    Waziri wa Sheria wa jimbo la Kusini Magharibi mwa Somalia, Hassan Ibrahim Lugbur pamoja na mtoto wake wa kiume ni miongoni mwa watu kadhaa waliouawa katika shambulio la kundi la kigaidi la al-Shabaab lililolenga waumini waliokuwa wamekusanyika msikitini kwa ajili ya Swala mjini Baidoa, kusini mwa nchi.

  • Miripuko ya mabomu yaua watu kadhaa kusini mwa Somalia

    Miripuko ya mabomu yaua watu kadhaa kusini mwa Somalia

    Jul 27, 2022 21:54

    Kwa akali watu watano akiwemo afisa wa ngazi ya juu wa serikali wameuawa katika miripuko pacha ya mabomu iliyotokea jana Jumatano kusini mwa Somalia.

  • Tahadhari ya UN kuhusu kusitishwa misaada ya kibinadamu Somalia

    Tahadhari ya UN kuhusu kusitishwa misaada ya kibinadamu Somalia

    Jul 25, 2022 06:40

    Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kuratibu Masuala ya Kibinadamu (OCHA) imeonya kuhusu kusimamishwa misaada ya kibinadamu nchini Somalia.

  • Marais wa EAC wajadili soko la pamoja Arusha, Somalia yataka uanachama

    Marais wa EAC wajadili soko la pamoja Arusha, Somalia yataka uanachama

    Jul 22, 2022 03:32

    Viongozi wa wa nchi za Jumuiya ya Afrika ya Mashariki (EAC), wameashiria miaka 11 tangu kuanzishwa kwa itifaki ya soko la pamoja na kusisitiza kuwa, kumekuwa na mafanikio makubwa ikiwepo kuongezeka kwa biashara, mitaji na ajira kwa nchi wanachama wa jumuiya ya Afrika na Mashariki.

  • Al-Shabaab yaua watu 17 katika shambulio karibu na Ethiopia

    Al-Shabaab yaua watu 17 katika shambulio karibu na Ethiopia

    Jul 21, 2022 22:42

    Kundi la kigaidi la al-Shabaab la Somalia limefanya shambulio nadra karibu na nchi jirani ya Ethiopia, lililopelekea kuuawa watu wasiopungua 17, wakiwemo raia watatu.

  • AU yatuma askari polisi wapya 160 wa Nigeria huko nchini Somalia

    AU yatuma askari polisi wapya 160 wa Nigeria huko nchini Somalia

    Jul 15, 2022 22:16

    Kikosi cha Mpito cha Umoja wa Afrika nchini Somalia (ATMIS) kimepokea askari polisi 160 kutoka Nigeria, watakaikisaidia katika jitihada za kurejesha uthabiti katika nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS