Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan

  • Jumuiya ya Nchi za Kiarabu yaunga mkono mwafaka wa kisiasa uliofikiwa nchini Sudan

    Jumuiya ya Nchi za Kiarabu yaunga mkono mwafaka wa kisiasa uliofikiwa nchini Sudan

    Nov 24, 2021 12:49

    Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu amesema, jumuiya hiyo inaunga mkono makubaliano ya kisiasa yaliyofikiwa nchini Sudan.

  • Mwanadiplomasia wa zamani: Israel na Misri ziliunga mapinduzi ya kijeshi Sudan

    Mwanadiplomasia wa zamani: Israel na Misri ziliunga mapinduzi ya kijeshi Sudan

    Nov 24, 2021 04:03

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Zamani wa Sudan amesema kuwa, Misri na utawala wa Kizayuni wa Israel ziliunga mkono mapinduzi ya kijeshi nchini mwake.

  • AU yapongeza kufikiwa makubaliano ya kisiasa Sudan, maandamano yaendelea

    AU yapongeza kufikiwa makubaliano ya kisiasa Sudan, maandamano yaendelea

    Nov 22, 2021 08:42

    Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika amepongeza hatua ya kufikiwa makubaliano mapya ya kisiasa nchini Sudan akisisitiza kuwa, mapatano hayo ni hatua moja mbele ya kurejesha utawala wa Katiba nchini humo.

  • Mapatano ya kisiasa Sudan; kuendelea mgogoro

    Mapatano ya kisiasa Sudan; kuendelea mgogoro

    Nov 22, 2021 07:50

    Kufuatia kuendelea maandamano na malalamiko ya watu wa Sudan, hatimaye majenerali wanaotawala nchi hiyo wamefikia mapatano na Waziri Mkuu Abdalla Hamdok kwa ajili ya kutatua mgogoro unaoikabili nchi hiyo. Kwa msingi huo Hamdok tokea Jumatatu anaendelea kuhudumu kama waziri mkuu wa Sudan.

  • Jeshi la Sudan lamrejesha Hamdok kuwa Waziri Mkuu

    Jeshi la Sudan lamrejesha Hamdok kuwa Waziri Mkuu

    Nov 21, 2021 07:22

    Hatimaye kufuatia mashinikizo ya ndani na nje ya nchi, jeshi la Sudan limekubali kumrejesha Abdallah Hamdok kuwa Waziri Mkuu wa nchi hiyo, sambamba na kuwaachia huru viongozi wa kiraia waliotiwa mbaroni baada ya kujiri mapinduzi ya kijeshi tarehe 25 Oktoba mwaka huu.

  • UN: Mauaji ya waandamanaji Sudan ni ukiukaji mkubwa wa haki za binadamu

    UN: Mauaji ya waandamanaji Sudan ni ukiukaji mkubwa wa haki za binadamu

    Nov 19, 2021 08:09

    Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa amelaani vikali mauaji ya watu 39 nchini Sudan yaliyofanywa na vikosi vya ulinzi tangu yalipofanyika mapinduzi ya kijeshi nchini humo tarehe 25 Oktoba mwaka huu.

  • Le Monde: Sudan inaishi siku zake mbaya zaidi za umwagaji damu tangu baada ya mapinduzi

    Le Monde: Sudan inaishi siku zake mbaya zaidi za umwagaji damu tangu baada ya mapinduzi

    Nov 18, 2021 23:28

    Gazeti la Le Monde la Ufaransa limeripoti kuwa Sudan inaishi katika kipindi kibaya zaidi cha ukandamizaji na mauaji ya raia tangu baada ya mapinduzi ya kijeshi ya tarehe 25 Oktoba mwaka huu yaliyoindoa madarakani serikali ya kipindi cha mpito.

  • Kenya na Marekani zajadili namna ya kukomesha machafuko Sudan na Ethiopia

    Kenya na Marekani zajadili namna ya kukomesha machafuko Sudan na Ethiopia

    Nov 18, 2021 04:44

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Antony Blinken amekutana na kufanya mazungumzo na Rais Uhuru wa Kenyatta wa Kenya kujadili namna ya kuhitimisha machafuko katika nchi za Sudan na Ethiopia.

  • Kuendelea mgogoro wa kisiasa nchini Sudan

    Kuendelea mgogoro wa kisiasa nchini Sudan

    Nov 15, 2021 10:35

    Maandamano ya kupinga mapinduzi yaliyofanywa na Jeshi la Sudan dhidi ya serikali ya mpito ya nchi hiyo yangali yanaendelea huku wananchi wakitaka kurejeshwa madarakani serikali ya kiraia. Sambamba na hayo ripoti iliyotolewa Jumatatu na Tume ya Madaktari wa Sudan inasema idadi ya watu waliouawa kwa kupigwa risasi na wanajeshi katika maandamano ya Jumamosi iliyopita imefikia watu 8.

  • Umoja wa Afrika kutuma mjumbe nchini Sudan kutafuta suluhisho la mgogoro wa kisiasa

    Umoja wa Afrika kutuma mjumbe nchini Sudan kutafuta suluhisho la mgogoro wa kisiasa

    Nov 14, 2021 23:18

    Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika amesema umoja huo utatuma mjumbe nchini Sudan kwa ajili ya kutafuta suluhisho la mgogoro wa kisaisa nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS