-
Jumuiya ya Nchi za Kiarabu yaunga mkono mwafaka wa kisiasa uliofikiwa nchini Sudan
Nov 24, 2021 12:49Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu amesema, jumuiya hiyo inaunga mkono makubaliano ya kisiasa yaliyofikiwa nchini Sudan.
-
Mwanadiplomasia wa zamani: Israel na Misri ziliunga mapinduzi ya kijeshi Sudan
Nov 24, 2021 04:03Waziri wa Mambo ya Nje wa Zamani wa Sudan amesema kuwa, Misri na utawala wa Kizayuni wa Israel ziliunga mkono mapinduzi ya kijeshi nchini mwake.
-
AU yapongeza kufikiwa makubaliano ya kisiasa Sudan, maandamano yaendelea
Nov 22, 2021 08:42Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika amepongeza hatua ya kufikiwa makubaliano mapya ya kisiasa nchini Sudan akisisitiza kuwa, mapatano hayo ni hatua moja mbele ya kurejesha utawala wa Katiba nchini humo.
-
Mapatano ya kisiasa Sudan; kuendelea mgogoro
Nov 22, 2021 07:50Kufuatia kuendelea maandamano na malalamiko ya watu wa Sudan, hatimaye majenerali wanaotawala nchi hiyo wamefikia mapatano na Waziri Mkuu Abdalla Hamdok kwa ajili ya kutatua mgogoro unaoikabili nchi hiyo. Kwa msingi huo Hamdok tokea Jumatatu anaendelea kuhudumu kama waziri mkuu wa Sudan.
-
Jeshi la Sudan lamrejesha Hamdok kuwa Waziri Mkuu
Nov 21, 2021 07:22Hatimaye kufuatia mashinikizo ya ndani na nje ya nchi, jeshi la Sudan limekubali kumrejesha Abdallah Hamdok kuwa Waziri Mkuu wa nchi hiyo, sambamba na kuwaachia huru viongozi wa kiraia waliotiwa mbaroni baada ya kujiri mapinduzi ya kijeshi tarehe 25 Oktoba mwaka huu.
-
UN: Mauaji ya waandamanaji Sudan ni ukiukaji mkubwa wa haki za binadamu
Nov 19, 2021 08:09Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa amelaani vikali mauaji ya watu 39 nchini Sudan yaliyofanywa na vikosi vya ulinzi tangu yalipofanyika mapinduzi ya kijeshi nchini humo tarehe 25 Oktoba mwaka huu.
-
Le Monde: Sudan inaishi siku zake mbaya zaidi za umwagaji damu tangu baada ya mapinduzi
Nov 18, 2021 23:28Gazeti la Le Monde la Ufaransa limeripoti kuwa Sudan inaishi katika kipindi kibaya zaidi cha ukandamizaji na mauaji ya raia tangu baada ya mapinduzi ya kijeshi ya tarehe 25 Oktoba mwaka huu yaliyoindoa madarakani serikali ya kipindi cha mpito.
-
Kenya na Marekani zajadili namna ya kukomesha machafuko Sudan na Ethiopia
Nov 18, 2021 04:44Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Antony Blinken amekutana na kufanya mazungumzo na Rais Uhuru wa Kenyatta wa Kenya kujadili namna ya kuhitimisha machafuko katika nchi za Sudan na Ethiopia.
-
Kuendelea mgogoro wa kisiasa nchini Sudan
Nov 15, 2021 10:35Maandamano ya kupinga mapinduzi yaliyofanywa na Jeshi la Sudan dhidi ya serikali ya mpito ya nchi hiyo yangali yanaendelea huku wananchi wakitaka kurejeshwa madarakani serikali ya kiraia. Sambamba na hayo ripoti iliyotolewa Jumatatu na Tume ya Madaktari wa Sudan inasema idadi ya watu waliouawa kwa kupigwa risasi na wanajeshi katika maandamano ya Jumamosi iliyopita imefikia watu 8.
-
Umoja wa Afrika kutuma mjumbe nchini Sudan kutafuta suluhisho la mgogoro wa kisiasa
Nov 14, 2021 23:18Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika amesema umoja huo utatuma mjumbe nchini Sudan kwa ajili ya kutafuta suluhisho la mgogoro wa kisaisa nchini humo.