-
5 wauawa katika maandamano dhidi ya utawala wa kijeshi nchini Sudan
Nov 14, 2021 00:16Kwa akali watu watano wameuawa huku makumi ya wengine wakijeruhiwa katika maandamano ya kupinga utawala wa kijeshi nchini Sudan.
-
Wananchi wa Sudan waandamana usiku wakipinga utawala wa kijeshi
Nov 13, 2021 00:50Wananchi wa Sudan wamefanya maandamano usiku wa kumkia leo wakilalamikia mapinduzi ya kijeshi ya nchi hiyo na hatua ya Jenerali Abdul-Fatah al-Burhan ya kuunda Baraza la Utawala.
-
Wanaharakati Sudan watangaza migomo, wakataa pendekezo la kugawana madaraka na jeshi
Nov 07, 2021 08:37Harakati inayoongoza maandamano ya upinzani nchini Sudan imetangaza migomo ya nchi nzima kwa muda wa siku mbili sambamba na kupinga juhudi zinazoungwa mkono kimataifa za kurejesha utaratibu wa kugawana madaraka na jeshi kufuatia mapinduzi ya kijeshi yaliyotokea nchini humo mwishoni mwa mwezi uliopita.
-
Muungano wa Jumuiya za Wafanyakazi Sudan wataka kuanzishwa uasi wa kiraia nchini humo
Nov 05, 2021 08:44Muungano wa Jumuiya za Wafanyakazi nchini Sudan umewataka wananchi wa nchi hiyo kuanzisha uasi wa kiraia dhidi ya mapinduzi ya kijeshi.
-
Kiongozi wa kijeshi Sudan aamuru mawaziri 4 waliowekwa kizuizini wakati wa mapinduzi waachiwe huru
Nov 05, 2021 04:19Televisheni ya serikali ya Sudan imetangaza kuwa, Kiongozi wa kijeshi Jenerali Abdel Fattah al-Burhan ametoa amri ya kuachiwa huru mawaziri wanne wa kiraia waliowekwa kizuizini tangu alipoongoza mapinduzi ya kijeshi yaliyotokea wiki iliyopita.
-
Jenerali al Burhan alitembelea Misri kwanza kabla ya kufanya mapinduzi Sudan
Nov 04, 2021 08:32Gazeti moja la nchini Marekani limefichua kuwa, kamanda wa jeshi la Sudan alitembelea Misri siku moja tu kabla ya kuongoza mapinduzi ya kijeshi nchini Sudan.
-
Ujumbe wa Israel uliitembelea Sudan baada ya mapinduzi
Nov 03, 2021 04:13Ujumbe wa utawala wa Kizayuni wa Israel unaripotiwa kuitembelea Sudan kwa siri na kificho, muda mfupi baada ya kujiri mapinduzi ya kijeshi yaliyofanyika Oktoba 25 mwaka huu katika nchi hiyo ya Kiarabu.
-
Watu watano wafariki dunia katika ajali ya ndege Sudan Kusini
Nov 03, 2021 00:04Watu watano wamefariki dunia katika ajali ya ndege ndogo ya mizigo ambayo ilianguka jana Jumanne, muda mfupi baada ya kuruka katika Uwanja wa Ndege wa Juba, nchini Sudan Kusini.
-
Kamanda wa Jeshi la Sudan amfuta kazi mwendesha mashtaka wa nchi hiyo
Nov 01, 2021 12:38Abdel Fattah al Burhan Mkuu wa Baraza la Kijeshi la Sudan amemfuta kazi mwendesha mashtaka na mahakimu wengine saba wa nchi hiyo.
-
Kushadidi hali ya mgogoro huko Sudan
Oct 30, 2021 22:52Mgogoro nchini Sudan umezidi kuwa mkubwa. Wanajeshi wangali wanashikilia madaraka; na Abdel Fattah al Burhan Kamanda Mkuu wa Jeshi la nchi hiyo ametangaza kuwa siku kadhaa zijazo atatangaza majina ya Waziri Mkuu Mpya na wajumbe wa Baraza la Uongozi. Hii ni katika hali ambayo wananchi wa Sudan wanaendelea kumiminika mitaani kupinga kuendelea wanajeshi kuiongoza nchi hiyo.