-
Syria yalaani chokochoko na uvamizi wa Uturuki
Sep 20, 2021 22:07Wizara ya Mambo ya Nje ya Syria imelaani hatua za Uturuki za kukiuka mamlaka ya kujitawala na umoja wa ardhi nzima ya nchi hiyo na kusisitiza kuwa Syria ina haki ya kujibu chokochoko hizo.
-
Wamarekani waiba shehena nyingine ya mafuta ya Syria
Sep 15, 2021 01:51Wanajeshi magaidi na wavamizi wa Marekani wameiba shehena nyingine ya mafuta ya wananchi wa Syria.
-
Russia yaionya Israel isiendelee kufanya mashambulio nchini Syria
Sep 09, 2021 03:02Mwandishi wa televisheni ya al Mayadeen mjini Moscow amefichua kuwa viongozi wa Russia wamekusudia kutoa onyo kwa waziri wa mambo ya nje wa utawala wa Kizayuni ili Israel isifanye tena mashambulizi nchini Syria.
-
Russia: Jeshi la Syria limetungua makombora 21 kati ya 24 ya Israeli
Sep 04, 2021 22:10Jeshi la Russia linasema makombora ya ulinzi wa anga ya Jeshi la Syria yametungua aghalabu ya makombora ya Israeli yaliyokuwa yamevurumishwa kuelekea kwenye mji mkuu wa nchi hiyo, Damascus hivi karibuni.
-
Tathmini kuhusu hatua ya Marekani kuondoka katika vituo vyake vitatu vya kijeshi Syria
Sep 03, 2021 07:15Marekani imeondoka katika vituo vyake vitatu vya kijeshi vilivyoko katika mikoa ya Deir ez-Zor na Al-Hasakah nchini Syria.
-
Mkuu mpya wa Shin Bet ya Israel aliongoza mauaji ya kamanda wa tawi la kijeshi la HAMAS
Sep 02, 2021 21:57Kwa mara ya kwanza, gazeti la Kizayuni la Yediot Ahronot limetoa taarifa kuhusu mkuu mpya wa shirika la usalama wa ndani la utawala haramu wa Kizayuni wa Israel Shin Bet na kueleza kuwa, afisa huyo ndiye aliyeongoza mauaji ya kigaidi ya mwaka 2012 ya kamanda mwandamizi wa Izzuddinul-Qassam, tawi la kijeshi la harakati ya HAMAS ya Palestina.
-
Magaidi wajisalimisha kwa jeshi la Syria katika eneo la Dar'a
Sep 01, 2021 22:29Duru za habari zimetangaza kuwa, kundi la watu wenye silaha la eneo la Dar'a wa kusini mwa Syria limejisalimisha kwa jeshi la nchi hiyo na Kiarabu na kukabidhi silaha zao.
-
Kambi ya kijeshi ya Marekani yashambuliwa kwa maroketi Deir ez-Zor
Sep 01, 2021 02:51Duru za kiusalama zimeripoti habari ya kushambuliwa kwa maroketi kambi ya kijeshi ya Marekani katika mkoa wa Deir ez-Zor, mashariki mwa Syria.
-
Mawaziri wa mambo ya nje wa Iran na Syria wakutana na kuzungumza mjini Damascus
Aug 29, 2021 08:01Mawaziri wa mambo ya nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Syria wamekutana na kufanya mazungumzo katika mji mkuu wa Syria, Damascus.
-
Iran yataka kupelekwa misaada zaidi ya kibinadamu nchini Syria
Aug 24, 2021 03:10Msaidizi Mwandamizi wa Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran katika Masuala Maalumu ya Kisiasa ametoa mwito wa kupelekwa nchini Syria misaada zaidi ya kibinadamu.