-
Wairani washukuriwa kwa kushiriki maadhimisho ya Mapinduzi
Feb 12, 2016 11:48Khatibu wa Sala ya Ijumaa mjini Tehran amewashukuru wananchi wa Iran kwa kujitokeza kwa wingi katika maandamano ya 22 Bahman (11 Februari) kwa mnasaba wa kuadhimisha ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu.