-
Mafanikio ya Iran katika uga wa sayansi na teknolojia baada ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu
Feb 09, 2020 08:07Iran wiki hii inaadhimisha mwaka wa 41 wa ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu na katika kipindi cha miongo minne iliyopita, kati ya mafanikio makubwa ambayo yameweza kupatikana ni ustawi wa kasi katika uga wa sayansi na teknolojia.
-
Kongamano la Saba la Kimataifa la Robotiki na Mekatroniki lafanyika Iran
Nov 25, 2019 08:06Hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kujiunga nami katika makala hii ya 102 ambayo huangazia baadhi ya matukio muhimu kuhusu sayansi na teknolojia nchini Iran na maeneo mengine duniani. Ni matumaini yangu kuwa utaweza kunufaika.
-
Sayansi na Teknolojia 101
Nov 18, 2019 08:07Hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kujiunga nami katika makala hii ambayo huangazia mafanikio ya sayansi na teknolojia nchini Iran na maeneo mengine duniani. Ni matumaini yangu kuwa utaweza kunufaikan na niliyokuandalia.
-
Iran yazindua mafanikio 114 ya nyuklia
Apr 09, 2019 15:07Katika sherehe za 13 za Siku ya Kitaifa ya Nyuklia, Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amezindua mafanilkio 114 ya nyuklia nchini.
-
Russia yakanusha madai ya Marekani kwamba imeipatia Korea Kaskazini teknolojia ya makombora
Jan 18, 2019 15:38Balozi wa Russia nchini Korea Kaskazini amekanusha tuhuma za viongozi wa Marekani dhidi ya nchi yake kwamba Moscow imeipatia Pyongyang teknolojia ya makombora na kuongeza kwamba, tuhuma hizo ni za kuudhi kama ambavyo hazina msingi wowote.