• UN yatiwa wasi wasi na matamshi ya chuki na ubaguzi katika kampeni za US

    UN yatiwa wasi wasi na matamshi ya chuki na ubaguzi katika kampeni za US

    Apr 16, 2016 07:25

    Umoja wa Mataifa umekosoa vikali matamshi ya chuki na kichochezi yanayotolewa na baadhi ya wagombea na hususan wa chama cha Republican katika kampeni za urais nchini Marekani.

  • Dunia yakumbuka siku ya ubaguzi wa rangi

    Dunia yakumbuka siku ya ubaguzi wa rangi

    Mar 24, 2016 06:31

    Wapenzi wasikilizaji wiki hii tarehe 21 Machi ilikuwa ni siku ya kutokomeza ubaguzi wa rangi duniani. Siku hii hukumbukwa kwa mnasaba wa mauaji ya waandamanaji wazalendo Waafrikadhidi ya ubaguzi wa rangi, mjini Sharpeville, Afrika Kusini, tarehe 21, Machi, mwaka 1960. Katika tukio hilo, waandamanaji wapatao 60 walipigwa risasi na kuuawa na polisi wa utawala wa makabaru waliokuwa wakitawala nchi hiyo. Karibuni......@