-
Changamoto mpya zamkumba Rais Trump wa Marekani
Aug 23, 2018 22:13Tokea wakati Rais Donald Trump wa Marekani alipoingia madarakani hadi sasa, amekumbwa na changamoto nyingi ndani ya nchi. Moja ya changamoto hizo ni tuhuma kuwa Russia ilihusika katika kuingilia mchakato wa uchaguzi wa rais wa Marekani mwaka 2016 kwa maslahi ya Trump.
-
Marekani yakiri kushindwa kukabiliana na hujuma za kimtandao wakati wa uchaguzi
Jul 25, 2017 03:30Wataalamu wa mtandao wa nchini Marekani (Cyber) wamekiri kushindwa vyombo vya upelelezi vya nchi hiyo kulinda usalama wa kimtandao wakati wa uchaguzi.