Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ufaransa

  • Mkaguzi mkuu wa magereza Ufaransa: Hali ya magereza nchini ni

    Mkaguzi mkuu wa magereza Ufaransa: Hali ya magereza nchini ni "mbaya, ya aibu na ya majanga"

    Jun 01, 2026 02:39

    Wizara ya Sheria ya Ufaransa imetangaza kwamba idadi ya wafungwa nchini humo imefikia zaidi ya watu 88,600, ambayo ni kubwa zaidi kuwahi kurekodiwa katika historia ya nchi hiyo.

  • Rais Macron akabiliwa na upinzani baada ya matamshi yake makali kwenye mkutano wa Nairobi

    Rais Macron akabiliwa na upinzani baada ya matamshi yake makali kwenye mkutano wa Nairobi

    May 13, 2026 12:14

    Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron anakabiliwa na upinzani mkali baada ya kukatiza kikao cha mjadala katika kongamano la Africa Forward Summit nchini Kenya akiwataka hadhirina wanyamaze kimya.

  • Kenya yataka Afrika ipewe kiti cha kudumu katika Baraza la Usalama la UN

    Kenya yataka Afrika ipewe kiti cha kudumu katika Baraza la Usalama la UN

    May 12, 2026 14:25

    Rais wa Kenya, William Ruto, ametoa wito kwa Afrika kupewa uanachama wa kudumu katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, takwa ambalo limeungwa mkono na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres.

  • Pezeshkian amwambia Macron: Iran yataka diplomasia huku ikisisitiza kulinda haki za taifa

    Pezeshkian amwambia Macron: Iran yataka diplomasia huku ikisisitiza kulinda haki za taifa

    May 07, 2026 08:07

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Masoud Pezeshkian, amemwambia mwenzake wa Ufaransa, Emmanuel Macron, kuwa Tehran iko tayari kuendelea kwa dhati na njia za kidiplomasia ili kukomesha vita, huku ikisisitiza umuhimu wa kulindwa haki za taifa la Iran.

  • Rais wa Iran amwambia Macron: US, Israel ndio mzizi wa ukosefu wa usalama katika eneo

    Rais wa Iran amwambia Macron: US, Israel ndio mzizi wa ukosefu wa usalama katika eneo

    Mar 16, 2026 06:04

    Rais wa Iran amesema Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel ndizo chimbuko la ukosefu wa usalama na uthabiti katika eneo la Asia Magharibi, akisisitiza kuwa Jamhuri ya Kiislamu haitasita kukabiliana na wavamizi.

  • Ufaransa yairejeshea Ivory Coast 'ngoma inayozungumza' waliyoiiba askari wake karne moja iliyopita

    Ufaransa yairejeshea Ivory Coast 'ngoma inayozungumza' waliyoiiba askari wake karne moja iliyopita

    Feb 22, 2026 03:19

    Ufaransa imekabidhi "ngoma inayozungumza" ambayo iliporwa na wanajeshi wake wa kikoloni nchini Ivory Coast mnamo mwaka 1916, katika hatua ya karibuni zaidi kuchukuliwa na serikali ya Paris ya kurejesha vito vya sanaa ilivyoviiba kwenye makoloni yake ya zamani.

  • Mauaji ya Halaiki ya Thiaroye; miaka 80 ya kufichwa tukio kubwa zaidi la umwagaji damu uliofanywa na Mkoloni Mfaransa Afrika

    Mauaji ya Halaiki ya Thiaroye; miaka 80 ya kufichwa tukio kubwa zaidi la umwagaji damu uliofanywa na Mkoloni Mfaransa Afrika

    Feb 20, 2026 08:38

    Mauaji ya Thiaroye ni mojawapo ya jinai na uhalifu mkubwa zaidi wa umwagaji damu na uliofichika zaidi, ambao ulifanywa na Ufaransa wakati wa utawala wake wa kikoloni nchini Senegal.

  • Ijumaa, tarehe 20 Februari, 2026

    Ijumaa, tarehe 20 Februari, 2026

    Feb 19, 2026 23:19

    Leo ni Ijumaa tarehe Pili Ramadhani 1447 Hijria sawa na Februari 20 mwaka 2026.

  • Mateso ya Ukoloni: Majaribio ya Nyuklia ya Ufaransa nchini Algeria, Uhalifu Ambao Hautasahaulika

    Mateso ya Ukoloni: Majaribio ya Nyuklia ya Ufaransa nchini Algeria, Uhalifu Ambao Hautasahaulika

    Feb 18, 2026 23:54

    Wakati wa ukoloni wa Ufaransa nchini Algeria, moja ya sura nyeusi na ya uhalifu mkubwa zaidi ilikuwa majaribio ya nyuklia katika ardhi ya nchi hiyo na kwa watu wake.

  • Jumanne, 10 Februari, 2026

    Jumanne, 10 Februari, 2026

    Feb 09, 2026 23:04

    Leo ni Jumanne tarehe 21 Sha'ban 1447 Hijria, sawa na tarehe 10 Februari 2026.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS