Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ufaransa

  • Tunisia yaijia juu polisi ya Ufaransa kwa kuua raia wake Marseille

    Tunisia yaijia juu polisi ya Ufaransa kwa kuua raia wake Marseille

    Sep 04, 2025 07:36

    Tunisia imewasilisha malalamiko rasmi kwa Ufaransa, ikilaani mauaji ya raia wa nchi hiyo ya Kiarabu yaliyofanywa na polisi wa Ufaransa katika mji wa kusini wa Marseille.

  • Ufaransa yaharakisha kurejesha turathi za kale za nchi za Kiafrika bila ya kuidhinishwa na Bunge

    Ufaransa yaharakisha kurejesha turathi za kale za nchi za Kiafrika bila ya kuidhinishwa na Bunge

    Aug 06, 2025 03:55

    Serikali ya Ufaransa inafanya jitihada za kuharakisha kurejesha turathi za kale za nchi za Kiafrika katika nchi ilizozikoloni.

  • Ulaya kuitambua rasmi Palestina ni hatua iliyochukuliwa kwa kuchelewa au ni ubadilishaji wa mkakati tu?

    Ulaya kuitambua rasmi Palestina ni hatua iliyochukuliwa kwa kuchelewa au ni ubadilishaji wa mkakati tu?

    Aug 01, 2025 02:45

    Siku chache baada ya Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa kutangaza kuwa atalitambua rasmi taifa la Palestina katika Mkutano Mkuu wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, serikali ya Uingereza nayo pia imesisitiza kuwa hivi karibuni itaitambua nchi ya Palestina.

  • Marekani na China zashutumiana vikali kwenye Baraza la Usalama la UN kuhusiana na Russia

    Marekani na China zashutumiana vikali kwenye Baraza la Usalama la UN kuhusiana na Russia

    Jul 27, 2025 09:56

    Marekani na China zimeshutumiana vikali wakati wa kikao cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuhusu madai ya kuihusisha Beijing katika mzozo wa Ukraine.

  • Je, umewadia sasa wakati wa kuhitimishwa ukoloni wa Ufaransa barani Afrika?

    Je, umewadia sasa wakati wa kuhitimishwa ukoloni wa Ufaransa barani Afrika?

    Jul 20, 2025 11:51

    Ufaransa imehitimisha muda wa zaidi ya miaka sitini ya uwepo wake wa kudumu wa kijeshi nchini Senegal kwa kukabidhi kambi ya kijeshi ya Geille iliyoko mjini Dakar kwa jeshi la nchi hiyo.

  • Ufaransa yakabidhi kambi za mwisho Senegal, yahitimisha uwepo wa kijeshi wa miongo kadhaa

    Ufaransa yakabidhi kambi za mwisho Senegal, yahitimisha uwepo wa kijeshi wa miongo kadhaa

    Jul 17, 2025 14:15

    Ufaransa jana Alkhamisi ilikabidhi kambi zake za mwisho za kijeshi nchini Senegal, kuashiria kumalizika kwa uwepo wa kijeshi wa mkoloni huyo wa zamani katika nchi hiyo ya Afrika Magharibi kwa miongo kadhaa.

  • Nini lengo la Umoja wa Ulaya katika kuzidisha vikwazo dhidi ya Iran?

    Nini lengo la Umoja wa Ulaya katika kuzidisha vikwazo dhidi ya Iran?

    Jul 17, 2025 02:35

    Umoja wa Ulaya, ukifuata nyayo za Marekani, umeendeleza siasa za kuzidisha mashinikizo dhidi ya Iran katika nyanja mbalimbali katika muhula wa pili wa uongozi wa Donald Trump kwa shabaha ya kuilazimisha Tehran isalimu amri mbele ya matakwa ya kupindukia mipaka ya nchi za Magharibi.

  • Wafanyakazi wa bandari Ufaransa, Italia wazuia kupelekwa silaha Israel

    Wafanyakazi wa bandari Ufaransa, Italia wazuia kupelekwa silaha Israel

    Jun 07, 2025 06:58

    Wafanyakazi wa bandari za Ufaransa na Italia wameendelea kufanya mgomo wao na kukataa kupakia shehena za silaha na zana za kijeshi zinazopelekwa Israel, wakisema kuwa hawatahusika katika "mauaji ya halaiki" yanayoendelea Gaza.

  • Israel yamjibu Macron: Kutambuliwa Palestina kutasalia kwenye karatasi tu

    Israel yamjibu Macron: Kutambuliwa Palestina kutasalia kwenye karatasi tu

    May 31, 2025 02:22

    Waziri wa Vita wa Israel, Israel Katz amemsuta na kumkejeli Rais wa Ufaransa, Emmanuel Macron, ambaye alisema mapema jana kwamba, kutambuliwa kwa taifa la Palestina, kwa masharti, ni "wajibu wa kimaadili."

  • Ijumaa, tarehe 30 Mei, 2025

    Ijumaa, tarehe 30 Mei, 2025

    May 30, 2025 03:06

    Leo ni Ijumaa tarehe 03 Dhulhija 1446 Hijria sawa na 30 Mei mwaka 2025.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS