-
Iran: Ufaransa itoe maelezo ya kukamatwa Muirani, mtetezi wa Palestina
Apr 15, 2025 03:15Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amekosoa vikali kitendo cha Ufaransa cha kukataa kutoa maelezo ya kukamatwa Mahdieh Esfandiari, raia wa Iran anayeishi katika mji wa Lyon, kaskazini mwa magharibi mwa Ufaransa, zaidi ya mwezi mmoja baada kutiwa kwake mbaroni na vyombo vya usalama vya nchi hiyo ya Ulaya.
-
Algeria yawapa wanadiplomasia wa Ufaransa saa 48 waondoke nchini humo
Apr 14, 2025 13:09Mvutano wa kidiplomasia kati ya Algeria na Ufaransa umezidi kupamba moto huku serikali ya Algiers ikiwataka wanadiplomasia 12 wa mkoloni huyo wa zamani wa Ulaya kuondoka nchini humo ndani ya saa 48.
-
Alkhamisi, Aprili 10, 2025
Apr 10, 2025 02:47Leo ni Alkhamisi tarehe 11 Mfunguo Mosi Shawwal 1446 Hijria inayosadifiana na tarehe 10 Aprili 2025 Milaadia.
-
National Interest: Mji wa makombora wa Iran unaonyesha nguvu ya nchi hiyo
Apr 01, 2025 02:46Gazeti la Marekani la National Interest limeuchambua mji mpya wa makombora wa Iran na kusisitiza kwamba, kufichuliwa mji huo huku hali ya wasiwasi ikiongezeka katika Bahari Nyekundu na Asia Magharibi, ni ujumbe kwa Marekani na maadui wa Iran.National Interest imekiri katika ripoti yake kwamba hifadhi ya makombora ya Iran imeongezeka kwa kiasi kikubwa katika muongo mmoja uliopita.
-
Mwanamke anayechukia Waislamu apatikana na hatia ubadhirifu Ufaransa
Apr 01, 2025 02:40Mahakama moja nchini Ufaransa jana Jumatatu ilimpata na hatia ya ubadhirifu, Marine Le Pen, aliyekuwa mgombea urais wa Ufaransa kwa mihula miwili na kiongozi wa chama cha National Rally (RN) chenye chuki dhidi ya Waislamu. Hukumu hiyo itaathiri mustakabali wake wa kisiasa, hasa kugombea katika uchaguzi wa rais wa Ufaransa wa 2027.
-
Niger yajitoa rasmi katika Jumuiya ya Nchi Zinazozungumza Kifaransa, Francophone
Mar 19, 2025 04:14Niger imejiondoa rasmi katika Jumuiya ya Kimataifa ya nchi zinazozungumza Kifaransa (OIF) au Francophone sambamba na juhudi zinazoendelea kufanywa na taifa hilo la Afrika Magharibi za kuvunja uhusiano na kujitenga na mkoloni wake wa zamani, Ufaransa.
-
Waziri wa Fedha wa Ufaransa: Kuna udharura wa kujibu 'Vita vya kijinga' vya Trump
Mar 15, 2025 02:24Waziri wa Fedha wa Ufaransa amevitaja vitisho vya Rais wa Marekani, Donald Trump vya kutoza ushuru wa asilimia 200 kwa uagizaji wa bidhaa za Umoja wa Ulaya kuwa ni vya "kijinga".
-
Le Pen: Vita vya maneno katika Ikulu ya White House kofi la uso kwa Ulaya
Mar 02, 2025 06:37Marine Le Pen, kiongozi wa chama cha mrengo wa kulia wa Ufaransa, ameutaja mkutano wa hivi karibuni kati ya viongozi wa Ukraine na Marekani kuwa ni ishara ya utegemezi wa nchi za Ulaya kwa Marekani.
-
Jumamosi, 01 Machi, 2025
Mar 01, 2025 02:57Leo ni Jumamosi 30 Shaaban 1446 Hijria sawa na tarehe Mosi Machi 2025 Miladia.
-
Jumamosi, 15 Februari, 2025
Feb 15, 2025 02:40Leo ni Jumamosi 16 Shaaban 1446 Hijria mwafaka na 15 Februari 2025 Miladia.