-
Ufaransa yatuhumiwa kuwa na nafasi katika machafuko ya Jamhuri ya Afrika ya Kati
Feb 28, 2016 13:02Wanasiasa nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati wameituhumu Ufaransa kuwa ina nafasi kuu katika kuzusha machafuko nchini humo.
-
Vikosi maalum vya Ufaransa vyaingia Benghazi, Libya
Feb 24, 2016 04:08Vikosi maalumu vya Ufaransa vimewasili Benghazi, Libya kumuunga mkono Brigedia Jenerali Khalifa Haftar.
-
Utafiti: Francois Hollande kuwania tena urais Ufaransa
Feb 18, 2016 04:28Uchunguzi wa maoni unaonyesha kuwa, Rais wa Ufaransa, Francois Hollande huenda akatetea kiti chake kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka ujao.