Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uganda

  • Spika wa Bunge la Uganda, Jacob Oulanyah aaga dunia

    Spika wa Bunge la Uganda, Jacob Oulanyah aaga dunia

    Mar 20, 2022 08:40

    Spika wa Bunge la Kitaifa la Uganda, Jacob L'Okori Oulanyah amefariki dunia akitibiwa nchini Marekani.

  • Jeshi la Uganda limekanusha kuwa mtoto wa Museveni amejiuzulu

    Jeshi la Uganda limekanusha kuwa mtoto wa Museveni amejiuzulu

    Mar 14, 2022 10:25

    Jeshi la Uganda limesema leo Jumatatu kwamba mtoto wa kiume wa Rais Yoweri Museveni, Luteni Jenerali Muhoozi Kainerugaba ambaye anatajwa kuwa ndiye atakayerithi miikoba ya baba yake kama rais ajaye wa Uganda, hajajiuzulu.

  • ICJ yaiamuru Uganda kuilipa DRC dola milioni 325 tu kufidia gharama za vita

    ICJ yaiamuru Uganda kuilipa DRC dola milioni 325 tu kufidia gharama za vita

    Feb 10, 2022 04:05

    Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) imetangaza kuwa dola milioni 325 ndio kiasi cha fidia ambacho Uganda inapaswa kuilipa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, ambayo ilikuwa ikidai zaidi ya dola bilioni 11 kwa uvamizi uliofanywa na jeshi la serikali ya Kampala mashariki mwa nchi hiyo wakati wa vita vya miaka ya 1998-2003.

  • Watanzania 3 wakamatwa DRC wakituhumiwa kuwa wanachama wa ADF

    Watanzania 3 wakamatwa DRC wakituhumiwa kuwa wanachama wa ADF

    Feb 08, 2022 04:16

    Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo limetangaza habari ya kuwatia mbaroni raia watatu wa Tanzania, kwa tuhuma za kuwa wanachama wa kundi la wanamgambo wa ADF.

  • Viongozi wa Kiislamu Uganda waunga mkono serikali kuhusu mwaka mpya + Sauti

    Viongozi wa Kiislamu Uganda waunga mkono serikali kuhusu mwaka mpya + Sauti

    Jan 02, 2022 03:22

    Serikali ya Uganda imepiga marufuku mijumuiko ya kusherehekea mwaka mpya ili kuzuia maambukizi ya Corona hatua ambayo imeungwa mkono na viongozi wa Kiislamu

  • Rais Museveni asema shule zitafunguliwa Uganda mwezi huu

    Rais Museveni asema shule zitafunguliwa Uganda mwezi huu

    Jan 01, 2022 09:08

    Rais Yoweri Museveni wa Uganda amesema kuwa, shule za nchi hiyo ambazo zilikuwa zimefungwa tokea Machi 2020 kutokana na msambao wa maradhi ya Covid-19, sasa zitafunguliwa mwezi huu wa Januari, 2022.

  • DRC: Jeshi la Uganda ladai kutwaa moja ya kambi kuu za ADF + SAUTI

    DRC: Jeshi la Uganda ladai kutwaa moja ya kambi kuu za ADF + SAUTI

    Dec 29, 2021 08:43

    Jeshi la Uganda linasema limefanikiwa kudhibiti kambi kubwa ya waasi wa ADF, inayofahamika kama Kambi Ya Yua iliyokuwa inawahifadhi waasi zaidi ya 600 na familia zao, katika operesheni zao inazoshirikiana na wenzao wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Mashariki mwa nchi hiyo.

  • Wananchi wa Uganda walalamikia kutoona matunda yoyote ya Uhuru + SAUTI

    Wananchi wa Uganda walalamikia kutoona matunda yoyote ya Uhuru + SAUTI

    Dec 29, 2021 05:21

    Tangu mkoloni Muingereza aondoke Uganda miaka 59 iliyopita raia wa nchi hiyo hawajaona faida yoyote katika maisha yao ya kila siku

  • Washukiwa watano wa miripuko ya kigaidi Uganda wameuawa kwa kupigwa risasi na polisi

    Washukiwa watano wa miripuko ya kigaidi Uganda wameuawa kwa kupigwa risasi na polisi

    Nov 19, 2021 08:25

    Polisi ya Uganda imesema, imewaua kwa kuwapiga risasi washukiwa watano na kuwatia nguvuni watu 21 kufuatia miripuko pacha ya mashambulio ya mabomu ya siku ya Jumanne iliyopita, ambayo iliua watu wasiopungua watano na kujeruhi makumi ya wengine katika mji mkuu wa nchi hiyo Kampala.

  • Askari 2 wa Uganda wahukumiwa kifo kwa mauaji ya raia Somalia

    Askari 2 wa Uganda wahukumiwa kifo kwa mauaji ya raia Somalia

    Nov 14, 2021 04:46

    Askari wawili wa Jeshi la Ulinzi la Uganda (UPDF) wanaohudumu kwenye Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Afrika nchini Somalia (AMISOM) wamehukumiwa kifo, kutokana na mauaji ya raia katika nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS