Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uganda

  • Wabunge Uganda watakiwa kuonesha cheti cha corona kabla ya kuingia bungeni

    Wabunge Uganda watakiwa kuonesha cheti cha corona kabla ya kuingia bungeni

    Oct 29, 2021 06:37

    Naibu Spika wa Bunge la Uganda Anitah Among amewaelekeza wabunge kuwasilisha vyeti vya chanjo ya COVID-19 kabla ya kuingia bungeni.

  • Shambulio jipya la bomu laua na kujeruhi watu kadhaa nchini Uganda

    Shambulio jipya la bomu laua na kujeruhi watu kadhaa nchini Uganda

    Oct 26, 2021 04:38

    Mtu mmoja ameuawa huku wengine kadhaa wakijeruhiwa katika mlipuko mwingine uliolenga basi la abiria nchini Uganda.

  • Rais wa Uganda: Mlipuko wa bomu Kampala lilikuwa shambulio la kigaidi

    Rais wa Uganda: Mlipuko wa bomu Kampala lilikuwa shambulio la kigaidi

    Oct 24, 2021 11:45

    Rais Yoweri Museveni wa Uganda amesema mlipuko wa bomu uliotokea usiku wa kuamkia leo katika mji mkuu Kampala huenda lilikuwa shambulio la kigaidi.

  • Watu kadhaa wahofiwa kufa katika mlipuko wa bomu Kampala

    Watu kadhaa wahofiwa kufa katika mlipuko wa bomu Kampala

    Oct 24, 2021 03:17

    Watu asiopungua watatu wanahofiwa kuaga dunia na karibu saba wamejeruhiwa vibaya katika mlipuko wa bomu uliotokea usiku wa kuamkia leo katika eneo ya Komamboga Jijini Kampala kwenye eneo la kuuzia nguruwe, Tarafa ya Kawempe.

  • Askari wa Uganda kushtakiwa kwenye mahakama ya kijeshi kwa kuua raia Somalia

    Askari wa Uganda kushtakiwa kwenye mahakama ya kijeshi kwa kuua raia Somalia

    Oct 23, 2021 04:19

    Mpango wa Umoja wa Afrika wa kulinda amani nchini Somalia AMISOM umeshauri mahakama ya kijeshi ya Uganda iwafungulie mashtaka askari wa nchi hiyo wanaohudumu katika mpango huo, ambao wamehusishwa na mauaji ya raia nchini Somalia.

  • Uganda kutuma askari polisi 160 wa kulinda amani Somalia

    Uganda kutuma askari polisi 160 wa kulinda amani Somalia

    Oct 15, 2021 00:50

    Uganda inajiandaa kutuma maafisa wa polisi wapatao 160 nchini Somalia, kwenda kushiriki operesheni za kudumisha amani katika nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • Jumamosi, 09 Oktoba, 2021

    Jumamosi, 09 Oktoba, 2021

    Oct 08, 2021 23:06

    Leo ni Jumamosi tarehe Pili Mfunguo Sita Rabiul Awwal 1443 Hijria ambayo inasadifiana na tarehe 9 Oktoba 2021.

  • Wakimbizi kutoka Afghanistan waanza kuwasili Uganda

    Wakimbizi kutoka Afghanistan waanza kuwasili Uganda

    Aug 25, 2021 08:27

    Kundi la kwanza la makumi ya wakimbizi kutoka Afghanistan limewasili nchini Uganda.

  • Uganda yasimamisha shughuli za asasi 54 zisizo za kiserikali

    Uganda yasimamisha shughuli za asasi 54 zisizo za kiserikali

    Aug 20, 2021 21:57

    Serikali ya Uganda imesimamisha shughuli za makumi ya asasi za kirai yakiwemo mashirika ya kutetea haki za binadamu.

  • Chama tawala Uganda chakanusha madai ya kutaka kuingilia uchaguzi wa Kenya

    Chama tawala Uganda chakanusha madai ya kutaka kuingilia uchaguzi wa Kenya

    Aug 08, 2021 03:28

    Chama tawala nchini Uganda cha National Resistance Movement (NRM) kinachoongozwa na Rais Yoweri Museveni kimekishutumu vikali chama kikuu cha upinzani nchini Kenya ODM kinachoongozwa na Raila Odinga, kwa kudai kuwa kinalenga kushirikiana na Naibu Rais William Ruto kuibua machafuko ya uchaguzi nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS