-
Wabunge Uganda watakiwa kuonesha cheti cha corona kabla ya kuingia bungeni
Oct 29, 2021 06:37Naibu Spika wa Bunge la Uganda Anitah Among amewaelekeza wabunge kuwasilisha vyeti vya chanjo ya COVID-19 kabla ya kuingia bungeni.
-
Shambulio jipya la bomu laua na kujeruhi watu kadhaa nchini Uganda
Oct 26, 2021 04:38Mtu mmoja ameuawa huku wengine kadhaa wakijeruhiwa katika mlipuko mwingine uliolenga basi la abiria nchini Uganda.
-
Rais wa Uganda: Mlipuko wa bomu Kampala lilikuwa shambulio la kigaidi
Oct 24, 2021 11:45Rais Yoweri Museveni wa Uganda amesema mlipuko wa bomu uliotokea usiku wa kuamkia leo katika mji mkuu Kampala huenda lilikuwa shambulio la kigaidi.
-
Watu kadhaa wahofiwa kufa katika mlipuko wa bomu Kampala
Oct 24, 2021 03:17Watu asiopungua watatu wanahofiwa kuaga dunia na karibu saba wamejeruhiwa vibaya katika mlipuko wa bomu uliotokea usiku wa kuamkia leo katika eneo ya Komamboga Jijini Kampala kwenye eneo la kuuzia nguruwe, Tarafa ya Kawempe.
-
Askari wa Uganda kushtakiwa kwenye mahakama ya kijeshi kwa kuua raia Somalia
Oct 23, 2021 04:19Mpango wa Umoja wa Afrika wa kulinda amani nchini Somalia AMISOM umeshauri mahakama ya kijeshi ya Uganda iwafungulie mashtaka askari wa nchi hiyo wanaohudumu katika mpango huo, ambao wamehusishwa na mauaji ya raia nchini Somalia.
-
Uganda kutuma askari polisi 160 wa kulinda amani Somalia
Oct 15, 2021 00:50Uganda inajiandaa kutuma maafisa wa polisi wapatao 160 nchini Somalia, kwenda kushiriki operesheni za kudumisha amani katika nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.
-
Jumamosi, 09 Oktoba, 2021
Oct 08, 2021 23:06Leo ni Jumamosi tarehe Pili Mfunguo Sita Rabiul Awwal 1443 Hijria ambayo inasadifiana na tarehe 9 Oktoba 2021.
-
Wakimbizi kutoka Afghanistan waanza kuwasili Uganda
Aug 25, 2021 08:27Kundi la kwanza la makumi ya wakimbizi kutoka Afghanistan limewasili nchini Uganda.
-
Uganda yasimamisha shughuli za asasi 54 zisizo za kiserikali
Aug 20, 2021 21:57Serikali ya Uganda imesimamisha shughuli za makumi ya asasi za kirai yakiwemo mashirika ya kutetea haki za binadamu.
-
Chama tawala Uganda chakanusha madai ya kutaka kuingilia uchaguzi wa Kenya
Aug 08, 2021 03:28Chama tawala nchini Uganda cha National Resistance Movement (NRM) kinachoongozwa na Rais Yoweri Museveni kimekishutumu vikali chama kikuu cha upinzani nchini Kenya ODM kinachoongozwa na Raila Odinga, kwa kudai kuwa kinalenga kushirikiana na Naibu Rais William Ruto kuibua machafuko ya uchaguzi nchini humo.