Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Mataifa

  • UN yatahadharishwa: Tafsiri ya 'chuki dhidi ya Uyahudi' isitumiwe kudhibiti ukosoaji dhidi ya unyama wa Israel

    UN yatahadharishwa: Tafsiri ya 'chuki dhidi ya Uyahudi' isitumiwe kudhibiti ukosoaji dhidi ya unyama wa Israel

    Apr 22, 2023 08:36

    Zaidi ya mashirika 100 ya kutetea haki za binadamu na haki za kiraia yameuonya Umoja wa Mataifa dhidi ya matumizi ya tafsiri ya chuki dhidi ya Wayahudi ambayo inaweza kutumiwa kuzuia ukosoaji wa uvamizi na ukaliaji ardhi kwa mabavu unaofanywa na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel na kudhoofisha uungaji mkono wa haki za Wapalestina.

  • Umoja wa Mataifa kujadili na kuamua kuhusu uhalali wa utawala wa Taliban

    Umoja wa Mataifa kujadili na kuamua kuhusu uhalali wa utawala wa Taliban

    Apr 19, 2023 02:24

    Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametangaza kuwa: taasisi hiyo itachunguza upya suala la uhalali wa serikali ya Taliban nchini Afghanistan ndani ya kipindi cha wiki mbili zijazo.

  • Dola bilioni 2.6 zinahitajika mwaka huu kusaidia Wasomali zaidi ya milioni saba wenye hali mbaya

    Dola bilioni 2.6 zinahitajika mwaka huu kusaidia Wasomali zaidi ya milioni saba wenye hali mbaya

    Apr 06, 2023 03:54

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa dola bilioni 2.6 zinahitajika kwa ajili ya kuwasaidia mamilioni ya watu nchini Somalia ambako changamoto za mabadiliko ya tabianchi na mgogoro wa muda mrefu vimesababisha nchi hiyo kuwa na moja ya janga kubwa zaidi la kibinadamu duniani.

  • UN yaituhumu EU kuunga mkono jinai dhidi ya binadamu Libya

    UN yaituhumu EU kuunga mkono jinai dhidi ya binadamu Libya

    Mar 28, 2023 03:55

    Jopo la uchunguzi la Umoja wa Mataifa limesema kwamba, kuna ushahidi unaoonyesha kuwa jinai dhidi ya binadamu zimefanywa dhidi wa wananchi wa Libya na wahajiri waliokwama katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika, wakiwemo wanawake wanaolazimishwa kuingia kwenye utumwa wa kingono.

  • Indhari ya UN: Watu bilioni 2.4 hawatakuwa na maji mijini ifikapo mwaka 2050

    Indhari ya UN: Watu bilioni 2.4 hawatakuwa na maji mijini ifikapo mwaka 2050

    Mar 22, 2023 23:23

    Umoja wa Mataifa umetoa wito wa kuchukuliwa hatua madhubuti sasa hivi kuhakikisha rasilimali adhimu ya maji inalindwa, kudhibitiwa ipasavyo na kupatikana kwa kila mtu.

  • UN, nchi za Kiarabu zalaani uropokaji wa Waziri wa Fedha wa Israel

    UN, nchi za Kiarabu zalaani uropokaji wa Waziri wa Fedha wa Israel

    Mar 21, 2023 22:49

    Umoja wa Mataifa na ulimwengu wa Kiarabu umelaani matamshi ya kichochezi yaliyotolewa hivi karibuni na Waziri wa Fedha wa utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Palestina.

  • Umoja wa Mataifa watahadharisha kuhusu ongezeko la joto duniani

    Umoja wa Mataifa watahadharisha kuhusu ongezeko la joto duniani

    Mar 21, 2023 07:01

    Umoja wa Mataifa umetangaza katika ripoti yake mpya kuhusu mabadiliko ya hali ya hewa kwamba kuongezeka kwa joto la sayari ya dunia kumewaweka binadamu katika hatari ya kutoweka.

  • Kukosoa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kampeni za chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu

    Kukosoa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kampeni za chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu

    Mar 12, 2023 08:42

    Antonio Guterres, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amekosoa uenezaji hofu juu ya Uislamu na chuki za aina mbalimbali dhidi ya Uislamu na Waislamu duniani.

  • Guterres: Usawa wa jinsia duniani umesalia nyuma kwa miaka 300

    Guterres: Usawa wa jinsia duniani umesalia nyuma kwa miaka 300

    Mar 07, 2023 03:46

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema dunia haijachukua hatua za maana kulinda haki za wanawake, na kwamba usawa wa jinsia katika kona zote za dunia inaonekana ajenda ambayo ipo karne nyingi nyuma kufikiwa.

  • Umoja wa Mataifa waanzisha uchunguzi katika mauaji ya watu wa asili wa Kanada

    Umoja wa Mataifa waanzisha uchunguzi katika mauaji ya watu wa asili wa Kanada

    Mar 03, 2023 05:25

    Kufichuliwa mauaji ya wakazi asilia wa Kanada, hasa watoto, kumeibua kashfa kubwa dhidi ya nchi hiyo inayodai kuwa mtetezi wa haki za binadamu ulimwenguni. Kuhusiana na hilo, mjumbe maalumu wa Umoja wa Mataifa ametangaza kuanza shughuli yake ya uchunguzi kuhusu mauaji hayo ya kimbari ya watu asilia wa Kanada.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS