-
Katibu Mkuu wa UN: Dunia inaelekea katika vita vikubwa zaidi
Feb 07, 2023 06:26Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametahadharisha kwamba, hatua zozote za kuchochea mgogoro wa Russia na Ukraine huenda zikaitumbukiza dunia katika vita vipana na vikubwa zaidi.
-
UN imetaka kufanyika uchunguzi kuhusu uwezekano wa kuhusika Wagner katika uhalifu wa kivita huko Mali
Feb 01, 2023 12:14Wataalamu wa Umoja wa Mataifa wametaka kufanyike uchunguzi huru ili kubaini iwapo vikosi vya serikali na mkandarasi wa jeshi la kujitegemea la Russia kwa jina la "kundi la wanamgambo wa Wagner" vimehusika na uhalifu wa kivita na dhidi ya binadamu nchini Mali.
-
ICJ yapokea rasmi ombi la UN juu ya kughusubiwa ardhi za Wapalestina na Israel
Jan 22, 2023 02:31Mahakama ya Kimataifa ya Uadilifu (ICJ) imepokea rasmi ombi la Umoja wa Mataifa la kutaka maoni ya ushauri kutoka kwa chombo hicho juu ya taathira za Israel kughusubu na kukaliwa kwa mabavu ardhi za Palestina.
-
Mashirika ya kimataifa yaomba kupatiwa bajeti ili kupambana na utapiamlo kwa watoto
Jan 13, 2023 07:36Mashirika kadhaa ya Umoja wa Mataifa yametoa taarifa ya pamoja yakiomba kupatiwa hara bajeti ili kuwasaidia watoto milioni 40 wanaosumbuliwa na utapiamlo mkali.
-
UN yakaribisha usitishaji vita uliotekelezwa na Russia Ukraine
Jan 07, 2023 07:35Martin Griffiths, Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa anayehusika na Masuala ya Kibinadamu, amesema usitishaji mapigano wa upande mmoja uliotekelezwa na Russia ni fursa ya kutuma misaada ya kibinadamu kwa watu katika maeneo yaliyoathiriwa na vita.
-
Netanyahu: Azimio la UN dhidi ya Israel halina umuhimu, linakirihisha
Jan 01, 2023 07:24Waziri Mkuu wa Israel amesema azimio jipya lililopitishwa dhidi ya utawala huo haramu katika Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa halina maana wala umuhimu wowote.
-
UN: Thuluthi moja ya Waarabu wanaishi katika umaskini
Jan 01, 2023 07:12Taasisi ya Umoja wa Mataifa imesema kuwa, thuluthi moja ya jamii ya Waarabu wanaishi katika hali ya umaskini na uchochole wa kupindukia.
-
UN yapasisha azimio la Russia la kupambana na ubaguzi wa rangi
Dec 16, 2022 08:03Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa limeidhinisha azimio lililopendekezwa na Russia la "kupambana dhidi ya kutukuzwa kwa Unazi, Unazi mamboleo na vitendo vingine vinavyochangia kuongezeka kwa aina za kisasa za ubaguzi wa rangi, ubaguzi wa kimbari, chuki ya wageni na kutovumiliana."
-
Juhudi za Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa za kutokomeza silaha za nyuklia za Israel
Dec 11, 2022 08:59Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa limeanza kuchukua hatua kwa lengo la kutokomeza silaha za atomiki za utawala haramu wa Israel baada ya nchi 149 wanachama wa umoja huo kuunga mkono azimio linaloutaka utawala huo wa Kizayuni "uache kufuatilia uzalishaji, uundaji, majaribio au kutaka kuwa na silaha za nyuklia" na "kuachana na mpango wa kumiliki silaha za nyuklia".
-
Wasudan wataka UN iache kuingilia masuala ya ndani ya nchi yao
Dec 04, 2022 07:08Maelfu ya wananchi wa Sudan wamefanya maandamano ya kupinga makubaliano ya amani yanayotazamiwa kusainiwa kesho Jumatatu kwa shabaha ya kuhitimisha mgogoro wa kisiasa wa nchi hiyo.