Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Mataifa

  • Katibu Mkuu wa UN: Dunia inaelekea katika vita vikubwa zaidi

    Katibu Mkuu wa UN: Dunia inaelekea katika vita vikubwa zaidi

    Feb 07, 2023 06:26

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametahadharisha kwamba, hatua zozote za kuchochea mgogoro wa Russia na Ukraine huenda zikaitumbukiza dunia katika vita vipana na vikubwa zaidi.

  • UN imetaka kufanyika uchunguzi kuhusu uwezekano wa kuhusika Wagner katika uhalifu wa kivita huko Mali

    UN imetaka kufanyika uchunguzi kuhusu uwezekano wa kuhusika Wagner katika uhalifu wa kivita huko Mali

    Feb 01, 2023 12:14

    Wataalamu wa Umoja wa Mataifa wametaka kufanyike uchunguzi huru ili kubaini iwapo vikosi vya serikali na mkandarasi wa jeshi la kujitegemea la Russia kwa jina la "kundi la wanamgambo wa Wagner" vimehusika na uhalifu wa kivita na dhidi ya binadamu nchini Mali.

  • ICJ yapokea rasmi ombi la UN juu ya kughusubiwa ardhi za Wapalestina na Israel

    ICJ yapokea rasmi ombi la UN juu ya kughusubiwa ardhi za Wapalestina na Israel

    Jan 22, 2023 02:31

    Mahakama ya Kimataifa ya Uadilifu (ICJ) imepokea rasmi ombi la Umoja wa Mataifa la kutaka maoni ya ushauri kutoka kwa chombo hicho juu ya taathira za Israel kughusubu na kukaliwa kwa mabavu ardhi za Palestina.

  • Mashirika ya kimataifa yaomba kupatiwa bajeti ili kupambana na utapiamlo kwa watoto

    Mashirika ya kimataifa yaomba kupatiwa bajeti ili kupambana na utapiamlo kwa watoto

    Jan 13, 2023 07:36

    Mashirika kadhaa ya Umoja wa Mataifa yametoa taarifa ya pamoja yakiomba kupatiwa hara bajeti ili kuwasaidia watoto milioni 40 wanaosumbuliwa na utapiamlo mkali.

  • UN yakaribisha usitishaji vita uliotekelezwa na Russia Ukraine

    UN yakaribisha usitishaji vita uliotekelezwa na Russia Ukraine

    Jan 07, 2023 07:35

    Martin Griffiths, Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa anayehusika na Masuala ya Kibinadamu, amesema usitishaji mapigano wa upande mmoja uliotekelezwa na Russia ni fursa ya kutuma misaada ya kibinadamu kwa watu katika maeneo yaliyoathiriwa na vita.

  • Netanyahu: Azimio la UN dhidi ya Israel halina umuhimu, linakirihisha

    Netanyahu: Azimio la UN dhidi ya Israel halina umuhimu, linakirihisha

    Jan 01, 2023 07:24

    Waziri Mkuu wa Israel amesema azimio jipya lililopitishwa dhidi ya utawala huo haramu katika Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa halina maana wala umuhimu wowote.

  • UN: Thuluthi moja ya Waarabu wanaishi katika umaskini

    UN: Thuluthi moja ya Waarabu wanaishi katika umaskini

    Jan 01, 2023 07:12

    Taasisi ya Umoja wa Mataifa imesema kuwa, thuluthi moja ya jamii ya Waarabu wanaishi katika hali ya umaskini na uchochole wa kupindukia.

  • UN yapasisha azimio la Russia la kupambana na ubaguzi wa rangi

    UN yapasisha azimio la Russia la kupambana na ubaguzi wa rangi

    Dec 16, 2022 08:03

    Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa limeidhinisha azimio lililopendekezwa na Russia la "kupambana dhidi ya kutukuzwa kwa Unazi, Unazi mamboleo na vitendo vingine vinavyochangia kuongezeka kwa aina za kisasa za ubaguzi wa rangi, ubaguzi wa kimbari, chuki ya wageni na kutovumiliana."

  • Juhudi za Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa za kutokomeza silaha za nyuklia za Israel

    Juhudi za Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa za kutokomeza silaha za nyuklia za Israel

    Dec 11, 2022 08:59

    Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa limeanza kuchukua hatua kwa lengo la kutokomeza silaha za atomiki za utawala haramu wa Israel baada ya nchi 149 wanachama wa umoja huo kuunga mkono azimio linaloutaka utawala huo wa Kizayuni "uache kufuatilia uzalishaji, uundaji, majaribio au kutaka kuwa na silaha za nyuklia" na "kuachana na mpango wa kumiliki silaha za nyuklia".

  • Wasudan wataka UN iache kuingilia masuala ya ndani ya nchi yao

    Wasudan wataka UN iache kuingilia masuala ya ndani ya nchi yao

    Dec 04, 2022 07:08

    Maelfu ya wananchi wa Sudan wamefanya maandamano ya kupinga makubaliano ya amani yanayotazamiwa kusainiwa kesho Jumatatu kwa shabaha ya kuhitimisha mgogoro wa kisiasa wa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS