Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Mataifa

  • UN yakaribisha usitishaji vita uliotekelezwa na Russia Ukraine

    UN yakaribisha usitishaji vita uliotekelezwa na Russia Ukraine

    Jan 07, 2023 04:05

    Martin Griffiths, Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa anayehusika na Masuala ya Kibinadamu, amesema usitishaji mapigano wa upande mmoja uliotekelezwa na Russia ni fursa ya kutuma misaada ya kibinadamu kwa watu katika maeneo yaliyoathiriwa na vita.

  • Netanyahu: Azimio la UN dhidi ya Israel halina umuhimu, linakirihisha

    Netanyahu: Azimio la UN dhidi ya Israel halina umuhimu, linakirihisha

    Jan 01, 2023 03:54

    Waziri Mkuu wa Israel amesema azimio jipya lililopitishwa dhidi ya utawala huo haramu katika Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa halina maana wala umuhimu wowote.

  • UN: Thuluthi moja ya Waarabu wanaishi katika umaskini

    UN: Thuluthi moja ya Waarabu wanaishi katika umaskini

    Jan 01, 2023 03:42

    Taasisi ya Umoja wa Mataifa imesema kuwa, thuluthi moja ya jamii ya Waarabu wanaishi katika hali ya umaskini na uchochole wa kupindukia.

  • UN yapasisha azimio la Russia la kupambana na ubaguzi wa rangi

    UN yapasisha azimio la Russia la kupambana na ubaguzi wa rangi

    Dec 16, 2022 04:33

    Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa limeidhinisha azimio lililopendekezwa na Russia la "kupambana dhidi ya kutukuzwa kwa Unazi, Unazi mamboleo na vitendo vingine vinavyochangia kuongezeka kwa aina za kisasa za ubaguzi wa rangi, ubaguzi wa kimbari, chuki ya wageni na kutovumiliana."

  • Juhudi za Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa za kutokomeza silaha za nyuklia za Israel

    Juhudi za Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa za kutokomeza silaha za nyuklia za Israel

    Dec 11, 2022 05:29

    Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa limeanza kuchukua hatua kwa lengo la kutokomeza silaha za atomiki za utawala haramu wa Israel baada ya nchi 149 wanachama wa umoja huo kuunga mkono azimio linaloutaka utawala huo wa Kizayuni "uache kufuatilia uzalishaji, uundaji, majaribio au kutaka kuwa na silaha za nyuklia" na "kuachana na mpango wa kumiliki silaha za nyuklia".

  • Wasudan wataka UN iache kuingilia masuala ya ndani ya nchi yao

    Wasudan wataka UN iache kuingilia masuala ya ndani ya nchi yao

    Dec 04, 2022 03:38

    Maelfu ya wananchi wa Sudan wamefanya maandamano ya kupinga makubaliano ya amani yanayotazamiwa kusainiwa kesho Jumatatu kwa shabaha ya kuhitimisha mgogoro wa kisiasa wa nchi hiyo.

  • Umoja wa Mataifa: Video za kunyongwa wanajeshi wa Russia huko Ukraine ni za kweli

    Umoja wa Mataifa: Video za kunyongwa wanajeshi wa Russia huko Ukraine ni za kweli

    Nov 26, 2022 07:11

    Kamishna Mkuu wa Haki za Kibinadamu wa Umoja wa Mataifa ametangaza kwamba kuna uwezekani mkubwa kwamba video za kunyongwa wanajeshi wa Russia waliotekwa nyara huko Ukraine ni za kweli.

  • Umoja wa Mataifa waendeleza juhudi za kurefusha usimamishaji vita Yemen

    Umoja wa Mataifa waendeleza juhudi za kurefusha usimamishaji vita Yemen

    Nov 23, 2022 08:25

    Mwakilishi maalumu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Yemen amesema kuwa umoja huo unaendelea na jitihada zake za kuhakikisha usimamishaji vita unaendelezwa nchini humo.

  • Wapalestina wapata ushindi mwingine Umoja wa Mataifa

    Wapalestina wapata ushindi mwingine Umoja wa Mataifa

    Nov 18, 2022 03:17

    Kamati ya Tatu ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa imepasisha azimio ikitambua haki ya watu wa Palestina ya kuamua hatima yao wenyewe.

  • UN: Haijulikani vita kati ya Ukrane na Russia vitamalizika lini

    UN: Haijulikani vita kati ya Ukrane na Russia vitamalizika lini

    Nov 17, 2022 06:56

    Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameeleza kuwa, hakuna ishara zozote zinazoashiria kufikia ukomo mapigano huko Ukraine.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS