Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Mataifa

  • UN yataka kufanyike uchunguzi kuhusu mauaji kaskazini mwa Burkina Faso

    UN yataka kufanyike uchunguzi kuhusu mauaji kaskazini mwa Burkina Faso

    Nov 16, 2022 22:51

    Msemaji wa Ofisi ya Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa ametoa wito wa kufanyika uchunguzi haraka iwezekanavyo kuhusu madai ya kuuliwa raia kaskazini mwa Burkina Faso.

  • Umoja wa Mataifa waionya Twitter kuhusu matamshi ya kueneza chuki, ubaguzi

    Umoja wa Mataifa waionya Twitter kuhusu matamshi ya kueneza chuki, ubaguzi

    Nov 01, 2022 23:17

    Rekodi mbaya ya mmiliki mpya wa Twitter, Elon Musk ya kuchukua misimamo isiyo ya kawaida na kuibua masuala yenye utata imeufanya Umoja wa Mataifa kumuonya dhidi ya kuchapisha maudhui yoyote ya chuki katika mtandao wa kijamii wa Twitter.

  • ILO yatoa indhari: Fursa za ajira duniani zinazidi kupungua

    ILO yatoa indhari: Fursa za ajira duniani zinazidi kupungua

    Nov 01, 2022 03:37

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Kazi Duniani, ILO limetoa ripoti yake inayotahadharisha kuwa ukosefu wa ajira na ukosefu wa usawa vyote vitaendelea kuongezeka duniani kutokana na majanga lukuki yanayoingiliana ya kiuchumi na kisiasa na hivyo kutishia kukwamuka kwa soko la ajira ulimwenguni.

  • Ukosoaji mkali wa Putin kwa mauaji ya kigaidi ya shahidi Luteni Jenerali Soleimani

    Ukosoaji mkali wa Putin kwa mauaji ya kigaidi ya shahidi Luteni Jenerali Soleimani

    Oct 29, 2022 07:45

    Akizungumza juzi Alhamisi katika Kongamano la Valdai, Rais Vladmir Putin wa Russia amekosoa mfumo na siasa za Magharibi na kueleza kuwa nchi za Magharibi zilimuua Luteni Jenerali Soleimani; katika hali ambayo shakhsia huyo alikuwa kiongozi rasmi nchini mwake na kuongeza kwamba Wamagharibi si tu hawajakana jambo hilo bali wanajifakharisha nalo.

  • Mafuriko yasababisha watu milioni 3.4 kupoteza makazi yao magharibi, katikati mwa Afrika

    Mafuriko yasababisha watu milioni 3.4 kupoteza makazi yao magharibi, katikati mwa Afrika

    Oct 29, 2022 00:50

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR) limesema mamilioni ya watu wamepoteza makazi yao katika nchi za magharibi na katikati mwa Afrika kutokana na mafuriko.

  • Mashtaka rasmi ya Russia kwa Umoja wa Mataifa kuhusu maabara za silaha za kibiolojia za Marekani nchini Ukraine

    Mashtaka rasmi ya Russia kwa Umoja wa Mataifa kuhusu maabara za silaha za kibiolojia za Marekani nchini Ukraine

    Oct 28, 2022 22:54

    Russia imepeleka malalamiko yake rasmi kwa Umoja wa Mataifa kuhusu kuwepo kwa maabara za silaha za kibiolojia za Marekani nchini Ukraine. Vasily Nebenzia, ​​mwakilishi wa kudumu wa Russia katika Umoja wa Mataifa, amethibitisha kwamba nchi yake imekusanya ushahidi wa kutosha kuhusu uwepo wa maabara ya silaha hizo za kibiolojia za Marekani huko Ukraine.

  • Barua ya Troika ya Ulaya kwa Umoja wa Mataifa: Mwendelezo wa vita vya kisiasa na kipropaganda dhidi ya Iran

    Barua ya Troika ya Ulaya kwa Umoja wa Mataifa: Mwendelezo wa vita vya kisiasa na kipropaganda dhidi ya Iran

    Oct 22, 2022 23:05

    Katika barua yake kwa Umoja wa Mataifa, Troika ya Umoja wa Ulaya inayojumuisha Uingereza, Ufaransa na Ujerumani, imekariri madai ambayo hayajathibitishwa kwamba Russia inatumia ndege zisizo na rubani zilizotengenezwa na Iran katika vita vya Ukraine, na imeutaka Umoja wa Mataifa kuchunguza iwapo huo ni ukiukaji ya Azimio 2231 la Baraza la Usalama au la

  • Tume ya UN yawasilisha ripoti ya jinai za kivita zilizofanywa na Ukraine

    Tume ya UN yawasilisha ripoti ya jinai za kivita zilizofanywa na Ukraine

    Oct 19, 2022 07:05

    Tume ya Umoja wa Mataifa inayofuatilia haki za binadamu imerekodi kwa uchache kesi mbili za uhalifu wa kivita uliofanywa na jeshi la Ukraine katika mzozo wa nchi hiyo na jeshi la Russia.

  • Guterres: Hali ya mambo Ethiopia huenda isidhibitike tena

    Guterres: Hali ya mambo Ethiopia huenda isidhibitike tena

    Oct 18, 2022 04:05

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametahadharisha kuhusu hali ya mambo nchini Ethiopia na kutoa mwito kwa pande hasimu katika mgogoro wa eneo la Tigray la kaskazini mwa nchi kuhitimisha mvutano na uhasama baina yao.

  • AU na UN: Sasa kila mtu mmoja kati ya watano Afrika anakabiliwa na njaa

    AU na UN: Sasa kila mtu mmoja kati ya watano Afrika anakabiliwa na njaa

    Oct 13, 2022 04:28

    Takwimu za karibuni kabisa zinaonyesha kuwa, mtu mmoja kati ya kila watu watano barani Afrika anakabiliwa na njaa, huku uhaba wa chakula na utapiamlo ukiongezeka katika bara hilo. Hayo ni kwa mujibu wa maafisa wa Umoja wa Afrika (AU) na Umoja wa Mataifa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS