• Al Azhar: Hakuna vita baina ya Shia na Suni nchini Syria

    Al Azhar: Hakuna vita baina ya Shia na Suni nchini Syria

    Feb 25, 2016 02:00

    Licha ya njama zinazofanywa na Saudi Arabia na utawala wa Kizayuni wa Israel kwa ajili ya kuuhusisha mgogoro wa Syria na masuala ya kimadhehebu, Sheikh Mkuu wa al Azhar nchini Misri amesema kuwa vita vinavyoendelea nchini Syria si vita baina ya Shia na Suni.

  • Al Azhar yatilia mkazo umoja baina ya Waislamu

    Al Azhar yatilia mkazo umoja baina ya Waislamu

    Feb 22, 2016 16:36

    Sheikh Mkuu wa al Azhar nchini Misri amesema Shia na Suni ni mbawa mbili za Uislamu na kwamba kuna udharura wa kufanyika jitihada za kukurubisha pamoja wafuasi wa madhehebu hizo mbili.