-
Sisitizo la jamii ya kimataifa la kuwekewa Saudi Arabia vikwazo vya silaha
Feb 29, 2016 22:05Kutokana na kushtadi ukatili na unyama wa Saudi Arabia dhidi ya wananchi wa Yemen taasisi mbalimbali za kimataifa na shaksia wakubwa wametaka vikwazo vya silaha vipitishwe mara moja dhidi ya utawala wenye kupenda vita wa familia ya Aal Saud.