Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Utawala wa Kizayuni

  • Nasser Kan'ani: Morocco iwajibike kwa madhara ya kuanzisha uhusiano na utawala haramu

    Nasser Kan'ani: Morocco iwajibike kwa madhara ya kuanzisha uhusiano na utawala haramu

    Oct 05, 2022 03:38

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Iran amemwambia Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Morocco kwamba anapaswa kuwajibishwa kutokana na ukosefu wa usalama unaotokana na kuanzisha uhusiano baina ya nchi hiyo na na utawala wa Kizayuni wa Israel unaoendelea kuua watu wa Palestina na kukalia kwa mabavu kibla cha kwanza cha Waislamu.

  • Jumblatt na Netanyahu: Israel imesalimu amri kwa Hizbullah ya Lebanon

    Jumblatt na Netanyahu: Israel imesalimu amri kwa Hizbullah ya Lebanon

    Oct 04, 2022 08:01

    Kiongozi wa Chama cha Maendeleo cha Kisoshalisti cha Wadruzi wa Lebanon amesema, utawala wa Kizayuni wa Israel umesalimu amri kwa nguvu za Hizbullah katika kadhia ya uchoraji mipaka ya baharini.

  • Lebanon na Israel zakaribia kufikia makubaliano ya kuweka mipaka ya baharini

    Lebanon na Israel zakaribia kufikia makubaliano ya kuweka mipaka ya baharini

    Oct 04, 2022 02:49

    Taarifa zinaonyesha kuwa rasimu ya mwisho iliyopokelewa kutoka upande wa Marekani kuhusu kuainisha mipaka ya bahari ya Lebanon na utawala wa Kizayuni wa Israel itapelekea kupunguzwa tofauti kati ya pande hizo mbili.

  • Mwakilishi wa Iran mjini Geneva: Mauaji ya kizazi katika Palestina inayokaliwa kwa mabavu imekuwa sera ya kudumu ya utawala wa Israel

    Mwakilishi wa Iran mjini Geneva: Mauaji ya kizazi katika Palestina inayokaliwa kwa mabavu imekuwa sera ya kudumu ya utawala wa Israel

    Oct 01, 2022 22:48

    Balozi na mwakilishi wa kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika ofisi ya Umoja wa Mataifa mjini Geneva amesisitiza kuwa, mauaji ya kizazi katika Palestina inayokaliwa kwa mabavu imekuwa sera ya kudumu na ya makusudi ya utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • HAMAS: Israel inatumia vibaya udhaifu wa ulimwengu wa Kiarabu kudhibiti Masjidul-Aqswa

    HAMAS: Israel inatumia vibaya udhaifu wa ulimwengu wa Kiarabu kudhibiti Masjidul-Aqswa

    Sep 27, 2022 04:42

    Mjumbe mwandamizi wa ofiisi ya kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa, utawala haramu wa Israel unatumia vibaya udhaifu ambao umeugubika ulimwengu wa Kiarabu na hivyo kuudhibiti mji wa Beitul-Muqaddas na msikiti mtakatidu wa al-Aqswa.

  • HAMAS: Taifa la Palestina litapata ushindi katika vita vyake na utawala haramu wa Israel

    HAMAS: Taifa la Palestina litapata ushindi katika vita vyake na utawala haramu wa Israel

    Sep 27, 2022 01:15

    Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa, taifa la Palestina ndilo litakaloibuka na ushindi katika vita na utawala ghasibu wa israel.

  • Al Shimi: Nembo ya muqawama wa Wapalestina katika msikiti wa al Aqsa

    Al Shimi: Nembo ya muqawama wa Wapalestina katika msikiti wa al Aqsa

    Sep 27, 2022 01:04

    Wanajeshi ghasibu wa utawala wa Kizayuni wamemshambulia na kumvamia Abubakar al Shimi mzee mwenyeji wa mji wa Quds unaokaliwa kwa mabavu aliye na umri wa miaka 65 ambaye alikuwa na lengo la kuingia katika Msikiti mtukufu wa al Aqsa.

  • Pakistan yapinga tena wazo la kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel

    Pakistan yapinga tena wazo la kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel

    Sep 26, 2022 00:05

    Serikali ya Pakistan kwa mara nyingine tena imepinga wazo la kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel kufuatia uchochezi wa baadhi ya tawala za Kiarabu zenye fikra mgando za kuitaka ifuate mkondo huo.

  • Jumapili, 25 Septemba, 2022

    Jumapili, 25 Septemba, 2022

    Sep 25, 2022 03:10

    Leo ni Jumapili tarehe 28 Mfunguo Tano Safar 1444 Hijria, mwafaka na tarehe 25 Septemba 2022 Miladia.

  • Wazayuni 8 wajeruhiwa katika oparesheni ya kujitolea kufa shahidi ya Wapalestina mjini Ramallah

    Wazayuni 8 wajeruhiwa katika oparesheni ya kujitolea kufa shahidi ya Wapalestina mjini Ramallah

    Sep 23, 2022 04:21

    Vyombo vya habari vya Kiarabu jana usiku vilitangaza habari ya kutekelezwa oparesheni ya kufa shahidi dhidi ya wanajeshi wa utawala wa Kizayuni huko Ramallah.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS