Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Utawala wa Kizayuni

  • Israel imewaua shahidi Wapalestina 77 katika kipindi cha miezi sita

    Israel imewaua shahidi Wapalestina 77 katika kipindi cha miezi sita

    Jul 03, 2022 06:45

    Tokea mwanzo wa mwaka huu wa 2022, hadi sasa utawala wa Kizayuni wa Israel umewaua shahidi Wapalestina 77 wakiwemo watoto 15.

  • Hamas: Utawala wa Kizayuni hauna mamlaka yoyote huko Quds

    Hamas: Utawala wa Kizayuni hauna mamlaka yoyote huko Quds

    Jun 27, 2022 22:19

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imetangaza kuwa utawala wa Kizayuni wa Israel hauna mamlaka yoyote katika mji wa Quds na kwamba Hamas itaendelea kuupigania mji huo hadi utakapokombolewa.

  • Indhari ya Waziri wa Usalama wa Iran: Magaidi hawatabakia salama

    Indhari ya Waziri wa Usalama wa Iran: Magaidi hawatabakia salama

    Jun 27, 2022 22:15

    Waziri wa Usalama wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema magaidi wenye makao yao Albania hawatabakia salama kutokana na moto wa ulipizaji kisasi wa jinai walizotenda.

  • Wazayuni wameingiwa na hofu kutokana na safari ya Mkuu wa Sera za Nje wa EU Tehran

    Wazayuni wameingiwa na hofu kutokana na safari ya Mkuu wa Sera za Nje wa EU Tehran

    Jun 27, 2022 03:36

    Waziri wa mambo ya nje wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel, ambaye kila mara amekuwa akifanya uafriti na kuweka pingamizi dhidi ya mpango wa kuiondolea Iran vikwazo vya kidhalimu, ametoa matamshi ya uropokaji ya kukosoa safari ya Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya hapa mjini Tehran.

  • Tunisia yapinga ushiriki wa Israel katika maneva ya Simba wa Afrika 2022

    Tunisia yapinga ushiriki wa Israel katika maneva ya Simba wa Afrika 2022

    Jun 25, 2022 22:39

    Wizara ya Ulinzi ya Tunisia imepinga ushiriki wa jeshi la utawala wa haramu wa Israel katika mazoezi ya pamoja ya kijeshi "African Lion 2022" (Simba wa Afrika 2022).

  • Haniya: Mapambano yataendelea mpaka Palestina iliyoanzia kwenye Mto hadi Baharini itakapokombolewa

    Haniya: Mapambano yataendelea mpaka Palestina iliyoanzia kwenye Mto hadi Baharini itakapokombolewa

    Jun 25, 2022 21:52

    Mkuu wa ofisi ya kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema, mapambano na muqawama ungali unaongeza nguvu zake hadi ufike wakati wa kukombolewa Palestina iliyoanzia Mto Jordan hadi Bahari ya Mediterania.

  • Khatibzadeh: Uturuki isiyanyamazie madai ya kufarakanisha ya Wazayuni

    Khatibzadeh: Uturuki isiyanyamazie madai ya kufarakanisha ya Wazayuni

    Jun 24, 2022 03:37

    Msemaji wa wizara ya mambo ya nje ya Iran amesema, inatarajiwa kuwa Uturuki haitanyamazia kimya madai ya kufarakanisha yaliyotolewa na wazayuni.

  • Uturuki kushirikiana na utawala wa Kizayuni wa Israel katika masuala ya usalama

    Uturuki kushirikiana na utawala wa Kizayuni wa Israel katika masuala ya usalama

    Jun 24, 2022 03:17

    Waziri wa mambo ya nje wa Uturuki Mevlut Cavusoglu amesema, baada ya kuongeza kiwango cha uwakilishi wa kidiplomasia, nchi yake itaanzisha ushirikiano wa kiusalama na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Ripoti: Bin Salman kuwaruhusu Wazayuni kununua milki Makka na Madina

    Ripoti: Bin Salman kuwaruhusu Wazayuni kununua milki Makka na Madina

    Jun 22, 2022 23:24

    Tovuti moja imefichua kuwa mrithi wa ufalme wa Saudi Arabia, Mohammad Bin Salman, anatekeleza mpango ambao utawawezesha Wazayuni kununua milki katika miji mitakatifu ya Makka na Madina.

  • Knesset yapiga kura ya kulivunja bunge hilo la utawala wa Kizayuni

    Knesset yapiga kura ya kulivunja bunge hilo la utawala wa Kizayuni

    Jun 22, 2022 23:13

    Bunge la utawala haramu wa Israel (Knesset) limepiga kura ya kujivunja, na hivyo kuandaa mazingira ya uwezekano wa kurejea madarakani kwa kinara wa chama cha Likud, Benjamin Netanyahu, huku baraza la mawaziri la muungano wa Waziri Mkuu, Naftali Bennett, likiporomoka.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS