Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uturuki

  • Iran yasikitishwa na moto mkubwa wa misituni ulioikumba Uturuki

    Iran yasikitishwa na moto mkubwa wa misituni ulioikumba Uturuki

    Jul 30, 2021 22:10

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ameeleza masikitiko yake kufuatia moto mkubwa unaoendelea kuteketeza misitu nchini Uturuki.

  • Rouhani: Iran na Uturuki ni madola mawili makubwa ya Ulimwengu wa Kiislamu

    Rouhani: Iran na Uturuki ni madola mawili makubwa ya Ulimwengu wa Kiislamu

    Jul 22, 2021 03:27

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amefanya mazungumzo ya simu na Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki na mbali na kumpa mkono wa Idi, yeye, serikali na wananchi wa Uturuki amesema kuwa, nchi hizi mbili ni madola makubwa katika eneo hili na kwenye Ulimwengu wa Kiislamu na zina nafasi muhimu katika utatuzi wa matatizo ya eneo hili zima.

  • Licha ya kauli kali zitolewazo dhidi ya Wazayuni, marais wa Uturuki na Israel wataka kustawishwa uhusiano

    Licha ya kauli kali zitolewazo dhidi ya Wazayuni, marais wa Uturuki na Israel wataka kustawishwa uhusiano

    Jul 15, 2021 03:42

    Chama tawala nchini Uturuki cha Uadilifu na Maendeleo AKP kimesema, Uturuki na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel zimekubaliana kuchukua hatua ili kustawisha uhusiano wao wenye mivutano kufuatia mazungumzo yaliyofanywa kwa njia ya simu kati ya marais wa pande hizo mbili.

  • Kupungua kupindukia akiba ya fedha za kigeni nchini Uturuki

    Kupungua kupindukia akiba ya fedha za kigeni nchini Uturuki

    May 30, 2021 22:06

    Licha ya serikali ya Rais Recep Tayyip Edrogan kuchukua hatua nyingi za kuimarisha uchumi na kuongeza pato la kigeni, lakini pole pole uchumi wa nchi hiyo umeingia kwenye mgogoro mkubwa zaidi na kila siku idadi ya wananchi wa Uturuki wanaoingia kwenye orodha ya watu maskini, inaongezeka.

  • Makumi wauawa na kujeruhiwa huko Halab Syria katika mashambulizi ya magaidi wanaoungwa mkono na Uturuki

    Makumi wauawa na kujeruhiwa huko Halab Syria katika mashambulizi ya magaidi wanaoungwa mkono na Uturuki

    Mar 22, 2021 03:48

    Makumi ya watu wameuawa na wengine kujeruhiwa katika mashambulizi ya makombora yaliyofanywa akatika baadhi ya maeneo ya mji wa Halab huko Syria na magaidi wenye silaha wanaongwa mkono na Uturuki.

  • Uturuki: Israel ni mkiukaji wa sheria za kimataifa

    Uturuki: Israel ni mkiukaji wa sheria za kimataifa

    Mar 20, 2021 06:09

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Uturuki imesema mpango wa utawala wa Kizayuni wa Israel wa kupora ardhi na kubomoa nyumba za Wapalestina unakanyaga wazi sheria za kimataifa.

  • Iraq yaitahadharisha Uturuki kuhusu mashambulizi dhidi ya Sinjar

    Iraq yaitahadharisha Uturuki kuhusu mashambulizi dhidi ya Sinjar

    Feb 15, 2021 23:11

    Msemaji wa kikosi cha oparesheni za pamoja cha Iraq ameitahadharisha Uturuki kuhusu oparesheni ya jeshi katika eneo la Sinjar mkoani Nainawa huko Iraq na kueleza kuwa, Baghdad itachukua hatua zote za lazima iwapo itakabiliwa na shambulizi au uvamizi wowote wa nchi ajinabi.

  • Uturuki: Marekani ndiyo iliyopanga jaribio lililofeli la mapinduzi ya kijeshi 2016

    Uturuki: Marekani ndiyo iliyopanga jaribio lililofeli la mapinduzi ya kijeshi 2016

    Feb 05, 2021 04:32

    Waziri wa Mambo ya Ndani wa Uturuki ameituhumu Marekani kuwa ndio iliyopanga jaribio lililofeli la mapinduzi ya kijeshi la mwaka 2016, ambalo serikali ya Ankara imemhusisha nalo khatibu wa Kiislamu Fethullah Gulen anayeishi nchini Marekani.

  • Rais wa Uturuki: Jamii ya kimataifa ikomeshe uenezwaji chuki dhidi ya Uislamu

    Rais wa Uturuki: Jamii ya kimataifa ikomeshe uenezwaji chuki dhidi ya Uislamu

    Jan 28, 2021 03:55

    Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki amekosoa vyombo vya kijamii vya Magharibi kugeuzwa kuwa jukwaa la kuenezea chuki dhidi ya Uislamu na chuki dhidi ya wageni na akaitaka jamii ya kimataifa ichukue hatua kuzuia mwenendo huo.

  • Wasi wasi wa viongozi wa Ankara kuhusu kuharibika uhusiano wa Uturuki na Umoja wa Ulaya

    Wasi wasi wa viongozi wa Ankara kuhusu kuharibika uhusiano wa Uturuki na Umoja wa Ulaya

    Jan 24, 2021 22:59

    Licha ya kuongezeka kila siku hitilafu baina ya Uturuki na Umoja wa Ulaya lakini bado viongozi wa Ankara wanafuatilia juhudi za kupewa uanachama katika umoja huo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS