-
Iran yasikitishwa na moto mkubwa wa misituni ulioikumba Uturuki
Jul 30, 2021 22:10Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ameeleza masikitiko yake kufuatia moto mkubwa unaoendelea kuteketeza misitu nchini Uturuki.
-
Rouhani: Iran na Uturuki ni madola mawili makubwa ya Ulimwengu wa Kiislamu
Jul 22, 2021 03:27Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amefanya mazungumzo ya simu na Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki na mbali na kumpa mkono wa Idi, yeye, serikali na wananchi wa Uturuki amesema kuwa, nchi hizi mbili ni madola makubwa katika eneo hili na kwenye Ulimwengu wa Kiislamu na zina nafasi muhimu katika utatuzi wa matatizo ya eneo hili zima.
-
Licha ya kauli kali zitolewazo dhidi ya Wazayuni, marais wa Uturuki na Israel wataka kustawishwa uhusiano
Jul 15, 2021 03:42Chama tawala nchini Uturuki cha Uadilifu na Maendeleo AKP kimesema, Uturuki na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel zimekubaliana kuchukua hatua ili kustawisha uhusiano wao wenye mivutano kufuatia mazungumzo yaliyofanywa kwa njia ya simu kati ya marais wa pande hizo mbili.
-
Kupungua kupindukia akiba ya fedha za kigeni nchini Uturuki
May 30, 2021 22:06Licha ya serikali ya Rais Recep Tayyip Edrogan kuchukua hatua nyingi za kuimarisha uchumi na kuongeza pato la kigeni, lakini pole pole uchumi wa nchi hiyo umeingia kwenye mgogoro mkubwa zaidi na kila siku idadi ya wananchi wa Uturuki wanaoingia kwenye orodha ya watu maskini, inaongezeka.
-
Makumi wauawa na kujeruhiwa huko Halab Syria katika mashambulizi ya magaidi wanaoungwa mkono na Uturuki
Mar 22, 2021 03:48Makumi ya watu wameuawa na wengine kujeruhiwa katika mashambulizi ya makombora yaliyofanywa akatika baadhi ya maeneo ya mji wa Halab huko Syria na magaidi wenye silaha wanaongwa mkono na Uturuki.
-
Uturuki: Israel ni mkiukaji wa sheria za kimataifa
Mar 20, 2021 06:09Wizara ya Mambo ya Nje ya Uturuki imesema mpango wa utawala wa Kizayuni wa Israel wa kupora ardhi na kubomoa nyumba za Wapalestina unakanyaga wazi sheria za kimataifa.
-
Iraq yaitahadharisha Uturuki kuhusu mashambulizi dhidi ya Sinjar
Feb 15, 2021 23:11Msemaji wa kikosi cha oparesheni za pamoja cha Iraq ameitahadharisha Uturuki kuhusu oparesheni ya jeshi katika eneo la Sinjar mkoani Nainawa huko Iraq na kueleza kuwa, Baghdad itachukua hatua zote za lazima iwapo itakabiliwa na shambulizi au uvamizi wowote wa nchi ajinabi.
-
Uturuki: Marekani ndiyo iliyopanga jaribio lililofeli la mapinduzi ya kijeshi 2016
Feb 05, 2021 04:32Waziri wa Mambo ya Ndani wa Uturuki ameituhumu Marekani kuwa ndio iliyopanga jaribio lililofeli la mapinduzi ya kijeshi la mwaka 2016, ambalo serikali ya Ankara imemhusisha nalo khatibu wa Kiislamu Fethullah Gulen anayeishi nchini Marekani.
-
Rais wa Uturuki: Jamii ya kimataifa ikomeshe uenezwaji chuki dhidi ya Uislamu
Jan 28, 2021 03:55Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki amekosoa vyombo vya kijamii vya Magharibi kugeuzwa kuwa jukwaa la kuenezea chuki dhidi ya Uislamu na chuki dhidi ya wageni na akaitaka jamii ya kimataifa ichukue hatua kuzuia mwenendo huo.
-
Wasi wasi wa viongozi wa Ankara kuhusu kuharibika uhusiano wa Uturuki na Umoja wa Ulaya
Jan 24, 2021 22:59Licha ya kuongezeka kila siku hitilafu baina ya Uturuki na Umoja wa Ulaya lakini bado viongozi wa Ankara wanafuatilia juhudi za kupewa uanachama katika umoja huo.