-
Ayatullah Khamenei: Iran haina haja ya kuwa na uhusiano na Marekani
Jul 03, 2016 07:35Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amepuuzilia mbali madai ya Washington kuwa iko tayari kufanya mazungumzo na Iran juu ya masuala mbalimbali ya kieneo.
-
Vijana: Wanasiasa ndio chanzo cha mizozo na matatizo Afrika
Jun 17, 2016 04:44Idadi kubwa ya vijana barani Afrika wanahisi kuwa chimbuko la matatizo, mikwaruzano na migogoro katika nchi za bara hilo imetokana na wanasiasa wenye uchu wa madaraka na ubinafsi.