Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

vikwazo

  • Sisitizo la Troika ya Ulaya la kutokuwa na itibari jaribio la Marekani la kutaka kurejesha vikwazo dhidi ya Iran

    Sisitizo la Troika ya Ulaya la kutokuwa na itibari jaribio la Marekani la kutaka kurejesha vikwazo dhidi ya Iran

    Sep 12, 2020 02:54

    Baada ya kugonga mwamba hatua za kila aina ilizojaribu kuchukua Marekani ili kurefusha vikwazo vya silaha dhidi ya Iran, Washington iliibua dai la kutaka kurejesha vikwazo vya kimataifa dhidi ya Tehran, ambavyo viliondolewa baada ya kufikiwa makubaliano ya nyuklia ya JCPOA;

  • Vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya sekta ya Petrokemikali ya Iran, kielelezo cha kuishiwa na kupumbaa Washington

    Vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya sekta ya Petrokemikali ya Iran, kielelezo cha kuishiwa na kupumbaa Washington

    Sep 04, 2020 06:52

    Katika hatua za kutaka kuiburuza na kuilazimisha Iran isalimu amri kwa matakwa yake haramu na ya kinyume cha sheria, Serikali ya Trump iliamua kuanzisha vita vya mashinikizo ya kiwango cha juu kabisa dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu; na baada ya kujitoa kwenye makubaliano ya nyuklia ya JCPOA mnamo mwezi Mei 2018, ilianza kuiwekea Tehran vikwazo vikali zaidi kuwahi kushuhudiwa.

  • Vikwazo vya Marekani dhidi ya maafisa wa ngazi za juu wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai

    Vikwazo vya Marekani dhidi ya maafisa wa ngazi za juu wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai

    Sep 03, 2020 22:18

    Katika kipindi cha utawala wa Donald Trump nchini Marekani serikali ya Washington imechukua msimamo hasi na wa kihasama dhidi ya taasisi na jumuiya za kimataifa.

  • Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu: Vikwazo vya Marekani ni jinai dhidi ya taifa la Iran

    Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu: Vikwazo vya Marekani ni jinai dhidi ya taifa la Iran

    Aug 01, 2020 02:22

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei amevitaja vikwazo vya Marekani kuwa ni kitendo cha jinai dhidi ya taifa la Iran na ametoa wito wa kusimama kidete kukabiliana na adui huyo.

  • Vikwazo  vya Umoja wa Ulaya dhidi ya China, siasa za kundumakuwili za Brussels

    Vikwazo vya Umoja wa Ulaya dhidi ya China, siasa za kundumakuwili za Brussels

    Jul 29, 2020 22:03

    Ikiwa ni katika kudumishwa siasa za mashinikizo za nchi za Magharibi dhidi ya China, Umoja wa Ulaya kama ilivyofanya Marekani, umeiwekea vikwazo Beijing kwa kisingizio cha kutoheshimu haki za binadamu.

  • Borell akosoa vikwazo vya Marekani dhidi ya nchi mbalimbali

    Borell akosoa vikwazo vya Marekani dhidi ya nchi mbalimbali

    Jul 18, 2020 08:25

    Mkuu wa Siasa za Nje wa Umoja wa Ulaya amekosoa vikwazo vinavyowekwa na Marekani dhidi ya nchi nyingine vikiwemo vikwazo vya nchi hiyo dhidi ya mradi wa pili wa ujenzi wa bomba la gesi wa Russia kuelekea Ulaya wa Nord Stream 2.

  • Vikwazo vipya vya Umoja wa Ulaya dhidi ya Venezuela na jibu kali la Rais Maduro

    Vikwazo vipya vya Umoja wa Ulaya dhidi ya Venezuela na jibu kali la Rais Maduro

    Jul 01, 2020 05:53

    Tangu mgogoro wa kisiasa wa Venezuela uliposhadidi, Umoja wa Ulaya umekuwa pamoja na Marekani dhidi ya Rais Nicolas Maduro wa nchi hiyo.

  • Dunia nzima dhidi ya Trump; walimwengu walaani vikwazo vya Marekani dhidi ya Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu

    Dunia nzima dhidi ya Trump; walimwengu walaani vikwazo vya Marekani dhidi ya Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu

    Jun 25, 2020 01:56

    Mojawapo na sifa kuu za utawala wa Donald Trump huko Marekani ni sera na mtazamo mbaya wa kiongozi huyo kuhusiana na jumuiya na mashirika ya kikanda na kimataifa. Hatua ya karibuni zaidi ya Trump dhidi ya jumuiya za kimataifa ni vikwazo alivyoweka kwa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) ambayo ndicho chombo cha juu zaidi cha kimataifa chenye jukumu la kushughulikia uhalifu wa kivita na jinai zinazofanywa dhidi ya binadamu.

  • Malalamiko ya Ujerumani kwa vitisho vya Marekani dhidi ya usalama wa nishati barani Ulaya

    Malalamiko ya Ujerumani kwa vitisho vya Marekani dhidi ya usalama wa nishati barani Ulaya

    Jun 15, 2020 03:30

    Baada ya Donald Trump kuingia katika Ikulu ya Marekani, White House, uhusiano wa Washington na Umoja wa Ulaya ikiwemo Ujerumani umevurugika na kufikia kiwango cha chini kabisa. Uhusiano huo umezidi kuwa mbaya baada ya Trump kuzungumzia suala la kuondoa wanajeshi wa Marekani huko Ujerumani.

  • Kuisusia ICC; muendelezo wa ushari wa Trump dhidi ya taasisi za kimataifa

    Kuisusia ICC; muendelezo wa ushari wa Trump dhidi ya taasisi za kimataifa

    Jun 12, 2020 22:35

    Rais wa Marekani, Donald Trump anaendeleza ushari wake wa kutojali, kuponda na kutoa vitisho dhidi ya taasisi za kimataifa. Hadi hivi sasa Trump ameshaitoa Marekani kwenye taasisi kadhaa za Umoja wa Mataifa kama vile UNESCO na Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa na hivi sasa ametishia kuiwekea vikwazo Mahakama ya Kimataifa ya Jinai, ICC.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS