-
Waislamu India wapinga uchochezi wa Wahindu
Mar 02, 2016 03:45Waislamu wa India wamefanya maandamano mjini New Delhi wakipinga vitendo vya kichochezi vinavyofanywa na Wahindu wenye misimamo mikali.
-
Rais wa zamani wa Sudan ataka Waislamu waungane dhidi ya Israel
Feb 24, 2016 11:04Rais wa zamani wa Sudan, Abdurahman Suwar al-Dhahab ametoa wito wa kuweko mshikamano baina ya Waislamu ili kuweza kuzima njama za utawala haramu wa Israel dhidi yao.
-
Waislamu na Wakristo wa Cameroon kulinda misikiti na makanisa dhidi ya mashambulio ya Boko Haram
Feb 23, 2016 00:09Waislamu na Wakristo wa Cameroon wanaandaa mikakati ya kupambana na kundi la Boko Haram la nchini Nigeria.
-
Matukio ya wiki ya Kiislamu
Feb 13, 2016 03:16Matukio muhimu ya Kiislamu ukanda wa Afrika Mashariki