-
Syria: Tutaheshimu makubaliano ya kupunguza machafuko, lakini tutatoa jibu kali kwa atakayeyavunja
May 08, 2017 23:50Waziri wa Mambo ya Nje wa Syria, Walid Muallem amesema kuwa, serikali ya nchi hiyo imekaribisha hati ya makubaliano kwa ajili ya kupunguza mgogoro ndani ya maeneo manne maalumu, yaliyofikiwa katika kikao cha Astana 4 huko Kazakhstan, na kwamba lengo la hatua hiyo ni kudhamini usalama wa raia na kuboresha hali yao ya maisha.
-
Pendekezo la Waziri wa Mambo ya Nje wa Lebanon la kumaliza mgogoro wa kubaki wazi kiti cha Urais
Aug 12, 2016 22:19Baada jitihada zote zilizofanywa hadi sasa kumaliza hitilafu baina ya mirengo ya kisiasa ya Lebanon kwa ajili ya kumchagua rais mpya, Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo Gebran Bassil amesema njia pekee ya kutatua mgogoro ni kumchagua rais kwa maafikiano.
-
Iran yalaani mashambulizi ya kigaidi ya Brussels
Mar 23, 2016 02:51Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani mashambulizi ya kigaidi yaliyotokea jana katika mji mkuu wa Ubelgiji, Brussels na kusababisha vifo vya makumi ya watu.