-
Mousavi: Uingiliaji wa Marekani katika masuala ya Iran hautokani na kulitakia kheri taifa hili
Nov 25, 2019 08:43Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, matamshi na uingiliaji wa viongozi wa Marekani katika machafuko ya hivi karibuni nchini Iran chimbuko lake siyo urafiki au kulitakia kheri taifa hili.
-
Tehran: Nchi zilizozaa ugaidi zisiibebeshe Iran matatizo yao
Nov 24, 2019 08:44Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amejibu matamshi ya kipuuzi na yasiyo na msingi yaliyotolewa na baadhi ya washiriki wa kikao kilichopewa jina la "Mazungumzo ya Manama" huko Bahran na kusisitiza kuwa tuhuma zilizotolewa na watu hao dhidi ya Iran hazina msingi.
-
Jordan yatupilia mbali madai ya Israel ya kutaka kurefusha muda wa udhibiti wa ardhi za Baqora na Ghamra
Oct 17, 2019 10:19Wizara ya Mambo ya Nje ya Jordan imetangaza habari ya kutupilia mbali madai ya vyombo vya habari vya utawala haramu wa Kizayuni kwamba serikali ya Amman imeukubalia utawala huo kuendelea kukodi ardhi za maeneo ya Baqora na Ghamra.
-
Vitisho vya Marekani vya kuwawekea vikwazo waitifaki wake iwapo watanunua silaha za Russia
Oct 04, 2019 05:33Mwenendo wa Marekani wa kuchukua hatua za upande mmoja na nchi hiyo kupanua ubeberu wake katika kipindi cha Rais Donald Trump, umeshika kasi zaidi na sasa umechukua sura mpya.
-
Iran: Tutachukua hatua kubwa zaidi kama nchi za Ulaya zitaendelea kukwepa majukumu yao + Video
Jul 08, 2019 07:03Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa, kama nchi zilizobakia katika mapatano ya nyuklia ya JCPOA hasa za Ulaya zitaendelea kukwepa kutekeleza majukumu yao, basi Tehran itaingia kwa nguvu kubwa zaidi katika awamu ya tatu ya kupunguza utekelezaji wa ahadi zake ndani ya mapatano hayo.
-
Mamlaka ya Ndani ya Palestina: Tunaupinga mpango wa Marekani wa "Muamala wa Karne"
Apr 26, 2019 00:14Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Mamlaka ya Ndani ya Palestina kwa mara nyingine tena imesisitiza kuwa, inapinga mpango wa Marekani wa "Muamala wa Karne".
-
Iran: 'Siku ya Ardhi' ni nembo ya mapambano dhidi ya ukaliaji ardhi kwa mabavu wa utawala wa Kizayuni
Mar 29, 2019 21:49Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imetoa taarifa na kusema: "Siku ya Ardhi" katika historia na utamaduni wa muqawama na mapambano ya Wapalestina ni nukta ya msingi ambayo imekuwa na nafasi muhimu katika kuendelea kuhuisha mapambano mbele ya ukaliaji ardhi kwa mabavu unaofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Wizara ya Mambo ya Nje ya Iraq: Marekani haina ruhusa ya kutumia ardhi ya Iraq dhidi ya Iran
Mar 17, 2019 21:50Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iraq amesisitiza kuwa, Marekani haina ruhusu ya kuzichukulia hatua nchi jirani hususan Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kupitia ardhi ya Iraq.
-
Iran: Serikali ya Marekani ndiyo mkiukaji mkubwa kabisa wa haki za binadamu
Mar 15, 2019 03:50Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema: Serikali ya Marekani ndiyo mkiukaji mkubwa kabisa wa haki za binadamu za wananchi wa Iran, kwani kwa kuwatwisha vikwazo vyake haramu vya nje ya mipaka na vya upande mmoja, Washington haijasita kuchukua hatua yoyote ya kukanyaga haki za raia wa Iran.
-
Iran yasisitiza udharura wa kuwa na uhusiano mwema na nchi zote duniani
Feb 09, 2019 13:44Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kislamu ya Iran imetoa taarifa kwa mnasaba wa maadhimisho ya mwaka wa 40 wa Mapinduzi ya Kiislamu hapa nchini na kusisitiza kuwa: Kuwa na uhusiano wa heshima, wa amani na wa pande kadhaa na nchi za dunia ni miongoni mwa stratijia za Iran.