-
Mamlaka ya Ndani ya Palestina: Tunaupinga mpango wa Marekani wa "Muamala wa Karne"
Apr 26, 2019 00:14Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Mamlaka ya Ndani ya Palestina kwa mara nyingine tena imesisitiza kuwa, inapinga mpango wa Marekani wa "Muamala wa Karne".
-
Iran: 'Siku ya Ardhi' ni nembo ya mapambano dhidi ya ukaliaji ardhi kwa mabavu wa utawala wa Kizayuni
Mar 29, 2019 21:49Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imetoa taarifa na kusema: "Siku ya Ardhi" katika historia na utamaduni wa muqawama na mapambano ya Wapalestina ni nukta ya msingi ambayo imekuwa na nafasi muhimu katika kuendelea kuhuisha mapambano mbele ya ukaliaji ardhi kwa mabavu unaofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Wizara ya Mambo ya Nje ya Iraq: Marekani haina ruhusa ya kutumia ardhi ya Iraq dhidi ya Iran
Mar 17, 2019 21:50Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iraq amesisitiza kuwa, Marekani haina ruhusu ya kuzichukulia hatua nchi jirani hususan Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kupitia ardhi ya Iraq.
-
Iran: Serikali ya Marekani ndiyo mkiukaji mkubwa kabisa wa haki za binadamu
Mar 15, 2019 03:50Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema: Serikali ya Marekani ndiyo mkiukaji mkubwa kabisa wa haki za binadamu za wananchi wa Iran, kwani kwa kuwatwisha vikwazo vyake haramu vya nje ya mipaka na vya upande mmoja, Washington haijasita kuchukua hatua yoyote ya kukanyaga haki za raia wa Iran.
-
Iran yasisitiza udharura wa kuwa na uhusiano mwema na nchi zote duniani
Feb 09, 2019 13:44Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kislamu ya Iran imetoa taarifa kwa mnasaba wa maadhimisho ya mwaka wa 40 wa Mapinduzi ya Kiislamu hapa nchini na kusisitiza kuwa: Kuwa na uhusiano wa heshima, wa amani na wa pande kadhaa na nchi za dunia ni miongoni mwa stratijia za Iran.
-
Kujibu mapigo Russia; amri ya Putin ya kusimamishwa utekelezaji wa mkataba wa silaha za nyuklia wa INF
Feb 03, 2019 04:23Tarehe 20 Oktoba 2018, katika mwendelezo wa sera zake kuu za kujitoa kwenye mikataba na makubaliano ya kimataifa, Rais Donald Trump wa Marekani alitangaza kuwa nchi yake itajiondoa pia kwenye mkataba wa silaha za nyuklia za masafa ya kati, kwa kifupi INF.
-
Iran: Nchi za Ulaya si wakweli katika suala la kupambana na ugaidi
Jan 09, 2019 13:30Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani uamuzi usio na mantiki na wa kushangaza uliochukuliwa na Umoja wa Ulaya wa kuwawekea vikwazo raia kadhaa wa Iran kwa kutegemea tuhuma zisizo na msingi wowote.
-
Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Palestina yalalamikia kuendelea kuchimbwa mashimo chini ya Masjid al-Aqswa
Dec 30, 2018 23:13Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Mamlaka ya Ndani ya Palestina imetoa taarifa ikitaka kufanyike uchunguzi wa kimataifa kuhusu uchimbaji mashimbo unaofanywa na Wazayuni chini ya Msikiti wa al-Aqswa na maeneo ya kandokando na msikiti huo.
-
Syria yalalamikia wizi unaofanywa na Marekani, Ufaransa na Uturuki wa turathi zake
Dec 11, 2018 21:40Wizara ya Mambo ya Nje ya Syria imetoa taarifa ikilalamikia wizi unaofanywa na wavamizi hususan Marekani, Ufaransa na Uturuki wa turathi zake za kale za kiutamaduni.
-
Bahram Qassemi: Wananchi wa Iran watazishinda siasa za ubabe na utumiaji mabavu
Nov 11, 2018 04:21Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, wananchi wa Iran wataushinda ubabe na utumiaji mabavu kutoka upande wowote ule, na historia ni ushahidi wa wazi wa utamaduni na mwenendo huu wa Wairani.