Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Wizara ya Mambo ya Nje

  • Mousavi: Uingiliaji wa Marekani katika masuala ya Iran hautokani na kulitakia kheri taifa hili

    Mousavi: Uingiliaji wa Marekani katika masuala ya Iran hautokani na kulitakia kheri taifa hili

    Nov 25, 2019 08:43

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, matamshi na uingiliaji wa viongozi wa Marekani katika machafuko ya hivi karibuni nchini Iran chimbuko lake siyo urafiki au kulitakia kheri taifa hili.

  • Tehran: Nchi zilizozaa ugaidi zisiibebeshe Iran matatizo yao

    Tehran: Nchi zilizozaa ugaidi zisiibebeshe Iran matatizo yao

    Nov 24, 2019 08:44

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amejibu matamshi ya kipuuzi na yasiyo na msingi yaliyotolewa na baadhi ya washiriki wa kikao kilichopewa jina la "Mazungumzo ya Manama" huko Bahran na kusisitiza kuwa tuhuma zilizotolewa na watu hao dhidi ya Iran hazina msingi.

  • Jordan yatupilia mbali madai ya Israel ya kutaka kurefusha muda wa udhibiti wa ardhi za Baqora na Ghamra

    Jordan yatupilia mbali madai ya Israel ya kutaka kurefusha muda wa udhibiti wa ardhi za Baqora na Ghamra

    Oct 17, 2019 10:19

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Jordan imetangaza habari ya kutupilia mbali madai ya vyombo vya habari vya utawala haramu wa Kizayuni kwamba serikali ya Amman imeukubalia utawala huo kuendelea kukodi ardhi za maeneo ya Baqora na Ghamra.

  • Vitisho vya Marekani vya kuwawekea vikwazo waitifaki wake iwapo watanunua silaha za Russia

    Vitisho vya Marekani vya kuwawekea vikwazo waitifaki wake iwapo watanunua silaha za Russia

    Oct 04, 2019 05:33

    Mwenendo wa Marekani wa kuchukua hatua za upande mmoja na nchi hiyo kupanua ubeberu wake katika kipindi cha Rais Donald Trump, umeshika kasi zaidi na sasa umechukua sura mpya.

  • Iran: Tutachukua hatua kubwa zaidi kama nchi za Ulaya zitaendelea kukwepa majukumu yao + Video

    Iran: Tutachukua hatua kubwa zaidi kama nchi za Ulaya zitaendelea kukwepa majukumu yao + Video

    Jul 08, 2019 07:03

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa, kama nchi zilizobakia katika mapatano ya nyuklia ya JCPOA hasa za Ulaya zitaendelea kukwepa kutekeleza majukumu yao, basi Tehran itaingia kwa nguvu kubwa zaidi katika awamu ya tatu ya kupunguza utekelezaji wa ahadi zake ndani ya mapatano hayo.

  • Mamlaka ya Ndani ya Palestina: Tunaupinga mpango wa Marekani wa

    Mamlaka ya Ndani ya Palestina: Tunaupinga mpango wa Marekani wa "Muamala wa Karne"

    Apr 26, 2019 00:14

    Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Mamlaka ya Ndani ya Palestina kwa mara nyingine tena imesisitiza kuwa, inapinga mpango wa Marekani wa "Muamala wa Karne".

  • Iran: 'Siku ya Ardhi' ni nembo ya mapambano dhidi ya ukaliaji ardhi kwa mabavu wa utawala wa Kizayuni

    Iran: 'Siku ya Ardhi' ni nembo ya mapambano dhidi ya ukaliaji ardhi kwa mabavu wa utawala wa Kizayuni

    Mar 29, 2019 21:49

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imetoa taarifa na kusema: "Siku ya Ardhi" katika historia na utamaduni wa muqawama na mapambano ya Wapalestina ni nukta ya msingi ambayo imekuwa na nafasi muhimu katika kuendelea kuhuisha mapambano mbele ya ukaliaji ardhi kwa mabavu unaofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Wizara ya Mambo ya Nje ya Iraq: Marekani haina ruhusa ya kutumia ardhi ya Iraq dhidi ya Iran

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Iraq: Marekani haina ruhusa ya kutumia ardhi ya Iraq dhidi ya Iran

    Mar 17, 2019 21:50

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iraq amesisitiza kuwa, Marekani haina ruhusu ya kuzichukulia hatua nchi jirani hususan Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kupitia ardhi ya Iraq.

  • Iran: Serikali ya Marekani ndiyo mkiukaji mkubwa kabisa wa haki za binadamu

    Iran: Serikali ya Marekani ndiyo mkiukaji mkubwa kabisa wa haki za binadamu

    Mar 15, 2019 03:50

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema: Serikali ya Marekani ndiyo mkiukaji mkubwa kabisa wa haki za binadamu za wananchi wa Iran, kwani kwa kuwatwisha vikwazo vyake haramu vya nje ya mipaka na vya upande mmoja, Washington haijasita kuchukua hatua yoyote ya kukanyaga haki za raia wa Iran.

  • Iran yasisitiza udharura wa kuwa na uhusiano mwema na nchi zote duniani

    Iran yasisitiza udharura wa kuwa na uhusiano mwema na nchi zote duniani

    Feb 09, 2019 13:44

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kislamu ya Iran imetoa taarifa kwa mnasaba wa maadhimisho ya mwaka wa 40 wa Mapinduzi ya Kiislamu hapa nchini na kusisitiza kuwa: Kuwa na uhusiano wa heshima, wa amani na wa pande kadhaa na nchi za dunia ni miongoni mwa stratijia za Iran.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS