Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Wizara ya Mambo ya Nje

  • Iran: Kurejea vikwazo vya Marekani ni kusambaratika maadili na siasa za utawala wa Washington

    Iran: Kurejea vikwazo vya Marekani ni kusambaratika maadili na siasa za utawala wa Washington

    Nov 03, 2018 11:10

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imetoa taarifa na kusema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa ushirikiano na nchi rafiki na kwa kutegemea uwezo wake wa ndani na kimataifa, itatumia busara na kuweza kuvuka vikwazo visivyo vya kisheria vya Marekani.

  • Iran: Trump ameshindwa ndio maana anazidi kupayuka

    Iran: Trump ameshindwa ndio maana anazidi kupayuka

    Oct 15, 2018 04:24

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, viongozi wa Marekani hasa Donald Trump wanaendelea kushindwa mtawalia mbele ya irada na tadibiri makini ya serikali na taifa la Iran na ndio maana wanazidi kutoa tuhuma zisizo na msingi dhidi ya Tehran.

  • Algeria yalaani jinai za wanajeshi wa Israel katika Ukanda wa Ghaza

    Algeria yalaani jinai za wanajeshi wa Israel katika Ukanda wa Ghaza

    Aug 11, 2018 22:39

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Algeria amelaani vikali jinai za wanajeshi makatili wa utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Ghaza.

  • Askari usalama wavamia jengo la wizara ya mambo ya nje ya Somalia

    Askari usalama wavamia jengo la wizara ya mambo ya nje ya Somalia

    Aug 04, 2018 22:03

    Duru za habari Somalia zimeripoti kuwa askari usalama wamevamia jengo la Wizara ya Mambo ya Nje katika mji mkuu Mogadishu kwa lengo la kumtia nguvuni Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo.

  • Iran yalaani kuendelea jinai za wavamizi Wasaudi dhidi ya watu wa Yemen

    Iran yalaani kuendelea jinai za wavamizi Wasaudi dhidi ya watu wa Yemen

    Aug 03, 2018 10:56

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuendelea jina za kila siku za wavamizi Wasaudi na kimya cha jamii ya kimataifa kumepelekea hali ya watu wa Yemen kuwa mbaya zaidi.

  • Qassemi: Jinai ya Marekani ya kutungua ndege ya abiria ya Iran haitasahaulika

    Qassemi: Jinai ya Marekani ya kutungua ndege ya abiria ya Iran haitasahaulika

    Jul 03, 2018 10:52

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Iran amesema kuwa Wairani kamwe hawatasahau jinai ya shambulizi la meli ya kivita ya Marekani dhidi ya ndege ya abiria ya Iran katika anga ya maji ya Ghuba ya Uajemi.

  • Qassemi: EU ichukue uamuzi haraka kuhusu namna ya kuendeleza JCPOA

    Qassemi: EU ichukue uamuzi haraka kuhusu namna ya kuendeleza JCPOA

    Jun 11, 2018 10:31

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ameutaka Umoja wa Ulaya uchukue uamuzi haraka kuhusu namna makubaliano ya nyuklia ya JCPOA yataweza kuendelezwa.

  • Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran yatoa jibu kwa matamshi machafu ya Pompeo

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran yatoa jibu kwa matamshi machafu ya Pompeo

    May 22, 2018 05:03

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetoa taarifa maalumu inayoeleza kwamba matamshi ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani dhidi ya Iran ni ishara ya kuemewa na kuishiwa nchi hiyo na kutojua la kufanya.

  • Qassemi: Iwapo Marekani itajitoa katika JCPOA, itapata pigo kubwa

    Qassemi: Iwapo Marekani itajitoa katika JCPOA, itapata pigo kubwa

    May 07, 2018 10:59

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa, iwapo Marekani itajitoa katika mapatano ya nyuklia yanayojulikana kwa kifupi kama JCPOA, basi madhara yake yataikumba Washington yenyewe kabla ya upande mwingine wowote.

  • Yemen: Njia pekee ya kusitisha kipigo cha makombora ya Yemen nchini Saudia ni kukomeshwa jinai za Aal Saud

    Yemen: Njia pekee ya kusitisha kipigo cha makombora ya Yemen nchini Saudia ni kukomeshwa jinai za Aal Saud

    Apr 13, 2018 02:39

    Mshauri wa Waziri wa Mambo ya Nje wa Yemen amesema kuwa njia pekee ya kukomeshwa kipigo cha makombora ya jeshi la Yemen na harakati ya wananchi ya Answarullah dhidi ya Saudi Arabia, ni utawala wa Aal-Saud kuacha kuwashambulia raia wasio na hatia wa Yemen.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS