-
Iran: Kurejea vikwazo vya Marekani ni kusambaratika maadili na siasa za utawala wa Washington
Nov 03, 2018 11:10Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imetoa taarifa na kusema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa ushirikiano na nchi rafiki na kwa kutegemea uwezo wake wa ndani na kimataifa, itatumia busara na kuweza kuvuka vikwazo visivyo vya kisheria vya Marekani.
-
Iran: Trump ameshindwa ndio maana anazidi kupayuka
Oct 15, 2018 04:24Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, viongozi wa Marekani hasa Donald Trump wanaendelea kushindwa mtawalia mbele ya irada na tadibiri makini ya serikali na taifa la Iran na ndio maana wanazidi kutoa tuhuma zisizo na msingi dhidi ya Tehran.
-
Algeria yalaani jinai za wanajeshi wa Israel katika Ukanda wa Ghaza
Aug 11, 2018 22:39Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Algeria amelaani vikali jinai za wanajeshi makatili wa utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Ghaza.
-
Askari usalama wavamia jengo la wizara ya mambo ya nje ya Somalia
Aug 04, 2018 22:03Duru za habari Somalia zimeripoti kuwa askari usalama wamevamia jengo la Wizara ya Mambo ya Nje katika mji mkuu Mogadishu kwa lengo la kumtia nguvuni Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo.
-
Iran yalaani kuendelea jinai za wavamizi Wasaudi dhidi ya watu wa Yemen
Aug 03, 2018 10:56Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuendelea jina za kila siku za wavamizi Wasaudi na kimya cha jamii ya kimataifa kumepelekea hali ya watu wa Yemen kuwa mbaya zaidi.
-
Qassemi: Jinai ya Marekani ya kutungua ndege ya abiria ya Iran haitasahaulika
Jul 03, 2018 10:52Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Iran amesema kuwa Wairani kamwe hawatasahau jinai ya shambulizi la meli ya kivita ya Marekani dhidi ya ndege ya abiria ya Iran katika anga ya maji ya Ghuba ya Uajemi.
-
Qassemi: EU ichukue uamuzi haraka kuhusu namna ya kuendeleza JCPOA
Jun 11, 2018 10:31Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ameutaka Umoja wa Ulaya uchukue uamuzi haraka kuhusu namna makubaliano ya nyuklia ya JCPOA yataweza kuendelezwa.
-
Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran yatoa jibu kwa matamshi machafu ya Pompeo
May 22, 2018 05:03Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetoa taarifa maalumu inayoeleza kwamba matamshi ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani dhidi ya Iran ni ishara ya kuemewa na kuishiwa nchi hiyo na kutojua la kufanya.
-
Qassemi: Iwapo Marekani itajitoa katika JCPOA, itapata pigo kubwa
May 07, 2018 10:59Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa, iwapo Marekani itajitoa katika mapatano ya nyuklia yanayojulikana kwa kifupi kama JCPOA, basi madhara yake yataikumba Washington yenyewe kabla ya upande mwingine wowote.
-
Yemen: Njia pekee ya kusitisha kipigo cha makombora ya Yemen nchini Saudia ni kukomeshwa jinai za Aal Saud
Apr 13, 2018 02:39Mshauri wa Waziri wa Mambo ya Nje wa Yemen amesema kuwa njia pekee ya kukomeshwa kipigo cha makombora ya jeshi la Yemen na harakati ya wananchi ya Answarullah dhidi ya Saudi Arabia, ni utawala wa Aal-Saud kuacha kuwashambulia raia wasio na hatia wa Yemen.