Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Wizara ya Mambo ya Nje

  • Syria yataka askari vamizi wa Uturuki kuondoka mara moja eneo la Afrin

    Syria yataka askari vamizi wa Uturuki kuondoka mara moja eneo la Afrin

    Mar 20, 2018 00:43

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Syria imemwandikia barua Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa na Mwenyekiti wa hivi sasa wa Baraza la Usalama la umoja huo, ikilalamikia uvamizi na jinai za jeshi la Uturuki dhidi ya mji wake wa Afrin na wakazi wake.

  • Russia yajibu mapigo, yawatimua wanadiplomasia wa Uingereza

    Russia yajibu mapigo, yawatimua wanadiplomasia wa Uingereza

    Mar 18, 2018 03:01

    Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Russia imetangaza kuwa, wanadiplomasia 23 wa Uingereza wamefukuzwa nchini humo na kwamba wanapaswa kuondoka katika ardhi ya nchi hiyo katika kipindi cha wiki moja ijayo.

  • Kufukuzwa wanadiplomasia wa Russia nchini Uingereza na kushtadi mikwaruzano kati ya Moscow na London

    Kufukuzwa wanadiplomasia wa Russia nchini Uingereza na kushtadi mikwaruzano kati ya Moscow na London

    Mar 15, 2018 07:39

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia jana Jumatano ilitoa taarifa na kubainisha kuwa uamuzi uliochukuliwa na Theresa May Waziri Mkuu wa Uingereza wa kuwafukuza nchini humo wanadiplomasia 23 wa Russia pamoja na hatua nyinginezo, ni kitendo cha uchochezi. Wakati huo huo Moscow imeashiria madai ya Uingereza ya kupewa sumu Sergei Sripal jasusi wa amani wa Russia nchini humo na hatua nyinginezo zilizochukuliwa na London na kutahadharisha kuwa: "Uingereza imechagua mkondo wa makabiliano."

  • Iran: Serikali ya Uingereza inaunga mkono mvamizi katika vita vya Yemen

    Iran: Serikali ya Uingereza inaunga mkono mvamizi katika vita vya Yemen

    Feb 26, 2018 10:34

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran Bahram Qassemi amesema: Pamoja na kuwa serikali ya Uingereza inatoa nara za kumaliza vita Yemen lakini inatumia ushawishi wake kimataifa kuunga mkono mvamizi."

  • Syria yaionya Israel isithubutu tena kuingiza ndege zake nchini humo

    Syria yaionya Israel isithubutu tena kuingiza ndege zake nchini humo

    Feb 15, 2018 00:34

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Syria ametoa onyo kali akisema kuwa utawala wa Kizayuni wa Israel usithubutu tena kuishambulia nchi yake vinginevyo itakumbwa na majibu yatakayouweka mdomo wazi.

  • Kuongezeka matatizo ndani ya Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Marekani

    Kuongezeka matatizo ndani ya Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Marekani

    Feb 05, 2018 04:09

    Mwanadiplomasia mmoja wa zamani wa Marekani amesema kuwa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya nchi hiyo hivi sasa inakabiliwa na matatizo chungu nzima.

  • Wizara ya Mambo ya Nje Iran yamjibu Trump, Tehran haitafanya mazungumzo kuhusu JCPOA

    Wizara ya Mambo ya Nje Iran yamjibu Trump, Tehran haitafanya mazungumzo kuhusu JCPOA

    Jan 13, 2018 10:48

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imetoa taarifa rasmi ikitangaza kuwa, kwa mara nyinghine tena Rais wa Marekani amelazimika kurefusha muda wa kusitisha vikwazo vya nyuklia vya Iran licha ya juhudi zake za mwaka mzima za kutaka kufuta makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.

  • ​Palestina:  Baraza la Usalama lifanye kikao haraka kujadili ujenzi wa vitongoji​

    ​Palestina: Baraza la Usalama lifanye kikao haraka kujadili ujenzi wa vitongoji​

    Feb 09, 2017 12:58

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Mamlaka ya Ndani ya Palestina imetoa taarifa ya kutaka Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa liitishe kikao cha haraka ili kuchukua hatua zinazotakiwa kuzuia ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni unaoendelea kufanywa na utawala haramu wa Israel na ukiukaji wa maazmio ya kimataifa unaofanywa na utawala huo.

  • Iran yamwita balozi wa Uswisi kulalamikia Marekani kuwapiga marufuku Waislamu

    Iran yamwita balozi wa Uswisi kulalamikia Marekani kuwapiga marufuku Waislamu

    Jan 29, 2017 10:32

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imemuita Balozi wa Usiwis mjini Tehran na kumkabidhi malalamiko rasmi kufuatia hatua ya rais wa Marekani kupitisha sheria za kibaguzi za kuwazuia raia wa Iran na nchi zingine sita za Kiislamu kuingia nchini humo.

  • Iran yalaani mashambulizi ya kigaidi Saudi Arabia

    Iran yalaani mashambulizi ya kigaidi Saudi Arabia

    Jul 05, 2016 02:13

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imelaani mashambulizi ya kigaidi yaliyofanyika jana jioni katika maeneo mbalimbali ya Saudi Arabia likiwemo lile lililotokea karibu na Msikiti wa Mtume (saw) katika mji mtakatifu wa Madina.

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS