Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Wizara ya Mambo ya Nje

  • Qassemi: Jinai ya Marekani ya kutungua ndege ya abiria ya Iran haitasahaulika

    Qassemi: Jinai ya Marekani ya kutungua ndege ya abiria ya Iran haitasahaulika

    Jul 03, 2018 10:52

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Iran amesema kuwa Wairani kamwe hawatasahau jinai ya shambulizi la meli ya kivita ya Marekani dhidi ya ndege ya abiria ya Iran katika anga ya maji ya Ghuba ya Uajemi.

  • Qassemi: EU ichukue uamuzi haraka kuhusu namna ya kuendeleza JCPOA

    Qassemi: EU ichukue uamuzi haraka kuhusu namna ya kuendeleza JCPOA

    Jun 11, 2018 10:31

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ameutaka Umoja wa Ulaya uchukue uamuzi haraka kuhusu namna makubaliano ya nyuklia ya JCPOA yataweza kuendelezwa.

  • Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran yatoa jibu kwa matamshi machafu ya Pompeo

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran yatoa jibu kwa matamshi machafu ya Pompeo

    May 22, 2018 05:03

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetoa taarifa maalumu inayoeleza kwamba matamshi ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani dhidi ya Iran ni ishara ya kuemewa na kuishiwa nchi hiyo na kutojua la kufanya.

  • Qassemi: Iwapo Marekani itajitoa katika JCPOA, itapata pigo kubwa

    Qassemi: Iwapo Marekani itajitoa katika JCPOA, itapata pigo kubwa

    May 07, 2018 10:59

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa, iwapo Marekani itajitoa katika mapatano ya nyuklia yanayojulikana kwa kifupi kama JCPOA, basi madhara yake yataikumba Washington yenyewe kabla ya upande mwingine wowote.

  • Yemen: Njia pekee ya kusitisha kipigo cha makombora ya Yemen nchini Saudia ni kukomeshwa jinai za Aal Saud

    Yemen: Njia pekee ya kusitisha kipigo cha makombora ya Yemen nchini Saudia ni kukomeshwa jinai za Aal Saud

    Apr 13, 2018 02:39

    Mshauri wa Waziri wa Mambo ya Nje wa Yemen amesema kuwa njia pekee ya kukomeshwa kipigo cha makombora ya jeshi la Yemen na harakati ya wananchi ya Answarullah dhidi ya Saudi Arabia, ni utawala wa Aal-Saud kuacha kuwashambulia raia wasio na hatia wa Yemen.

  • Syria yataka askari vamizi wa Uturuki kuondoka mara moja eneo la Afrin

    Syria yataka askari vamizi wa Uturuki kuondoka mara moja eneo la Afrin

    Mar 20, 2018 00:43

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Syria imemwandikia barua Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa na Mwenyekiti wa hivi sasa wa Baraza la Usalama la umoja huo, ikilalamikia uvamizi na jinai za jeshi la Uturuki dhidi ya mji wake wa Afrin na wakazi wake.

  • Russia yajibu mapigo, yawatimua wanadiplomasia wa Uingereza

    Russia yajibu mapigo, yawatimua wanadiplomasia wa Uingereza

    Mar 18, 2018 03:01

    Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Russia imetangaza kuwa, wanadiplomasia 23 wa Uingereza wamefukuzwa nchini humo na kwamba wanapaswa kuondoka katika ardhi ya nchi hiyo katika kipindi cha wiki moja ijayo.

  • Kufukuzwa wanadiplomasia wa Russia nchini Uingereza na kushtadi mikwaruzano kati ya Moscow na London

    Kufukuzwa wanadiplomasia wa Russia nchini Uingereza na kushtadi mikwaruzano kati ya Moscow na London

    Mar 15, 2018 07:39

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia jana Jumatano ilitoa taarifa na kubainisha kuwa uamuzi uliochukuliwa na Theresa May Waziri Mkuu wa Uingereza wa kuwafukuza nchini humo wanadiplomasia 23 wa Russia pamoja na hatua nyinginezo, ni kitendo cha uchochezi. Wakati huo huo Moscow imeashiria madai ya Uingereza ya kupewa sumu Sergei Sripal jasusi wa amani wa Russia nchini humo na hatua nyinginezo zilizochukuliwa na London na kutahadharisha kuwa: "Uingereza imechagua mkondo wa makabiliano."

  • Iran: Serikali ya Uingereza inaunga mkono mvamizi katika vita vya Yemen

    Iran: Serikali ya Uingereza inaunga mkono mvamizi katika vita vya Yemen

    Feb 26, 2018 10:34

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran Bahram Qassemi amesema: Pamoja na kuwa serikali ya Uingereza inatoa nara za kumaliza vita Yemen lakini inatumia ushawishi wake kimataifa kuunga mkono mvamizi."

  • Syria yaionya Israel isithubutu tena kuingiza ndege zake nchini humo

    Syria yaionya Israel isithubutu tena kuingiza ndege zake nchini humo

    Feb 15, 2018 00:34

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Syria ametoa onyo kali akisema kuwa utawala wa Kizayuni wa Israel usithubutu tena kuishambulia nchi yake vinginevyo itakumbwa na majibu yatakayouweka mdomo wazi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS