-
Siku ya Kitaifa ya Teknolojia ya Nyuklia; Jitihada za Kujitosheleza
Apr 07, 2016 06:45Maadhimisho ya Siku ya Kitaifa ya Teknolojia ya Nyuklia yamefanyika leo katika hafla maalumu iliyodhuhuriwa na Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislam ya Iran sambamba na kuzinduliwa mafanikio kadhaa ya nyuklia.