-
Kenya yatathmini teknolojia ya kuzalisha umeme wa nyuklia
May 03, 2016 03:00Kenya imetangaza kuanzisha tathmini kuhusu ni teknolojia ipi ya nyuklia itumike ili kujenga kinu cha nyuklia nchini humo.
-
Siku ya Kitaifa ya Teknolojia ya Nyuklia; Jitihada za Kujitosheleza
Apr 07, 2016 06:45Maadhimisho ya Siku ya Kitaifa ya Teknolojia ya Nyuklia yamefanyika leo katika hafla maalumu iliyodhuhuriwa na Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislam ya Iran sambamba na kuzinduliwa mafanikio kadhaa ya nyuklia.