Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Zanzibar

  • Rais wa Zanzibar atangaza Baraza la Mawaziri, atenga wizara 2 kwa ajili ya ACT

    Rais wa Zanzibar atangaza Baraza la Mawaziri, atenga wizara 2 kwa ajili ya ACT

    Nov 19, 2020 15:21

    Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt Hussein Mwinyi, ametangaza baraza jipya la mawaziri katika serikali yake huku akiacha kutangaza majina ya mawaziri katika wizara mbili kwa ajili ya chama cha ACT-Wazalendo.

  • Hussein Mwinyi aapishwa kuwa rais wa Zanzibar, viongozi wa upinzani Tanzania Bara wakamatwa na kuwekwa kizuizini

    Hussein Mwinyi aapishwa kuwa rais wa Zanzibar, viongozi wa upinzani Tanzania Bara wakamatwa na kuwekwa kizuizini

    Nov 02, 2020 15:07

    Dr. Hussein Ali Mwinyi ameapishwa kuwa Rais wa nane wa Zanzibar katika hafla kubwa iliyofanyika visiwani Zanzibar leo.

  • Hussein Mwinyi atangazwa mshindi urais wa visiwa vya Zanzibar, Magufuli aongoza katika uchaguzi wa rais wa Tanzania

    Hussein Mwinyi atangazwa mshindi urais wa visiwa vya Zanzibar, Magufuli aongoza katika uchaguzi wa rais wa Tanzania

    Oct 29, 2020 22:55

    Tume ya Taifa ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) imemtangaza Dr. Hussein Mwinyi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kuwa Rais Mteule wa Zanzibar baada ya kupata ushindi wa kura 380,402 sawa na 76.27%. akifuatiwa na Maalim Seif Sharif Hamad wa chama cha ACT Wazalendo aliyepata kura 96,103 sawa na asilimia 19.87.

  • Watanzania washiriki kwa wingi katika upigaji kura leo

    Watanzania washiriki kwa wingi katika upigaji kura leo

    Oct 28, 2020 12:27

    Mamilioni ya Watanzania, leo Jumatano, Oktoba 28, 2020 wamejitokeza katika vituo vya kupigia kura kwa ajili ya kuwachagua Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Rais wa Zanzibar, wabunge wa Bunge la Muungano, madiwani na wajumbe wa Baraza la Wawakilishi la Zanzibar.

  • Matukio ya ulimwengu wa Kiislamu na Harith Subeit + Sauti

    Matukio ya ulimwengu wa Kiislamu na Harith Subeit + Sauti

    Oct 02, 2020 18:41

    Wiki hii pia kama ilivyo kwa wiki zote, ukanda wa Afrika Mashariki na Kati umeendelea kuwa na matukio mengi ya Kiislamu. Mwandishi wetu wa Zanzibar Harith Subeit anatudondolea baadhi yake katika ripoti yake hii...

  • ACT Wazalendo yazindua rasmi kampeni zake Zanzibar kwa ajili ya uchaguzi mkuu wa Oktoba 28 + SAUTI

    ACT Wazalendo yazindua rasmi kampeni zake Zanzibar kwa ajili ya uchaguzi mkuu wa Oktoba 28 + SAUTI

    Sep 15, 2020 18:40

    Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya chama cha ACT Wazalendo, Maalim Seif Sharif Hamad amesema akichaguliwa kuwa rais wa visiwa hivyo ataandika katiba mpya itakayohakikisha wananchi wote wanapata haki zao za kimsingi bila kujali itikadi zao za kisiasa.

  • Zoezi la kupiga kura uchaguzi mkuu Zanzibar kufanyika siku mbili

    Zoezi la kupiga kura uchaguzi mkuu Zanzibar kufanyika siku mbili

    Aug 02, 2020 09:24

    Wananchi wa visiwa vya Zanzibar nchini Tanzania wanatarajiwa kupiga kura kwa siku mbili katika uchaguzi mkuu utakafanyika Oktoba mwaka huu.

  • Maalim Seif atangaza kugombea tena urais Zanzibar kwa mara ya 6 huku akisisitiza mshindi halisi ndiye atakayekuwa rais

    Maalim Seif atangaza kugombea tena urais Zanzibar kwa mara ya 6 huku akisisitiza mshindi halisi ndiye atakayekuwa rais

    Jun 28, 2020 16:15

    Mwenyekiti wa Chama cha ACT-Wazalendo Taifa nchini Tanzania Maalim Seif Sharif Hamad, ametangaza nia ya kugombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya chama hicho katika uchaguzi mkuu ambao unatarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu.

  • Zanzibar kupunguza marufuku za kukabiliana na COVID-19

    Zanzibar kupunguza marufuku za kukabiliana na COVID-19

    May 24, 2020 17:08

    Serikali ya Zanzibar SMZ imesema imekusudia kupunguza masharti iliyokuwa imeyaweka hapo kwa ajili ya kupambana na ugonjwa wa COVID-19. Mwandishi wetu wa Zanzibar, Harith Subeit na maelezo zaidi.

  • SAUTI, Waislamu wahimizwa kutozembea kuzipata fadhila za 'Usiku wa Heshima' katika kumi la mwisho la mwezi wa Ramadhani

    SAUTI, Waislamu wahimizwa kutozembea kuzipata fadhila za 'Usiku wa Heshima' katika kumi la mwisho la mwezi wa Ramadhani

    May 18, 2020 15:35

    Waislamu wamehimizwa kuendeleza ibada mbalimbali ndani ya kumi la mwisho la mwezi huu wa Ramadhani ili kuweza kupata fadhila za Usiku wa Heshima (Lailatul-Qadr).

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS