Zanzibar kupunguza marufuku za kukabiliana na COVID-19
May 24, 2020 12:38 UTC
Serikali ya Zanzibar SMZ imesema imekusudia kupunguza masharti iliyokuwa imeyaweka hapo kwa ajili ya kupambana na ugonjwa wa COVID-19. Mwandishi wetu wa Zanzibar, Harith Subeit na maelezo zaidi.
Tags