-
Kampuni ya Ufaransa ya AGL yalalamikiwa kwa kutowajibika Bandarini Zanzibar + SAUTI
Dec 02, 2023 11:06Uamuzi wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar wa kuikabidhi shughuli za uendeshaji wa Bandari ya Malindi kampuni ya Ufaransa ya AGL kwa lengo la kuongeza ufanisi katika bandari hiyo hauonekani kuzaa matunda yaliyokusudiwa kutokana na kampuni hiyo ya nchi ya Ulaya kulalamikiwa vikali.
-
Rais wa Zanzibar aadhimisha Siku ya Vyombo vya Habari kwa maagizo matano + SAUTI
May 04, 2023 02:10Jana Jumatano, Mei 3, 2023 ilikuwa ni siku ya vyombo vya habari. Rais Hussein Ali Hassan Mwinyi wa Zanzibari ametua fursa hiyo kutoa maagizo matano. Moja ya maagizo hayo ni kuwataka waandishi wa habari kutumia siku hiyo kuandaa hafla zinazohusu uhusiano kati ya uhuru wa vyombo vya habari, kujieleza na haki nyingine. Harith Subeit na maelezo zaidi kutoka Zanzibar.
-
Matukio ya Kiislamu wiki hii na Harith Subeit + Sauti
Mar 04, 2023 03:54Matukio ya Kiislamu wiki hii yamejumuisha maeneo tofauti ya Afrika Mashariki na Kati. Yameandaliwa na mwandishi wetu Harith Subeit. Ingia kwenye Sauti kusikiliza ripoti hiyo iliyo na matukio tofauti ya Kiislamu wiki hii.
-
Viongozi wa Tanzania watakiwa kutoa uhuru wa kisiasa + SAUTI
Nov 21, 2022 02:21Viongozi Wakuu wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar wametakiwa kuhakikisha harakati za kisiasa zinafanyika katika mazingira ya uhuru na haki nchini humo. Harith Subeit na maelezo zaidi kutoka Zanzibar.
-
Rais wa Zanzibar apokea ripoti ya Kikosi Kazi iliyojadili maoni ya wananchi + SAUTI
Nov 03, 2022 04:03Rais Hussein Ali Hassan Mwinyi wa Zanzibar amepokea ripoti ya Kikosi Kazi kilichoshughulikia uchambuzi wa maoni yaliyotolewa kwenye kongamano la siku mbili lililojadili hali ya kisiasa Zanzibar mwezi uliopita. Harith Subeit na maelezo zaidi kutoka Zanzibar.
-
Uhusiano wa Zanzibar na Iran unazidi kuimarika + SAUTI
Oct 20, 2022 16:38Meya wa jiji la Zanzibar ameonana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran jijini Dar es Salaam Tanzania na pande mbili zimehimiza mno kuendelezwa uhusiano wa damu na wa jadi baina yao. Harith Subeit na maelezo zaidi kutoka Zanzibar
-
Wananchi wa Uganda walalamikia kutoona matunda yoyote ya Uhuru + SAUTI
Dec 29, 2021 08:51Tangu mkoloni Muingereza aondoke Uganda miaka 59 iliyopita raia wa nchi hiyo hawajaona faida yoyote katika maisha yao ya kila siku
-
Makampuni ya watalii Zanzibar yatakiwa kuchunga hulka za Kizanzibari + Sauti
Sep 15, 2021 04:27Serikali ya Mapinduzi Zanzibar SMZ imesema kuwa, jukumu la kusimamia maadili na utamaduni wa Kizanzibari kwa wageni wanaotembelea visiwa hivyo linazihusu kampuni zinazoandaa misafara ya watalii wanaongia visiwani humo. Harith Subeit na maelezo zaidi kutoka Zanzibar.
-
Rwanda na Jamhuri ya Afrika ya Kati zafikia makubaliano ya kilimo + Sauti
Sep 15, 2021 04:24Nchi za Rwanda na Jamhuri ya Afrika ya Kati (CAR) zimekubaliana kuunda tume maalumu itakayoratibu ushirikiano wa mataifa hayo mawili katika sekta ya kilimo na biashara,. Sylvanus Karemera na maelezo zaidi kutoka Kigali
-
Rais wa Zanzibar ahutubia Baraza la Idul Adh'ha, Wete Pemba + Sauti
Jul 21, 2021 16:06Baraza la Idul Adh'ha mwaka huu visiwani Zanzibar, limefanyika katika ukumbi wa Baraza la Wawakilishi la mjini Wete, mkoa wa Kaskazini Pemba. Rais Hassan Ali Hassan Mwinyi amehutubia baraza hilo. Mwandishi wetu wa Zanzibar, Harith Subeit ametutayarishia ripoti ifuatayo.