- 
                        
                            
                            Kwa uchache watu 20 wameuawa katika mashambulizi ya droni ya RSF nchini Sudan
Nov 04, 2025 06:58Watu wasiopungua 20 wameuawa na wengine 34 kujeruhiwa jana Jumatatu katika mashambulizi mawili tofauti ya droni na ndege zisizo na rubani na Vikosi cha Usaidizi wa Haraka cha Kijeshi (RSF) huko katikati na magharibi mwa Sudan.
 - 
        
            
            Mahakama ya ICC: Matukio ya El-Fasher yanaweza kuainishwa kama uhalifu wa kivita na uhalifu dhidi ya binadamu
Nov 04, 2025 02:23Ofisi ya Mwendesha Mashtaka wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) imetoa tamko juu ya wasiwasi mkubwa uliozuka kufuatia ripoti mpya kutoka El-Fasher, jimboni Darfur Kaskazini, nchini Sudan, zikielezea kufanyika mauaji ya halaiki, ubakaji, na uhalifu mwingine unaodaiwa kufanywa wakati wa mashambulizi ya Vikosi vya Usaidizi wa Haraka (RSF).
 - 
        
            
            Mama Samia aapishwa kwa muhula mwingine wa urais
Nov 03, 2025 11:35Dkt. Samia Suluhu Hassan wa Tanzania ameapishwa leo Jumatatu kuiongoza nchi hiyo kwa muhula mpya wa miaka mitano. Rais Samia ameapishwa baada ya uchaguzi uliogubikwa na vurugu.
 - 
        
            
            Mapigano ya jeshi na wanamgambo RSF yaendelea huku walimwengu wakishindwa kuzipatanisha pande hasimu
Nov 03, 2025 10:08Vita haribu na angamizi vya Sudan viinaendelea huku jamii ya kimataifa ikioonekana kushindwa kuupatia ufumbuzi mgogoro huo wa ndani.
 - 
        
            
            Jeshi la Uganda lazima mashambulizi ya waasi magharibi mwa nchi
Nov 03, 2025 06:33Jeshi la Uganda UPDF limetangaza kuwa, limefanikiwa kuzima mlolongo wa mashambulizi yaliyoratibiwa vyema na vikundi vyenye silaha ambavyo vilishambulia vituo vya kijeshi na polisi katika maeneo ya magharibi ya nchi hiyo.
 - 
        
            
            Rais Tshisekedi: Mazungumzo ya amani na waasi wa M23 yataanza tena Doha
Nov 03, 2025 06:32Rais Felix Tshisekedi wa DRC amesema kuwa, mazungumzo ya amani kati ya serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) na kundi la waasi la Machi 23 (M23) yataanza tena wiki ijayo huko Doha, mji mkuu wa Qatar.
 - 
        
            
            Wasudan 177,000 wamekwama katika mji ulioteketea
Nov 03, 2025 02:23Mji wa El Fasher, ambao ni makao makuu ya jimbo la Darfur Kaskazini nchini Sudan, hatimaye ulitekwa na Vikosi vya Msaada wa Haraka RSF hivi karibuni baada ya kuzingirwa kwa muda wa miezi 18 na hivi sasa ripoti zinasema kuwa Wasudan 177,000 wamekwama kwenye mji huo.
 - 
        
            
            Wahamiaji 45 wasio na vibali waokolewa pwani ya mashariki ya Libya
Nov 03, 2025 02:21Wahamiaji 45 wasio na vibali wameokolewa kwenye pwani ya mji wa Tobruk wa mashariki mwa Libya. Hayo ni kwa mujibu wa gazeti la Libya Al-Watan ambalo limesema kuwa wahamiaji hao wamekabidhiwa kwa mamlaka husika baada ya kufanyiwa uchunguzi wa kimatibabu.
 - 
        
            
            Umoja wa Afrika wampongeza Samia Suluhu Hassan kwa kuchaguliwa kuiongoza Tanzania
Nov 02, 2025 11:28Umoja wa Afrika umempongeza Samia Suluhu Hassan kwa kuchaguliwa kuingoza Tanazania kwa muhula mwigine baada ya kuibuka na ushindi katika uchaguzi mkuu uliofanyika tarehe 29 mwezi uliopita wa Oktoba.
 - 
        
            
            Rais Pezeshkian aipongeza Algeria kwa maadhimisho ya Siku ya Uhuru
Nov 02, 2025 10:44Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametoa pongezi za dhati kwa Rais na watu wa Algeria kwa mnasaba wa maadhimisho ya miaka 71 ya kuanza Mapinduzi ya Ukombozi na Siku ya Taifa ya Algeria na kusema: Uhusiano wa kihistoria kati ya Iran na Algeria unafungua njia ya kupanuliwa zaidi uhusiano kati ya nchi hizo mbili.