-
Takriban watu 20 wanahofiwa kufariki dunia baada ya boti kuzama nchini Uganda
Apr 30, 2026 08:42Ripoti kutoka Uganda zinasema kuwa shughuli za utafutaji na uokoaji zilikuwa zikiendelea magharibi mwa nchi hiyo siku ya Jumatano baada ya boti kupinduka kwenye mto Nguse nchini humo.
-
Algeria yaunga mkono umoja wa nchi ya Mali/ Yapinga aina zote za ugaidi
Apr 29, 2026 09:40Waziri wa Mambo ya Nje wa Algeria Ahmed Attaf amesema Algiers inaunga mkono umoja na mshikamano wa nchi ya Mali kufuatia mashambulizi ya hivi karibuni ya silaha yaliyolenga maeneo ya kijeshi, akisisitza kuwa nchi yake inapinga "aina zote za ugaidi."
-
UNICEF: Watoto 43,000 wameuawa au kujeruhiwa tangu kuanza kwa vita nchini Sudan
Apr 29, 2026 08:54Shirika la Umoja wa Mataifa la Misaada ya Dharura kwa Watoto, UNICEF, limetangaza kuwa watoto 43,000 wameuawa au kujeruhiwa tangu kuanza kwa vita nchini Sudan.
-
Ripoti: Viongozi wa RSF wamejenga na kulimbikiza mali za mamilioni ya pesa kwa himaya ya Imarati
Apr 28, 2026 09:34Viongozi wa wanamgambo wa Sudan wanaojulikana kwa jina la Kikosi cha Msaada wa Haraka au Rapid Support Forces (RSF) na mtandao wao wamekusanya mamilioni ya mali za kifahari huko Dubai katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE).
-
Kongo kupeleka walinzi katika maeneo ya migodi ili kuzuia wizi wa madini
Apr 28, 2026 09:27Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, katika jitihada za kuzuia uporaji wa madini yake, imetangaza mpango wa kupeleka kikosi maalumu cha wanamgambo kitakachokuwa na jukumu la kulinda sekta ya madini nchini humo.
-
Ecowas yataka kuwepo mkakati madhubuti wa kikanda wa kutokomeza malaria
Apr 27, 2026 12:38Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Afrika Magharibi (ECOWAS) imetaka kuimarishwa mikakati ya kikanda ili kutokomeza kabisa ugonjwa wa malaria.
-
Kongo: Tumetungua droni ya jeshi la Rwanda
Apr 27, 2026 12:33Jeshi la Kongo limetangaza kuwa limeidungua ndege isiyo na rubani ya jeshi la Rwanda mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
Sheikh Zakzaky: Jina la kiongozi aliyeuawa shahidi wa Iran limekuwa membo ya mapambano
Apr 26, 2026 09:23Sheikh Ibrahim Zakzaky, kiongozi wa Harakati ya Kiislamu nchini Nigeria, amemtaja Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, kiongozi aliyeuawa shahidi wa Iran, kuwa ni nembo mapambano, imani na kusimama kidete.
-
Al-Qaeda na waasi wa Kituareg wadai kuhusika na "shambulio kubwa zaidi" nchini Mali
Apr 26, 2026 09:05Kundi linalohusishwa na mtandao wa al-Qaeda na waasi wa Tuareg limedai kuhusika na mashambulizi yaliyoratibiwa kote nchini Mali siku ya Jumamosi, yanayotajwa kama mojawapo ya operesheni kali zaidi dhidi ya serikali inayoongozwa na jeshi la nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.
-
CIG: UAE iliwalipa mamluki wa Colombia ili kuwasaidia wanamgambo Sudan kufanya mauaji ya kimbari
Apr 26, 2026 08:45Umoja wa Falme za Kiarabu uliwapa mamluki wa Colombia kulisaidia kundi la wanamgambo wa Sudan, la Rapid Support Forces (RSF), kuwaua maelfu ya raia katika nchi hiyo ya kaskazini mashariki mwa Afrika.