-
Huenda uchumi wa Afrika ukaporomoka kutokana na vita dhidi ya Iran
Apr 06, 2026 03:40Mashirika mawili ya Umoja wa Mataifa, pamoja na Umoja wa Afrika na Benki ya Maendeleo ya Afrika, yametoa ripoti mpya ikionya kuwa uchumi wa mataifa ya bara hili unaweza kukumbwa na kuporomoka ikiwa mapigano yanayoendelea katika ukanda wa Asia Magharibi yataendelea bila suluhu ya haraka.
-
El Baradei awashambulia watawala wa Kiarabu vibaraka wa Marekani
Apr 03, 2026 04:40Mwanasiasa mashuhuri wa Misri amekosoa utiifu wa baadhi ya watawala wa Kiarabu vibaraka wa Marekani na uungaji mkono wao kwa Washington kwenye vita vyake dhidi ya Iran.
-
Afrika Kusini yalaani vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran
Apr 03, 2026 03:39Ronald Lamola, Waziri wa Mambo ya Nje wa Afrika Kusini, amefanya mazungumzo ya simu na Seyyed Abbas Araghchi, Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ambapo amesisitiza msimamo wa nchi yake wa kulaani vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran.
-
Wimbi la uungaji mkono kwa Iran barani Afrika, Ulaya na Marekani; Watu walaani uchokozi wa Marekani na Israel
Mar 29, 2026 06:36Wananchi katika nchi kadhaa za Afrika wamefanya maandamano wakipinga vita na mashambulizi ya Marekani na Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Mufti Mkuu wa Libya awataka Waislamu kuinga mkono Iran
Mar 23, 2026 07:11Mufti Mkuu wa Libya ametoa taarifa kuhusu mashambulizi na uchokozi wa Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Iran akisisitiza kuwa: Ni wajibu kuwahami Waislamu pale vita vinapotokea baina ya Waislamu na makafiri.
-
Mtetezi wa haki za binadamu Kenya atangaza mshikamano na watu wa Iran
Mar 23, 2026 05:30Mwanaharakati maarufu wa haki za binadamu nchini Kenya, Shakira Wafula, ametangaza mshikamano wake na watu wa Iran na Palestina, akitoa ujumbe wa imani na matumaini.
-
Watunisia waunga mkono Iran na kulaani vita vya Marekani
Mar 08, 2026 08:00Watunisia wamefanya maandamano ya kuiunga mkono Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kukosoa kauli ya Wizara ya Mambo ya Nje ya nchi hiyo ambayo haikulaani mashambulizi ya Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya taifa la Iran.
-
Maandamano ya kuunga mkono Iran yamefanyika nchini Afrika Kusini
Mar 08, 2026 06:48Wananchi wa Afrika Kusini walifanya maandamano na mikusanyiko mikubwa wakionyesha uungaji mkono wao kwa Iran kufuatia uvamizi wa Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Rais wa Afrika ya Kati afichua sura mpya ya ukoloni
Mar 07, 2026 14:25Rais wa Jamhuri ya Afrika ya Kati amesema katika: "Diplomasia ya adhabu na vikwazo ni barakoa mpya ya ukoloni."
-
Mufti wa Libya atangaza kuunga mkono Iran katika vita vya kukabiliana na Israel, Marekani
Mar 06, 2026 08:38Wakati mashambulizi ya pamoja ya Marekani na Israel dhidi ya Iran yakiendelea, Mufti Mkuu wa Libya ametangaza kuunga mkono Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.