-
AU yataka pande hasimu Madagascar kustahamiliana na kufungua mlango wa mazungumzo
Oct 13, 2025 02:28Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika (AUC) Mahmoud Ali Youssouf jana Jumapili alizitaka pande zinazozozana nchini Madagascar kujizuia na kuvulimiana ili kufungua mlango wa mazungumzo wa kutatuliwa kisiasa mvutano uliozuka nchini humo.
-
Serikali ya Sudan: Waasi wa RSF wameua raia 57 wengine El Fasher
Oct 13, 2025 02:27Serikali ya Sudan imetangaza kwamba shambulizi la droni na ndege zisizo na rubani za Vikosi vya Msaada wa Haraka RSF limeua raia 57 katika makazi yao ya muda ya mji wa El Fasher wa magharibi mwa Sudan.
-
Rais wa Madagascar akanusha taarifa kuwa ametoroka nchi
Oct 12, 2025 11:04Rais Andry Rajoelina wa Madagascar amewahakikishia wananchi kwamba yeye na Waziri Mkuu wanadhibiti hali nchini humo.
-
Wanajeshi wa Madagascar waungana na waandamanaji wanaoipinga serikali katika mji mkuu
Oct 12, 2025 05:25Baadhi ya makundi ya wanajeshi wa Madagascar yamekaidi amri na kuungana na maelfu ya waandamanaji wanaoipinga serikali, ambao wamekusanyika katika mji mkuu, Antananarivo, huku maandamano ya kupinga utawala wa Rais Andry Rajoelina yakizidi kupamba moto.
-
Uchaguzi wa Cameroon unafanyika leo huku Biya akitarajiwa kushinda muhula wa nane
Oct 12, 2025 02:23Wananchi wa Cameroon waliotimiza masharti ya kupiga kura leo Jumapili (12 Oktoba) wanaelekea katika vituo vya kupigia kura kushiriki katika uchaguzi wa Rais.
-
Umoja wa Mataifa: Watu milioni 25 wanakabiliwa na baa la njaa Sudan
Oct 12, 2025 02:22Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini Sudan vimesababisha mamilioni ya watu kuyakimbia makazi yao na karibu milioni 25 kukumbwa na baa kubwa la njaa.
-
UNHCR yahimiza kuchukuliwa hatua kukabiliana na tatizo kubwa la wakimbizi katika eneo la Sahel
Oct 11, 2025 08:12Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi (UNHCR) jana Ijumaa lilitoa wito wa kutekelezwa juhudi za kimataifa haraka iwezekanavyo ili kukabiliana na mgogoro unaoongezeka wa wakimbizi katika eneo la Sahel barani Afrika, ambapo takriban watu milioni 4 wamelazimika kuhama makazi yao huko Burkina Faso, Mali, Niger na katika nchi nyingine jirani.
-
Gen-Z Morocco wamlazimisha mfalme kufanya mageuzi ya kimsingi
Oct 11, 2025 05:36Mfalme Mohammed wa Sita wa Morocco jana Ijumaa alitoa amri ya kufanyika mageuzi ya kimsingi ili kulinda haki za kijamii wakati huu ambapo nchi hiyo imekumbwa na maandamano yanayoongozwa na vijana wanaolalamikia huduma mbovu za kijamii na ukosefu wa usawa.
-
WFP yaonya juu ya kuongezeka njaa miongoni mwa wakimbizi nchini Ethiopia
Oct 11, 2025 05:35Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) jana Ijumaa lilionya kwamba wakimbizi nchini Ethiopia wako katika hatari ya kuteseka zaidi kwa njaa huku uhaba mkubwa wa fedha ukisababisha kupunguzwa mgao wa chakula.
-
Somalia na Djibouti zakaribisha usitishaji vita Gaza; zatoa wito wa kuasisiwa taifa huru la Palestina
Oct 11, 2025 02:34Somalia na Djibouti zimekaribisha makubaliano ya amani yaliyofikiwa kwa ajili ya kusitisitisha vita katika Ukanda wa Gaza na kupongeza juhudi za kikanda na kimataifa za kufanikisha usitishaji vita, kuhahkikisha misaada ya kibinadamu inafika Gaza na wafungwa na mateka wote wanaachiwa huru.