-
Raia 11 wauawa katika shambulio la droni sokoni Kordofan Kaskazini nchini Sudan
Jun 07, 2026 11:08Shambulio la ndege zisizo na rubani sokoni katika jimbo la Kordofan Kaskazini nchini Sudan limeua takriban raia 11 na kujeruhi makumi ya wengine.
-
Kliniki katika kitovu cha Ebola nchini DR Congo 'yazidiwa' na wagonjwa
Jun 06, 2026 11:10Ripoti zinasema kuwa, hospitali katika eneo lililoathiriwa na Ebola la Bunia katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imejaa idadi kubwa ya wagonjwa wa Ebola.
-
Mali yaatangaza zawadi ya dola milioni 12.4 kwa atakayesaidia kukamatwa au kuuawa viongozi wa waasi
Jun 06, 2026 04:31Serikali ya Mali imezindua kifurushi kisicho cha kawaida cha hatua za usalama, kikijumuisha zawadi kubwa za kifedha na hatua kali, kama sehemu ya kuzidisha mapambano dhidi ya makundi ya waasi yenye silaha ambayo yamezidisha mashambulizi katika miezi ya hivi karibuni, haswa baada ya shambulio la umwagaji damu la Aprili 25 lililomuua Waziri wa Ulinzi wa Mali.
-
Shambulio dhidi ya timu ya mazishi ya Ebola huku maambukizi yakiongezeka DRC
Jun 05, 2026 10:53Wakazi walishambulia timu ya mazishi ya Ebola mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) katika jimbo la Kivu Kusini wiki hii, na kuwalazimisha wahudumu kuacha jeneza na kuzua hofu ya kuenea zaidi maambukizi ya virusi hivyo, wizara ya afya imesema.
-
Ramaphosa: Waafrika Kusini si wachukia wageni
Jun 05, 2026 02:57Rais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa, amemweleza mwenzake wa Kenya, Rais William Ruto, kwamba maandamano ya hivi karibuni dhidi ya uhamiaji haramu nchini humo hayamaanishi kuwa Waafrika Kusini wana chuki dhidi ya wageni.
-
Waasi wa ADF wanaofungamana na ISIS waua watu 21 DRC
Jun 05, 2026 02:53Idadi ya vifo kufuatia shambulio lililofanywa na waasi wa kundi la Allied Democratic Forces (ADF), kundi la waasi lenye misimamo mikali lililoanzia Uganda, imefikia 21 katika mji wa Mbau, ulioko mkoa wa Kivu Kaskazini, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DR Congo).
-
Jeshi la Sudan lazuia shambulio la RSF huko Blue Nile
Jun 04, 2026 11:19Jeshi la Sudan limetangaza kuwa limezima shambulio la Kikosi cha Msaada wa Haraka (RSF) kwenye eneo la kimkakati la Al-Baraka nje kidogo ya mji wa Kurmuk katika Jimbo la Blue Nile, kusini mashariki mwa nchi hiyo.
-
Mgawanyiko waongezeka kati ya Rais wa Senegal na Waziri Mkuu wa zamani
Jun 04, 2026 03:45Mvutano kati ya Rais Bassirou Diomaye Faye wa Senegal na mshauri wake wa zamani, Ousmane Sonko umezusha mzozo wa kisiasa katika nchi hiyo ya Afrika Magharibi inayosumbuliwa na deni kubwa.
-
Jeshi la Nigeria laangamiza magaidi 50, yumo kamanda mkuu wa kundi la ISWAP
Jun 04, 2026 03:05Wanajeshi wa Nigeria wanaoendesha oparesheni kwa jina "Hadin Kai" wamewaangamiza magaidi wasiopungua 50, akiwemo kamanda mkuu wa tawi la ISWAP lililoungana na kundi la Boko Haram.
-
Tunisia: Ghannouchi na wenzake wahukumiwa kifungo cha maisha jela
Jun 03, 2026 13:16Mahakama ya Tunisia imemhukumu kifungo cha maisha jela kiongozi wa Harakati ya Ennahdha na Spika wa zamani wa Bunge, Rached Ghannouchi (miaka 84), pamoja na kuwahukumu wenzake katika kesi inayojulikana kwa jina la "Ennahdha Movement's Secret Apparatus".