-
Kwa nini Somaliland imeipa ofa Marekani ya kuanzisha kituo cha kijeshi katika ardhi yake?
Feb 24, 2026 05:09Somaliland imeipa Marekani ofa na fursa ya kuanzisha kambi ya kijeshi katika ardhi yake. Vyanzo vya habari vimeripoti kwamba, maafisa wa Somaliland wameipa Washington ofa ya kutumia rasilimali za madini za eneo hilo na kuanzisha kambi ya kijeshi.
-
Afrika Kusini yatoa wito kwa nchi wanachama wa UN kulitambua taifa la Palestina
Feb 24, 2026 04:31Afrika Kusini jana Jumatatu ilitoa wito kwa nchi zote wanachama wa Umoja wa Mataifa kulitambua taifa la Palestina na kudhihirisha mshikamano na wananchi wa Palestina.
-
Sudan: Pendekezo lolote la kumaliza vita linapasa kulinda maslahi ya taifa na umoja wa ardhi ya nchi hiyo
Feb 24, 2026 04:30Sudan imesema kuwa pendekezo lolote la kumaliza vita na wanamgambo wa Kikosi cha Msaada wa Haraka (RSF) linapasa kuzingatia maslahi makuu ya nchi hiyo, mshikamano na umoja wa ardhi nzima ya nchi hiyo.
-
Wanamgambo wanaoiunga mkono serikali: Tumewauwa wapiganaji 50 wa M23 mashariki mwa Kongo
Feb 24, 2026 04:29Wanamgambo wanaoiunga mkono serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamedai kuwa wamewauwa wapiganaji 50 waliokuwa wanachama wa kundi la waasi wa M23 na kuwateka nyara kadhaa katika mapigano makali hivi karibuni.
-
Machungu ya Ukoloni | Eritrea: Chini ya kivuli cha apathaidi ya Italia, simulizi ya udhalilishaji na mapambano
Feb 24, 2026 00:37Ukandamizaji wa kikoloni wa Italia nchini Eritrea haukuwa tu mradi wa upanuzi wa ushawishi wa kisiasa, bali ulikuwa mfumo uliosimikwa juu ya uvamizi wa kijeshi, ubaguzi wa rangi au apathaidi, ukandamizaji wa upinzani, na utumwa. Mfumo huu wa kikoloni ulifikia kilele mwaka 1938, katikati ya jiji la Roma, hatua ya malalmiko iliyochukuliwa na Zerai Deres ilipofichua wazi unafiki na ukatili wa utawala huo.
-
Chad yatangaza kufunga mpaka wake na Sudan kuzuia kuenea mapigano mpakani mwake
Feb 24, 2026 00:35Chad imetangaza kuwa, ili kuzuia kuenea mapigano kwenye maeneo ya mpakani, inaufunga mpaka wake wa pamoja na Sudan hadi itakapotolewa taarifa nyingine.
-
Somalia yalaani shambulio la mauaji katika jimbo la Zamfara, Nigeria
Feb 23, 2026 07:06Somalia leo imelaani vikali shambulio la umwagaji damu katika jimbo la Zamfara kaskazini magharibi mwa Nigeria lililouwa raia wasiopungua 50. Wanawake na watoto pia walitekwa nyara katika hujuma hiyo ya kigaidi.
-
Mafuriko mashariki mwa Kongo yameacha zaidi ya kaya 2,500 bila makazi
Feb 23, 2026 06:30Zaidi ya kaya 2,500 zimeachwa bila makazi baada ya mito miwili kuvunja kingo zake na kusababisha mafuriko katika vijiji kadhaa katika eneo la kati, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
Ghannouchi, akiwa gerezani: Mustakabali wa Tunisia ni uhuru, "hata kama itachukua muda"
Feb 23, 2026 03:38Mkuu wa harakati ya Kiislamu ya Ennahda, Rached Ghannouchi, amesema kwamba mustakabali wa Tunisia ni uhuru, utawala wa sheria na kubadilishana madaraka kwa amani "hata kama itachukua muda."
-
Waislamu wa kaunti kame Kenya walalamikia ukosefu wa maji katika mwezi Ramadhani
Feb 23, 2026 03:36Viongozi wa kidini nchini Kenya wamelalamika kuhusu hali ya ukame inayokumba kaunti zenye idadi kubwa ya Waislamu huku waumini wakiwa katika mfungo wa Ramadhani.