-
Uhaba wa dawa unavyotishia maisha ya wagonjwa nchini Sudan
May 31, 2026 04:20Utafutaji wa dawa za binadamu nchini Sudan umegeuka kuwa maumivu ya kila siku yanayotishia maisha ya maelfu ya watu, huku kukiwa na uhaba mkubwa wa dawa muhimu na kuzagaa ovyo dawa zisizojulikana asili na ubora wake.
-
Mkuu wa WHO atembelea Bunia, kitovu cha Ebola asema , tuko pamoja
May 31, 2026 02:53Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya Duniani (WHO), Dkt. Tedros Adhanom Ghebreyesus amesema imani ya jamii itakuwa jambo muhimu katika kudhibiti mlipuko wa Ebola unaoendelea kusambaa kwa kasi mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC).
-
Tamko la Marekani baada ya Mahakama ya Kenya kusitisha ujenzi wa kituo cha Ebola
May 30, 2026 11:32Mahakama Kuu ya Kenya imesitisha kwa muda kuanzishwa kituo cha karantini kwa wagonjwa wa Ebola raia wa Marekani, kilichotarajiwa kujengwa nchini humo. Kufuatia uamuzi huo, wakuu wa Marekani wamedai kuwa watashughulikia hofu ya Wakenya kuhusiana na kituo hicho.
-
Mahakama Kuu ya Katiba ya Madagascar yapinga kuondolewa madarakani Rais
May 30, 2026 04:13Mahakama Kuu ya Katiba ya Madagascar imepinga jaribio la mbunge wa upinzani la kumwondoa madarakani Rais Michael Randrianirina wa nchi hiyo.
-
WHO yakadiria kiwango cha vifo vya Ebola kufikia asilimia 30-50 wakati mkuu wake akizuru DRC
May 30, 2026 03:34Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema kuwa kiwango cha vifo katika mripuko wa sasa wa ugonjwa wa Ebola nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) ni kati ya asilimia 30 na 50, huku mkuu wa shirika hilo akizuru nchi hiyo kusaidia juhudi za kuudhibiti ugonjwa huo hatari.
-
Wanamgambo wenye mfungamano na RSF wauwa raia 27 Kordofan Kaskazini
May 30, 2026 03:19Mtandao wa Madaktari wa Sudan umeripoti kuwa wanamgambo wenye mfungamano na Kikosi cha wapiganaji wa RSF kimewaua takriban raia 27, wakiwemo wazee, katika mashambulizi dhidi ya vijiji kadhaa magharibi mwa Bara katika jimbo la Kordofan Kaskazini.
-
Muungano wa Madaktari Kenya waipa serikali masaa 48, wapinga wagonjwa wa Ebola Marekani kutumwa Kenya
May 29, 2026 12:35Muungano wa Madaktari, Wafamasia na Madaktari wa Meno nchini Kenya (KMPDU) umepatia serikali muda wa saa 48 kueleza hadharani masharti kamili ya makubaliano yake na Marekani au ikabiliwe na mgomo wa kitaifa wa madaktari.
-
Wizara ya Afya ya Kongo: Idadi ya watu wanaoshukiwa kuambukizwa Ebola imepindukia 1,000
May 29, 2026 03:01Wizara ya Afya ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imetangaza kuwa idadi ya watu wanaoshukiwa kuwa na Ebola nchini humo imepindukia 1,000 huku kukiwa na ongezeko la maambukizi katika majimbo ya mashariki mwa nchi hiyo.
-
Kundi la kwanza la Waghana lawasili Accra baada ya kurejeshwa kutoka Afrika Kusini
May 28, 2026 11:55Kundi la kwanza la karibu Waghana 300 waliorudishwa kutoka Afrika Kusini kutokana na hujuma za kupinga wahamiaji, liliwasili Accra jana Jumatano.
-
Wanafunzi 16 wafariki dunia Kenya baada ya moto kuteketeza bweni Utumishi Girls Academy
May 28, 2026 09:39Wanafunzi 16 wameuawa baada ya moto kuteketeza bweni lao usiku wa kuamkia leo katika shule ya bweni huko Gilgil, (Utumishi Girls Academy) yapata kilomita 120 (maili 77) magharibi mwa mji mkuu wa Kenya, Nairobi, mamlaka imethibitisha.