-
Machungu ya ukoloni: Pamba, moto, na njaa; faili la umwagaji damu la Ujerumani Afrika Mashariki
Feb 23, 2026 00:08Ukoloni katika karne ya 19 na 20 haukuwa tu ukihusiana na kueneza bendera katika ramani ya dunia; bali ulikuwa mradi uliopangwa wa kutwaa ardhi, rasilimali, na nguvukazi ambao ulibadilisha miundo ya kiuchumi na kijamii ya watu waliokuwa chini ya ukoloni.
-
Sudan: Kumpokea Hemedti huko Uganda ni "uungaji mkono wa moja kwa moja kwa mauaji ya kimbari"
Feb 22, 2026 10:19Wizara ya Mambo ya Nje ya Sudan imelaani vikali hatua ya serikali ya Uganda ya kumpokea kamanda wa waasi wa Rapid Support Forces (RSF), Mohamed Hamdan Dagalo (Hemedti), ikielezea hatua hiyo kuwa ni "msaada wa moja kwa moja kwa uhalifu wa mauaji ya kimbari."
-
Sekta ya madini ya Sudan yapata hasara ya dola bilioni 7 huku vita vikiendelea
Feb 22, 2026 08:44Sekta ya madini nchini Sudan imepata hasara inayokadiriwa kufikia dola bilioni saba kufuatia kuendelea kwa vita vya vya ndani kwa takribani miezi 34. Hayo ni kwa mujibu wa Mamlaka ya Kitaifa ya Madini ya nchi hiyo.
-
Ufaransa yairejeshea Ivory Coast 'ngoma inayozungumza' waliyoiiba askari wake karne moja iliyopita
Feb 22, 2026 03:19Ufaransa imekabidhi "ngoma inayozungumza" ambayo iliporwa na wanajeshi wake wa kikoloni nchini Ivory Coast mnamo mwaka 1916, katika hatua ya karibuni zaidi kuchukuliwa na serikali ya Paris ya kurejesha vito vya sanaa ilivyoviiba kwenye makoloni yake ya zamani.
-
WFP kusimamisha huduma ya msaada wa chakula nchini Somalia
Feb 21, 2026 22:46Shirika la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) limetangaza kuwa, huenda likasitisha msaada na harakati zake za kibinadamu nchini Somalia ifikapo mwezi Aprili mwaka huu sababu ni ufadhili mpya kutopatikana haraka.
-
WHO: Makumi ya watu wameuawa katika mashambulio dhidi ya vituo vya afya Sudan
Feb 21, 2026 22:45Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza kuwa, makumi ya watu wameuawa kufuatia mashambulio dhidi ya vituo vya afya nchini Sudan.
-
Afisa wa EU awashinikiza waasi wa DR Congo kufungua njia za kibinadamu
Feb 21, 2026 22:45Kamishna wa Umoja wa Ulaya, anayehusika na masuala ya misaada ya kibinadamu, amewasihi waasi wa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kufungua njia za kibinadamu kwa ajili ya kupata misaada mamilioni ya raia mashariki mwa nchi hiyo inayokabaliwa na machafuko.
-
Shirikisho la Soka Senegal lapinga hukumu ya mashabiki wao Morocco
Feb 21, 2026 22:44Shirikisho la Soka la Senegal (FSF) limelaani hukumu iliyotolewa na Mahakama ya Morocco dhidi ya mashabiki 18 wa Senegal waliopatikana na hatia ya kufanya vurugu kufuatia fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika, AFCON.
-
Kenya yaitaka Russia iirejeshee miili na raia wake waliofungwa katika vita vya Ukraine
Feb 21, 2026 07:37Serikali ya Kenya imeitaka Russia iirejeshe nyumbani miili ya raia wake waliouawa na wale waliokamatwa kama wafungwa wa vita, ambao wameripotiwa kuwa walipiigania Russia katika vita na Ukraine.
-
Watu 50 wauawa katika shambulio la wabeba silaha kaskazini magharibi ya Nigeria
Feb 21, 2026 07:36Kundi moja la wabeba silaha limewaua watu wasiopungua 50 na kuwateka nyara wanawake na watoto katika shambulio la usiku kwenye kijiji kimoja kilichoko kaskazini magharibi mwa Jimbo la Zamfara nchini Nigeria.