-
Trump kuzisakama nchi maskini za Afrika kwa ushuru wa 10%
Jul 16, 2025 08:45Rais wa Marekani, Donald Trump anapania kupanua ajenda yake ya ushuru, akitangaza mipango ya kutoza ushuru mpya wa forodha wa zaidi ya asilimia 10 kwa bidhaa zinazoagizwa nchini humo kutoka mataifa madogo, ikiwa ni pamoja na kadhaa ya bara Afrika na eneo la Caribbean.
-
Borrell amkemea Netanyahu kwa kutaka Trump apewe Tuzo ya Amani ya Nobel
Jul 10, 2025 06:09Mkuu wa zamani wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya Josep Borrell amekemea pendekezo la waziri mkuu wa utawala wa kizayuni wa Israel Benjamin Netanyahu la kutaka rais wa Marekani Donald Trump atunukiwe Tuzo ya Amani ya Nobel, akilielezea hilo kuwa ni hatua iliyochukuliwa na "mtu anayeaminika kuwa mhalifu wa kivita" kwa ajili ya "muuzaji wake mkuu wa silaha".
-
Rais wa Afrika Kusini ajibu bwabwaja na vitisho vya Trump
Jul 08, 2025 13:39Rais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa amejibu matamshi ya vitisho na ubabe ya Rais wa Marekani, Donald Trump ambaye hivi karibuni alitishia kuongeza ushuru wa asilimia kwa nchi ambazo zinajiegemeza na kufungamana na "sera za kupambana na Marekani" za jumuiya ya kiuchumi ya BRICS.
-
Kwa nini mizozo ya madola ya Ulaya kuhusu jinsi ya kukabiliana na vita vya ushuru vya Trump imeongezeka?
Jul 08, 2025 13:29Rais wa Marekani Donald Trump kwa mara nyingine tena ameibua vita vya kibiashara na ulimwengu kwa kutangaza kwamba, ataamua kiwango cha ushuru wa bidhaa zinazoagizwa kutoka nje kwa kutuma barua kwa nchi 12 kuanzia Jumatatu ya jana, Julai 7.
-
Washington yakasirishwa na kufichuliwa ripoti ya siri ya uongo wa Trump kuhusu Iran
Jun 26, 2025 15:58Kufichuliwa ripoti ya siri kuhusu kufeli mashambulizi ya Marekani dhidi ya vituo vya nyuklia vya Iran kumewakasirisha maafisa wa serikali ya Washington.
-
Waandamanaji 330 watiwa mbaroni Los Angeles Marekani
Jun 12, 2025 10:42Msemaji wa Ikulu ya Marekani amezungumzia hali ya mji wa Los Angeles baada ya kuzuka maandamano makubwa ya wananchi dhidi ya sera za uhamiaji za utawala wa Trump na kuosema kuwa, hadi hivi sasa wahajiri 330 wametiwa mbaroni mjini Los Angeles (pekee) ikiwa ni sehemu ya kukandamiza kilio cha wananchi.
-
Kwa nini Trump ameshindwa kutatua migogoro ya kimataifa licha ya ahadi zote alizotoa?
Jun 05, 2025 05:58Katika makala yake iliyopitia miezi minne ya kwanza ya utawala wa pili wa Donald Trump, tovuti ya CNN imeandika kwamba kabla ya kuingia madarakani, rais huyo alijigamba kwamba alikuwa na uwezo wa kutatua matatizo na migogoro mikubwa ya dunia, lakini hali ya sasa sio nzuri hata kidogo, ingawa yeye si rais pekee wa Marekani kutoa ahadi za uongo kuhusu suala hilo.
-
Trump na matakwa ya kupindukia kwa Iran: Je, Washington inataka kufikia makubaliano au kutwisha matakwa?
Jun 05, 2025 04:15Rais Donald Trump wa Marekani amekariri matakwa ya kupindukia mipaka ya Washington kuhusu mpango wa amani wa nyuklia wa Iran kwa ajili ya kufikiwa mapatano ya pande mbili.
-
Trump amfanyia istihzai Macron kwa kuzabwa kibao na mkewe hadharani+VIDEO
May 31, 2025 10:21Rais wa Marekani, Donald Trump ameonekana kumfanyia dhihaka mwenzake wa Ufaransa, Emmanuel Macron, ambaye hivi karibuni alidhalilishwa na mkewe hadharani.
-
Je, kwa nini uadilifu wa rangi ni nara tupu isiyotekelezeka huko Marekani?
May 28, 2025 06:02Miaka mitano baada ya kuuawa kikatili George Floyd, kijana Mmarekani mweusi, na polisi wa nchi hiyo, hatua na sera zilizoahidiwa kutekelezwa na serikali ya Marekani na makampuni mengi makubwa ya kiuchumi nchini humo kwa ajili ya hakikisha haki na usawa vinadumishwa kati ya jamii na watu wa rangi tofauti wa nchi hiyo zimesahaulika kabisa.