-
Afisa wa UN alaani vikali mashambulizi ya kigaidi ya Walowezi wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina
Jul 25, 2026 11:08Ripota Maalum wa Umoja wa Mataifa, Francesca Albanese, amelaani vikali wimbi kubwa la ghasia zinazotekelezwa na walowezi wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina katika maeneo yote ya Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu na utawala wa Israel.
-
Hamas: Kuongezeka mashambulizi dhidi ya Gaza ni jaribio la kuua makubaliano ya kusitisha mapigano
Jul 24, 2026 07:13Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imetangaza kwamba mashambulizi makubwa ya anga ya utawala wa Israel eneo la Ukanda wa Gaza katika saa kadhaa zilizopita ni mwendelezo wa vita vya mauaji ya kimbari dhidi ya raia wasio na hatia na msisitizo wa kuvuruga makubaliano ya kusitisha mapigano.
-
Israel yafanya mauaji makubwa huko Nuseirat, janga la binadamu linazidi kuwa baya Gaza
Jul 18, 2026 10:59Wapalestina 14 wameuawa na wengine 37 kujeruhiwa, wengi wao wakiwa katika kambi ya Nuseirat katikati mwa Ukanda wa Gaza, kutokana na mashambulizi mtawalia ya Israel yaliyolenga maeneo mbalimbali ya ukanda huo, huku hali ya kibinadamu ikizidi kuwa mbaya.
-
Waziri Mkuu wa Malaysia asema raia yeyote wa Israel atakayepatikana nchini huko atafukuzwa mara moja
Jul 16, 2026 03:07Waziri Mkuu wa Malaysia, Anwar Ibrahim, amesema Muisraeli yeyote atakaopatikana akiingia nchini humo atafukuzwa mara moja. Amesema hayo huku mamlaka za Malaysia zikichunguza ripoti kwamba Waisraeli walitumia hati mbili za kusafiria kuingia katika jimbo la kusini la Johor.
-
Seneta Graham, msaidizi mkuu wa Trump na mchochezi mkuu wa vita dhidi ya Iran ameangamia ghafla
Jul 12, 2026 10:17Seneta Lindsey Graham, anayetambuliwa kuwa mhandisi wa mipango ya Washington dhidi ya Iran na mhamasishaji mkuu wa Trump kufanya mashambulizi ya kijeshi dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu, hatimaye ameangamia na ndoto yake ya kunyakua "matrilioni ya dola katika pesa na mafuta ya Iran."
-
Israel yatuma zana za kijeshi Somalia kupitia Nairobi
Jul 03, 2026 03:29Vyanzo vya ngazi ya juu vya kimkakati katika kanda vimeeleza kuwa shehena ya zana za kijeshi iliyotoka katika maeneo yanayokaliwa kwa mabavu na Israel imesafirishwa hadi Somalia kwa jina la ofisi ya Umoja wa Mataifa (UN).
-
Spika wa Bunge la Lebanon apinga makubaliano na Israel akisema 'ni ya kutwishwa'
Jun 29, 2026 12:12Spika wa Bunge la Lebanon, Nabih Berri, amekosoa vikali makubaliano yaliyosainiwa Washington kati ya Lebanon na utawala wa Israel, akiyataja kuwa ni seti ya maagizo ya kutwishwa badala ya kuwa makubaliano yanayolinda haki za nchi hiyo ya Kiarabu.
-
Picha ya mazishi ya wanafunzi wa Shule ya Msingi ya Minab yashinda tuzo ya picha bora zaidi ya mwaka
Jun 21, 2026 02:58Picha iliyochukuliwa kutokea angani inayoonyesha mazishi ya wanafunzi 168 waliouawa shahidi wakati wa shambulio la makombora ya Marekani dhidi ya Shule ya Msingi ya Shajareh Tayyebeh huko Minab, kusini mwa Iran, imeshinda tuzo ya juu katika Kategoria ya Upigaji Picha za Habari ya tuzo za Golden Shot Photography Awards 2026.
-
Mamia waandamana Brussels wakitaka kuwekewa vikwazo Israel
Jun 19, 2026 03:44Mamia ya watu walifanya maandamano jana Alhamisi Brussels, Ubelgiji kabla ya mkutano wa kilele wa Umoja wa Ulaya.
-
Hitilafu zapamba moto baina ya Trump na Netanyahu kuhusu mashambulizi dhidi ya Lebanon
Jun 18, 2026 12:10Rais wa Marekani, Donald Trump amekosoa mashambulizi ya Israel dhidi ya Lebanon, na kukiri kwamba kuna hitilafu kati yake na Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu kuhusu suala la Lebanon.