-
Sababu za Marekani na Israel kuwapiga risasi Wapalestina kwenye safu za misaada huko Gaza
Jul 06, 2025 02:25Wakandarasi wa usalama wa Marekani wanatumia risasi za moto, maguruneti, na gesi ya kuwasha dhidi ya raia katika vituo vya usambazaji wa misaada ya kibinadamu katika Ukanda wa Gaza.
-
Kwa nini Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa ametoa wito wa kuwekewa vikwazo vya silaha Israel?
Jul 05, 2025 15:20Francesca Albanese, Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa katika Ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu ameitaja hali ya Gaza kuwa ni "mojawapo ya mauaji ya kikatili zaidi katika historia ya sasa" na kutoa wito wa kuwekewa vikwazo vya silaha Israel na kusitishwa uhusiano wote wa kibiashara na uwekezaji na utawala huo ghasibu.
-
Kwa nini shambulio la Israel na Marekani dhidi ya Iran limetoa pigo kubwa kwa NPT?
Jul 03, 2025 07:26Tovuti ya Kiingereza ya Al Jazeera imezungumzia matokeo ya hujuma za karibuni za Marekani na Wazayuni katika ardhi ya Iran na vituo vyake vya nyuklia, na kuandika kwamba vita vya siku 12 havijafanikiwa chochote isipokuwa kuharibu uaminifu wa kiwango fulani uliokuwepo kuhusiana na Mkataba wa Kuzuia Usambazaji wa Nyuklia (NPT).
-
Katibu Mkuu wa Hizbullah: Iran ndiye mshindi wa Vita vya Siku 12
Jun 28, 2025 06:19Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema, Iran ndiye mshindi wa makabiliano baina yake na adui mzayuni.
-
Watumiaji wa kigeni wa mitandao ya kijamii: Grossi ni kikaragosi cha Mossad dhidi ya Iran
Jun 28, 2025 06:14Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) Rafael Grossi ameshambuliwa vikali na watumiaji wa kigeni wa mitandao ya kijamii kwa kushirikiana na Marekani na utawala haramu wa Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran hasa baada ya kutaka kuruhusiwa maafisa wa shirika hilo kuingia Iran na kukagua miradi ya nishati ya nyuklia iliyoshambuliwa na Marekani.
-
Ben-Gvir awaruhusu walowezi wa Kizayuni kuimba na kudansi kwenye Msikiti wa Al-Aqsa
Jun 28, 2025 05:52Waziri maluuni wa mambo ya ndani wa utawala wa Kizayuni wa Israel Itamar Ben-Gvir ametoa ruhusa kwa walowezi haramu wa Kizayuni kuimba na kudansi kwenye eneo la Msikiti wa Al-Aqsa katika mji wa Baitul-Muqaddas unaokaliwa kwa mabavu.
-
Ayatullah Khamenei: Utawala wa Kizayuni nusura kusambaratika kabisa kufuatia mapigo makali ya jeshi la Iran
Jun 26, 2025 16:05Ayatullah Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran ametoa ujumbe wa tatu kupitia televisheni ya taifa kwa wananchi wa Iran akiwashukuru na kuwapongeza kwa msimao wao wa kutetea na kuunga mkono kwa dhati mfumo wa Mapinduzi ya Kiislamu, hasa baada ya kushambuliwa na utawala haramu wa Israel kwa uungaji mkono na msaada wa moja kwa moja wa Marekani.
-
Hamas yaapa: Tutaendelea kuwaua wanajeshi wa Israel baada ya shambulizi la kuvizia kuwaua 7 huko Gaza
Jun 26, 2025 16:01Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imeapa kuendelea kuwashambulia wanajeshi wa utawala wa Kizayuni baada ya shambulizi la kuvizia lilitotekelezwa na wanamuwawama wa harakati hiyo na kuangamiza wanajeshi saba kusini mwa Ukanda wa Gaza.
-
Israel yashambulia hospitali ya watoto Tehran na kuua shahidi kadhaa
Jun 16, 2025 11:20Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, Esmaeil Baqaei ameulaani vikali utawala haramu wa Israel kwa kuwaua shahidi watoto katika vita vyake vya kichokozi vinavyoendelea dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu.
-
Iran yamyonga jasusi wa Mossad; msako dhidi ya maajenti wengine unaendelea
Jun 16, 2025 09:55Iran mapema leo imetekeleza hukumu ya kumnyonga Esmail Fekri, jasusi aliyepatikana na hatia ya kushirikiana na shirika la kijasusi la Israel la Mossad.