Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Israel

  • Israel yalaaniwa vikali kwa kutambua Somaliland kama nchi huru

    Israel yalaaniwa vikali kwa kutambua Somaliland kama nchi huru

    Dec 27, 2025 06:41

    Utawala wa Kizayuni wa Israel umetangaza kutambua eneo la 'Somaliland, ambalo limejitenga na Somalia, kama taifa huru na lenye mamlaka kamili.

  • Taasisi za Palestina: Maelfu ya wafungwa wanateswa katika magereza ya Israel

    Taasisi za Palestina: Maelfu ya wafungwa wanateswa katika magereza ya Israel

    Dec 27, 2025 06:01

    Asasi mbili za Kipalestina yametangaza kwamba, zaidi ya mateka na wafungwa 9,300 wa Palestina wanaoshikiliwa katika magereza na vituo vya kuzuiliwa vya Israel wanakabiliwa na "mateso yaliyopangwa."

  • Kwa wiki moja, Israel imesababisha hasara ya dola milioni 7 kwenye mashamba ya Wapalestina

    Kwa wiki moja, Israel imesababisha hasara ya dola milioni 7 kwenye mashamba ya Wapalestina

    Dec 26, 2025 07:07

    Wizara ya Kilimo ya Palestina imetangaza kuwa, ndani ya muda wa wiki moja, uvamizi uliofanywa na jeshi la utawala wa kizayuni wa Israel na walowezi haramu umeharibu zaidi ya mizeituni 8,000 katika Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu na kusababisha hasara ya karibu dola milioni saba.

  • Israel yaendelea kumwaga damu za Wapalestina Gaza, Ukingo wa Magharibi

    Israel yaendelea kumwaga damu za Wapalestina Gaza, Ukingo wa Magharibi

    Dec 21, 2025 11:13

    Wapalestina wawili, akiwemo kijana mmoja, wameuawa shahidi huku wengine wawili wakijeruhiwa kwa risasi baada ya vikosi vya Israel kufanya mashambulizi tofauti katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan, katika ghasia za hivi punde dhidi ya Wapalestina wa eneo hilo linalokaliwa kwa mabavu.

  • BBC yafichua kashfa ya Mzayuni aliyelaghai kwa jina la saratani Canada

    BBC yafichua kashfa ya Mzayuni aliyelaghai kwa jina la saratani Canada

    Dec 21, 2025 11:10

    Uchunguzi wa Shirika la Utangazaji la Uingereza BBC umefichua kashfa ya utapeli, ambapo Muisraeli amekuwa akipokea misaada eti kwa ajili ya matibabu ya wagonjwa wa saratani nchini Canada.

  • Wanazuoni wa Yemen: Kutetea matukufu ya Kiislamu ni wajibu wa kidini

    Wanazuoni wa Yemen: Kutetea matukufu ya Kiislamu ni wajibu wa kidini

    Dec 21, 2025 09:44

    Jumuiya ya Maulamaa wa Yemeni ilifanya mkutano mkubwa katika mji mkuu Sanaa siku ya Jumamosi, na kusisitiza jukumu la kidini la wasomi na maulamaa katika kutetea Qur’an na matukufu ya Kiislamu.

  • Kwa nini mpango wa Al‑Ahram  kuhusu usalama wa Asia Magharibi ni wa kupotosha na ni hatari?

    Kwa nini mpango wa Al‑Ahram kuhusu usalama wa Asia Magharibi ni wa kupotosha na ni hatari?

    Dec 21, 2025 07:57

    Tovuti ya Ahram Online (sehemu ya Kiingereza ya gazeti la Al-Ahram la Misri) katika makala yake imependekeza kufanyika kwa mkutano wa usalama katika eneo la Asia ya Magharibi, kwa ushiriki wa madola yenye nguvu zaidi duniani, ili kuzuia kuanza tena kwa vita kati ya Iran na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Picha za satelaiti zaonyesha Israel ikijimarisha kuwepo kijeshi katika Ukanda Gaza

    Picha za satelaiti zaonyesha Israel ikijimarisha kuwepo kijeshi katika Ukanda Gaza

    Dec 21, 2025 07:56

    Utawala wa Israel unaonekana kuandaa mazingira ya kudumisha uwepo wake kijeshi katika maeneo makubwa ya Ukanda wa Gaza. Hii ni kwa mujibu wa uchambuzi mpya wa picha za satelaiti ulioweka wazi ujenzi mkubwa, upanuzi wa miundombinu na kuendelea kuharibiwa mali za Wapalestina tangu kutekelezwa mapatano ya usitishaji vita mwezi Oktoba.

  • Vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya ICC; hujuma ya dhahir shahir inayolenga sheria na taasisi za kimataifa

    Vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya ICC; hujuma ya dhahir shahir inayolenga sheria na taasisi za kimataifa

    Dec 20, 2025 10:10

    Katika hatua ya kiupendeleo ya kuuunga mkono utawala wa Kizayuni wa Israel, Marekani imewawekea vikwazo majaji wawili wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai, ICC.

  • UAE, mnunuzi wa siri katika mkataba mkubwa wa silaha na Israel

    UAE, mnunuzi wa siri katika mkataba mkubwa wa silaha na Israel

    Dec 20, 2025 02:34

    Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) umetambuliwa kama mnunuzi 'asiyejulikana' kwenye mkataba wa dola bilioni 2.3 uliosainiwa mwezi uliopita na kampuni za kuzalisha silaha ya Israel ya Elbit Systems, ripoti inasema.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS