-
HRW: Hali ya haki za binadamu Kenya imeendelea kutia wasiwasi
Feb 06, 2026 02:51Ripoti mpya ya shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch (HRW) inaonyesha kuwa, hali ya haki za binadamu nchini Kenya ilidorora mwaka uliopita, huku serikali ikikosolewa vikali kwa kukandamiza waandamanaji, wanaharakati, wanahabari na wakosoaji wa serikali.
-
Watu 22 wauawa katika shambulio la RSF katika hospitali ya kijeshi Kordofan Kusini
Feb 05, 2026 22:59Watu wasiopungua 22 wakiwemo wahudumu 4 wa sekta ya afya wameuawa na wengine wawane kujeruhiwa baada ya wanangambo wa Kikosi cha Msaada wa Haraka (RSF) jana kuishambulia hospitali ya jeshi ya al Kuweik katika jimbo la Kordofan Kusini nchini Sudan.
-
Utafiti: Pombe, Sigara vinachangia ongezeko la ugonjwa wa saratani Kenya
Feb 05, 2026 09:17Shirika la habari za afya la Willow limetangaza kuuwa, vidonda vya tumbo, uvutaji wa sigara, na matumizi ya pombe vinachangia kwa kiasi kikubwa kuongezeka kwa ugonjwa wa saratani nchini Kenya.
-
Rais wa Uturuki akosoa vikali hatua ya Israel ya kuitambua Somaliland
Feb 05, 2026 08:10Rais Recep Tayyip Erdogani wa Uturuki amekosoa vikali hatua ya utawala wa Kizayuni wa Israel ya kupuuza mamlaka ya kujitawala Somalia kwa kutambua jimbo lililojitenga na Somalia la Somaliland kama nchi huru.
-
OCHA: DRC inakabiliwa na tishio la mgogoro mkubwa wa kibinadamu
Feb 05, 2026 08:09Ofisi ya Uratibu wa Masuala ya Kibinadamu ya Umoja wa Mataifa (OCHA) imeonya kuhusiana na mgogoro wa kutisha wa kibinadamu katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.
-
Lengo jipya la mkakati wa kijeshi wa Marekani barani Afrika
Feb 05, 2026 03:38Kamandi ya Marekani barani Afrika (AFRICOM) imetangaza kupeleka kikosi kidogo cha kijeshi cha Marekani nchini Nigeria na hivyo kwa mara ya kwanza kukiri rasmi kutumwa wanajeshi wa Marekani katika nchi hiyo ya Afrika.
-
ACT-Wazalendo yalaani mpango wa ZEC wa kuchoma moto nyaraka za uchaguzi wa Zanzibar
Feb 05, 2026 02:34Chama cha ACT-Wazalendo nchini Tanzania, kimelaani mpango wa tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) wa kuchoma na kuteketeza nyaraka za Uchaguzi wa Oktoba 2025, uliofanyika visiwani humo.
-
Wabeba silaha waua watu wanaokaribia 200 kwenye majimbo ya Kwara na Katsina, Nigeria
Feb 05, 2026 02:34Watu wenye silaha wamewaua karibu watu 200 magharibi na kaskazini mwa Nigeria. Hayo yameelezwa na maafisa wa serikali na wakazi wa maeneo hayo huku manusura wakiwazika wenzao waliouawa na askari wa vikosi vya usalama wakiwasaka washambuliaji.
-
Mkutano wa Tanzania wasisitiza kutumia mashine katika kilimo barani Afrika
Feb 04, 2026 23:04Harakati za zama za sasa za kutumia mashine kwenye sekta ya kilimo barani Afrika lazima zitofautiane na harakati za zamani ili hatua hizo ziwe endelevu. Hayo yamesemwa na Beth Bechdol, Naibu Mkurugenzi Mkuu wa shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa, FAO.
-
Seneta wa Nigeria: Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran, nembo ya uhuru duniani
Feb 04, 2026 06:54Seneta Shehu Sani wa Nigeria ambaye pia ni mkuu wa Jukwaa la Haki za Kiraia la Nigeria (CRCN), amesema Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran ya mwaka 1979 ni vuguvugu la mwamko wa kihistoria dhidi ya dhulma na ubeberu wa maajinabi, akiyaelezea mapinduzi hayo kama kigezo cha mataifa yanayokandamizwa duniani kote.