-
Rais Macron wa Ufaransa atoa indhari: G20 inakaribia kusambaratika
Nov 23, 2025 03:03Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa, ameeleza katika hotuba isiyo ya kawaida aliyotoa katika mkutano wa nchi zinazounda G20 mjini Johannesburg, Afrika Kusini kwamba kundi hilo limepoteza uwezo wake wa kuwa na taathira ya kutatua migogoro ya kimataifa na kwamba linakaribia kusambaratika.
-
Mkutano wa viongozi wa G20 wafunguliwa Afrika Kusini kwa hotuba ya Rais Ramaphosa
Nov 22, 2025 23:37Mkutano wa viongozi wa G20 umefunguliwa Jumamosi mjini Johannesburg, Afrika Kusini, ambapo Rais Cyril Ramaphosa alitoa hotuba ya kwanza wakati wajumbe walipokusanyika kwa mazungumzo ya siku mbili.
-
Jeshi la Sudan linasonga mbele Kordofan katika mapambano na waasi wa RSF
Nov 22, 2025 23:36Jeshi la Sudan limeendelea kusonga mbele katika maeneo ya Kordofan Kaskazini na Kordofan Magharibi mwishoni mwa wiki, kufuatia mapigano makali na waasi wa Rapid Support Forces (RSF), kwa mujibu wa vyanzo vya kijeshi.
-
UN yaripoti kuongezeka vurugu katika jimbo la Upper Nile la Sudan Kusini
Nov 22, 2025 08:07Msemaji wa Umoja wa Mataifa amesema kwamba timu ya kulinda amani ya umoja huo nchini Sudan Kusini imekuwa ikiripoti kuongezeka vurugu za kijamii pamoja na wizi wa mifugo na uvamizi wa mashamba katika Jimbo la Upper Nile nchini humo.
-
RSF: Tunafuatilia jitihada za kiimataifa za kurejesha amani Sudan
Nov 22, 2025 08:06Kundi linalojulikana kwa jina la Vikosi vya Msaada wa Haraka vya Sudan (RSF) limesema kuwa, linafuatilia jitihada za kimataifa za kushinikiza kukomeshwa vita na mapigano angamizi nchini humo.
-
Waziri Mkuu wa Malaysia aonya kuongezeka uingiliaji wa kigeni nchini Sudan
Nov 22, 2025 03:44Waziri Mkuu wa Malaysia ameonya kuhusiana na kuongezeka kwa uingiliaji wa kigeni nchini Sudan.
-
Afrika Kusini yasema haitakabidhi kwa balozi mdogo wa Marekani urais wa G20 wa 2026
Nov 21, 2025 23:57Msemaji wa Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini, Vincent Magwenya amesema, kiongozi huyo hatomkabidhi balozi mdogo wa Marekani urais wa mkutano wa G20 kwa mwaka 2026 baada ya Marekani kusisitiza kuwa haitohudhuria mkutano huo rasmi jijini Johannesburg.
-
Mahakama ya Nigeria yamhukumu kifungo cha maisha jela kiongozi wa Wabiafra wanaopigania kujitenga
Nov 21, 2025 23:11Mahakama ya Nigeria imemhukumu Nnamdi Kanu, kiongozi wa harakati ya kupigania kujitenga ya Watu wa Asili wa Biafra (IPOB), kifungo cha maisha jela baada ya kumpata na hatia ya mashtaka yote saba aliyoshtakiwa yanayohusiana na ugaidi.
-
Harakati ya M-23: Mazungumzo ya amani na serikali ya Congo yanaendelea
Nov 21, 2025 07:00Harakati ya M-23 imethibitisha kwamba mazungumzo na serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo huko Doha yataendelea katika wiki zijazo.
-
Vyama vipya 25 vyasajiliwa, 30 vikiwasilisha maombi ya kusajiliwa kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu Kenya
Nov 21, 2025 06:26Karibu vyama vipya 25 vya kisiasa vimepata usajili wa muda katika kipindi cha miezi michache iliyopita nchini Kenya, huku vingine zaidi ya 30 vikiwasilisha maombi ya kusajiliwa kuelekea Uchaguzi Mkuu wa 2027.