-
Iran yasambaratisha mtandao wa magaidi waliokuwa na silaha za Marekani
Aug 23, 2025 23:28Maafisa wa usalama nchini Iran wamefanikiwa kusambaratisha mtandao wa kigaidi katika mkoa wa Sistan na Baluchestan, kusini mashariki mwa nchi, karibu na mpaka wa Pakistan, na kuwaua magaidi sita huku wakikamata wawili.
-
Najafi: Iran na IAEA zimefanya mazungumzo ya upigaji 'hatua mbele' kuhusu mfumo mpya wa ushirikiano
Aug 23, 2025 07:30Mwakilishi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) amesema, pande hizo mbili zimefanya mazungumzo ya upigaji 'hatua mbele' kuhusu namna ya kuratibu mfumo mpya wa ushirikiano kati yao.
-
Iran: Tutatumia zana mpya iwapo adui ataanzisha tena uchokozi
Aug 23, 2025 03:33Waziri wa Ulinzi wa Iran, Brigedia Jenerali Aziz Nasirzadeh amesisitiza kuwa, iwapo maadui watafanya uchokozi mwingine dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu, bila shaka majeshi ya nchi hii yatatumia vifaa, silaha na zana za kijeshi ambazo hazijawahi kutumiwa kufikia sasa.
-
Iran yaionya Ulaya juu ya matokeo mabaya ya kuamilisha 'snapback'
Aug 23, 2025 02:46Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi ameionya Ulaya juu ya matokeo mabaya ya kuamilisha "utaratibu wa snapback", akisisitiza kwamba Troika ya Ulaya (Uingereza, Ufaransa, na Ujerumani) pamoja na Umoja wa Ulaya hazina haki ya kisheria na ya kimaadili ya kutumia utaratibu huo.
-
Larijani: Wamagharibi watambue kuwa Iran haiogopi vita
Aug 23, 2025 00:52Katibu wa Baraza la Usalama wa Taifa la Iran, Ali Larijani, amethibitisha tena dhamira ya Tehran kushiriki katika mazungumzo ya kidiplomasia huku akionya kwamba mazungumzo ya maana yanaweza kusonga mbele tu endapo Marekani na Ulaya zitakubali kuwa mashinikizo na vitisho vya vita haviwezi kuwatisha wananchi wa Iran.
-
Mkuu wa Jeshi: Iran itatoa 'jibu kali la kusagasaga zaidi' kwa uchokozi wowote mpya wa adui
Aug 22, 2025 08:20Mkuu wa Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu Iran Meja Jenerali Amir Hatami amesisitiza kuwa Vikosi vya Ulinzi vimejiweka tayari kutoa jibu kwa wavamizi ambalo ni la "kusagasaga zaidi" kuliko lile lililoonekana wakati wa uchokozi uliofanywa na utawala haramu wa kizayuni wa Israel na Marekani dhidi ya taifa hili.
-
Ziara ya Pezeshkian Yerevan na Minsk; Kufafanuliwa tena nafasi ya Iran katika mfumo mpya wa Eurasia
Aug 22, 2025 04:31Ziara ya Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Masoud Pezzekian, katika nchi za Armenia na Belarus, wanachama wawili wa Umoja wa Kiuchumi wa Eurasia ni lengo la Tehran la kuendeleza uhusiano wa kiuchumi, kisiasa na kiutamaduni na nchi za eneo hilo na zile za Caucasus Kusini.
-
Jeshi la Wanamaji la Iran lahitimisha kwa mafanikio manuva ya makombora ya "Eqtedar 1404"
Aug 22, 2025 04:02Jeshi la Wanamaji la Iran limehitimisha mazoezi ya kombora ya "Sustained Power 1404" baada ya kufikia malengo yote yaliyokuwa yamepangwa hapo awali.
-
Iran yalaani uchokozi wa mara kwa mara wa Israel dhidi ya Syria
Aug 22, 2025 04:00Iran imelaani vikali vitendo vya uchokozi vya mara kwa mara vya Israel dhidi ya raia na miundombinu muhimu nchini Syria, na kulitaka Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kutopuuza hatua za utawala huo zinazovuruga amani.
-
Waislamu wa Iran na maeneo mengine ya dunia wakumbuka kifo cha mbora wa viumbe, Muhammad (saw)
Aug 21, 2025 23:43Wananchi Waislamu wa Iran kuanzia jana usiku wanashiriki katika maombolezo ya kukumbuka siku alipofariki dunia Bwana Mtume Muhammad SAW. Shughuli za kumbukumbu ya kifo cha Mtume (SAW) zinafanyika katika kona zote za nchi hususan misikitini, katika Haram na maeneo mengine ya ibada.