Iran
  • Kharrazi: Iran iko tayari kwa mazungumzo, lakini haitakubali kuburuzwa

    Kharrazi: Iran iko tayari kwa mazungumzo, lakini haitakubali kuburuzwa

    Oct 16, 2025 06:12

    Mkuu wa Baraza la Kistratijia la Mahusiano ya Kigeni ya Iran, Kamal Kharrazi amesema Jamhuri ya Kiislamu iko tayari kwa mazungumzo, lakini katu haitakubali kutwishwa matakwa ya aina yoyote.

  • Kamanda Asadi: Kusitisha mapigano Ghaza kunatokana na kukata tamaa Marekani na Israel

    Kamanda Asadi: Kusitisha mapigano Ghaza kunatokana na kukata tamaa Marekani na Israel

    Oct 16, 2025 02:57

    Naibu Mkaguzi wa Kituo cha Kijeshi cha Khatam al-Anbiya amezungumzia makubaliano ya usitishaji vita kati ya HAMAS na utawala wa Kizayuni na kusisitiza kuwa, makubaliano hayo yanatokana na Marekani na utawala wa Kizayuni kukata tamaa kwa sababu wamechoshwa mno na vita visivyo na mwisho licha ya jinai kubwa walizofanya Ukanda wa Ghaza.

  • Waziri: Mamilioni ya watalii wameitebelea Iran ndani ya miezi 6

    Waziri: Mamilioni ya watalii wameitebelea Iran ndani ya miezi 6

    Oct 16, 2025 02:08

    Zaidi ya watalii milioni 3.5 wa kigeni wameitembelea Iran katika miezi sita ya kwanza ya mwaka huu, Waziri wa Turathi za Utamaduni, Utalii na Sanaa, Reza Salehi Amiri alisema hayo jana Jumatano.

  • Pezeshkian: Maadui wanafurahi wanapoona nchi za Kiislamu zinagombana

    Pezeshkian: Maadui wanafurahi wanapoona nchi za Kiislamu zinagombana

    Oct 15, 2025 23:34

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amegusia madhara ya mizozo, ugomvi, vita na uadui baina ya nchi za Kiislamu na kusema kuwa, hivyo ndivyo anavyotaka adui bali hayo ndiyo matokeo ya njama za maadui wa Uislamu na za Uzayuni wa kimataifa. Maadui wa Umma wa Kiislamu daima wamekuwa wakifanya njama za kuzusha mifarakano na kuzidhoofisha nchi za Kiislamu.

  • Araqchi aitaka NAM kukabiliana na maamuzi ya upande mmoja na ukiukaji sheria wa Marekani

    Araqchi aitaka NAM kukabiliana na maamuzi ya upande mmoja na ukiukaji sheria wa Marekani

    Oct 15, 2025 09:55

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran ametoa wito wa kuwepo umoja na mshikamano zaidi kati ya nchi wanachama wa Jumuiya ya Nchi Zisizofungamana na Siasa za Upande Wowote (NAM) ili kukabiliana na kuongezeka kwa misimamo ya upande mmoja na uvunjaji sheria unaofanywa na baadhi ya madola.

  • Mauzo ya chuma ya Iran nje ya nchi yaongezeka kwa 26%

    Mauzo ya chuma ya Iran nje ya nchi yaongezeka kwa 26%

    Oct 15, 2025 08:21

    Thamani ya mauzo ya madini ya chuma ya Iran ilipanda hadi karibu dola bilioni 4 katika nusu ya kwanza ya mwaka huu 2025, na kuashiria ongezeko la asilimia 26 ya mauzo hayo kwa mwaka.

  • Iran: Trump hawezi kuwa mtu wa kuleta amani wakati anachochea vita visivyo na mwisho

    Iran: Trump hawezi kuwa mtu wa kuleta amani wakati anachochea vita visivyo na mwisho

    Oct 15, 2025 02:33

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Sayyid Abbas Araghchi amemkosoa vikali Donald Trump kwa sera yake ya kuchochea vita katika eneo la Asia Magharibi, akisema rais wa Marekani hawezi kudai anapigania kuleta amani katika eneo hili huku akifuata sera za uchokozi na kufungamana na "wahalifu wa kivita."

  • Araghchi kuhudhuria mkutano wa NAM nchini Uganda

    Araghchi kuhudhuria mkutano wa NAM nchini Uganda

    Oct 14, 2025 23:04

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu, Abbas Araghchi atazuru Uganda karibuni hivi kushiriki Mkutano wa 19 wa Mawaziri wa Jumuiya ya Nchi Zisizofungamana na Siasa za Upande Wowote (NAM).

  • Iran: Trump hana haki ya kuzungumzia amani wakati anaisaidia Israel kuua watu kwa umati

    Iran: Trump hana haki ya kuzungumzia amani wakati anaisaidia Israel kuua watu kwa umati

    Oct 14, 2025 02:52

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imejibu matamshi ya kibazazi ya Trump dhidi ya Tehran wakati alipolihutubia Bunge la Israel Knesset na imesema kuwa, Marekani ndiye nchi mzalishaji mkubwa wa ugaidi duniani na muungaji mkono mkuu wa wa utawala wa kigaidi umaofanya mauaji ya umati huko Ghaza, vipi inajipa mamlaka ya kimaadili ya kuwatuhumu watu wengine? Taarifa hiyo imesema kamwe wananchi wa Iran hawatasamehe wala kusahau jinai ya kinyama ya Marekani dhidi yao.