-
Araqchi katika mkutano wa Shanghai: Israel na Marekani zilifanya jinai za kivita dhidi ya Iran
Jul 15, 2025 07:37Seyyed Abbas Araghchi, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema katika mkutano kikao cha Baraza la Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai nchini China kwamba, utawala ghasibu wa Israel na Marekani zilifanya jinai za kivita dhidi ya Iran.
-
Kwa nini uwepo wa Araqchi katika Mkutano wa Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai ni muhimu?
Jul 15, 2025 03:29Seyyed Abbas Araqchi, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameondoka Tehran kuelekea China akiongoza ujumbe wa ngazi za juu wa Tehran kwa ajili ya kuhudhuria kikao cha Mawaziri wa Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai.
-
Rais wa Iran: Israel inataka kudhoofisha umoja wa umma wa Kiislamu
Jul 15, 2025 01:28Rais Masoud Pezeshkian wa Iran amesisitiza kuwa, utawala wa Kizayuni wa Israel unalenga kudhoofisha na kuzusha migawanyiko miongoni mwa mataifa ya Kiislamu.
-
Waziri wa Ulinzi wa Iran: Tumejiandaa kukabiliana na chokochoko za maadui
Jul 15, 2025 01:04Waziri wa Ulinzi wa Iran, Brigedia Jenerali Aziz Nasirzadeh amesisitiza kuwa Jamhuri ya Kiislamu haina imani na usitishaji vita uliopo, na kwamba imejiandaa kukabiliana na senario tofauti za uchokozi wa maadui.
-
Pezeshkian: Mlango wa diplomasia ungali wazi; awaonya maadui
Jul 14, 2025 12:40Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian amesema Jamhuri ya Kiislamu inaamini kuwa dirisha la diplomasia bado liko wazi na kwamba nchi hii itatumia uwezo wake wote wa kisiasa kusonga mbele katika njia hii.
-
Iran: Tutatoa jibu mwafaka iwapo tutarejeshewa vikwazo vya UN
Jul 14, 2025 11:21Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, Esmaeil Baghaei amesema jaribio lolote la kuanzisha kile kinachoitwa utaratibu wa kurudisha vikwazo vya Umoja wa Mataifa dhidi ya taifa hili ni sawa na hatua ya makabiliano ambayo itapokea jibu mwafaka kutoka Tehran.
-
Iran: Itibari ya Troika ya Ulaya imeporomoka kwa kuunga mkono uvamizi wa Israel
Jul 14, 2025 10:42Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran anayehusika na masuala ya sheria na kimataifa amesema kuwa Troika ya Ulaya, yaani Ufaransa, Ujerumani na Uingereza zilisambaratisha itibari na uaminifu wao wenyewe kwa kuunga mkono vitendo vya uchokozi vya utawala wa Israel dhidi ya Iran.
-
Jenerali Mousavi: Makombora ya Iran yalikata mikono ya maadui
Jul 14, 2025 09:13Kamanda mkuu wa Jeshi la Iran amevipongeza vikosi vya anga vya nchi hii kwa mashambulio madhubuti ya makombora waliyoyafanya dhidi ya maadui wa taifa hili mwezi uliopita na kuonya kwamba, kosa lolote litakalorudiwa litakabiliwa kwa jibu kali zaidi.
-
Araghchi: Netanyahu 'anaiamuru waziwazi' Marekani cha kufanya katika mazungumzo na Iran
Jul 14, 2025 00:00Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, waziri mkuu wa utawala wa kizayuni wa Israel ameshindwa kufikia lolote kati ya malengo ya vita vya karibuni vya utawala huo ghasibu dhidi ya Iran.
-
Mabalozi wa nchi 28 wakagua jengo la IRIB lililoshambuliwa na jeshi la kizayuni
Jul 13, 2025 12:10Mkuu wa Shirika la Utangazaji la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran (IRIB), Peyman Jebelli, amewapokea mabalozi wanaowakilisha nchi 28 hapa mjini Tehran waliofanya ziara ya kukagua moja ya majengo ya IRIB lililolengwa na shambulio la kigaidi la jeshi la utawala wa kizayuni Israel mwezi uliopita.