-
Pezeshkian apuuzilia mbali vikwazo; asema ni ndoto kuwapigisha magoti Wairani
Sep 29, 2025 23:01Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa maadui wanafanya kila wawezalo kuiwekea vikwazo Iran kwa sababu nchi hii iimekataa kuwapigia magoti na haitakubali kudhalilishwa.
-
Iran: Sekretarieti ya UN imevuka mpaka wa mamlaka yake kutangaza urejeshwaji wa vikwazo
Sep 29, 2025 08:34Iran imepinga vikali taarifa ya Sekretarieti ya Umoja wa Mataifa kwa nchi wanachama kuhusu kutumika tena maazimio yaliyohitimisha muda wake yanayoilenga Jamhuri ya Kiislamu kwa vikwazo.
-
Iran yatoa wito wa kutimuliwa Israel katika soka kutokana na mauaji yake ya kimbari Gaza
Sep 29, 2025 03:54Shirikisho la Soka la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran limetoa wito wa kutimuliwa Israel katika soka kutokana na mauaji yake ya kimbari katika Ukanda wa Gaza.
-
Mkuu wa jeshi la Iran: Tunafuatilia nyendo za adui na tutatoa jibu kali kwa chokochoko yoyote
Sep 29, 2025 03:53Mkuu wa jeshi la Iran amesema kuwa, tunaendelea kumfuatilia adui na tutakabiliana vikali na makosa yoyote kutoka kwake na kuongeza: "Adui anapaswa kutambua kwamba taifa la Iran litakuwa mshindi kwa uwezo wake, nguvu zake na maadili yake ya hali ya juu."
-
Uzalishaji wa bidhaa ambazo msingi wake elimu wapiga hatua nyingine nchini Iran
Sep 29, 2025 03:51Uzalishaji wa bidhaa ambazo msingi wake elimu umepiga hatua nyingine nchini Iran kutoka katika bidhaa bunifu za afya hadi kuboresha usahihi wa vifaa vya uchunguzi.
-
Iran: Wanachama wa UN hawana wajibu wa kuheshimu maazimio batili dhidi ya Tehran
Sep 28, 2025 22:56Iran imesema madai yaliyotolewa na Marekani na nchi za Ulaya kuhalalisha kurejeshwa kwa maazimio ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa dhidi ya nchi hii hayaziwajibishi nchi wanachama wa UN kuzingatia na kuheshimu hati za umoja huo zilizobatilishwa hapo awali.
-
Uganda yazilaani nchi za Magharibi kwa kulitumia Baraza la Usalama kama wenzo wa kuishinikiza Iran
Sep 28, 2025 09:44Waziri wa Mambo ya Nje wa Uganda amelaani kitendo cha nchi za Magharibi kulitumia vibaya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kama wenzo wa kuishinikiza Iran, baada ya baraza hilo lenye wanachama 15 kupiga kura ya kurejesha vikwazo vya "snapback" dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu.
-
Spika Qalibaf: Snapback ni batili, Iran itajibu mapigo
Sep 28, 2025 08:15Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran), Mohammad-Baqer Qalibaf amepinga uamilishaji wa utaratibu wa snapback wa kurejeshewa Iran vikwazo, na kuitaja hatua hiyo kuwa ni kinyume cha sheria; huku akisisitiza kuwa Jamhuri ya Kiislamu haina wajibu wa kuheshimu uamuzi huo ulioshinikizwa na Troika ya Ulaya.
-
Kwa nini Iran inaona utaratibu wa snapback kuwa hauna uhalali wa kisheria?
Sep 28, 2025 07:43Seyyed Abbas Araghchi Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza katika barua yake kwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kwamba: Hatua ya Marekani na Troika ya Ulaya ya kurejesha maazimio ya awali ya Baraza la Usalama dhidi ya Iran haina msingi wa kisheria wala kisiasa na haikubaliwi na Tehran.
-
Kamanda wa Iran: Uchokozi wowote dhidi yetu utajibiwa haraka
Sep 28, 2025 07:32Kamanda Mkuu wa Jeshi wa Iran, Meja Jenerali Amir Hatami amesisitiza kuwa, taifa hili limejiweka sawa na tayari kutoa jibu zito na la haraka dhidi ya vitisho na vitendo vyovyote vya uhasama vya maadui dhidi yake.