-
Pezeshkian: Umoja wa mataifa ya Kiislamu ni wajibu wa kidini na kistratajia
Jun 05, 2025 03:24Rais Masoud Pezeshkian wa Iran, amesema kuwa Jamhuri ya Kiislamu inatazama umoja na mshikamano miongoni mwa mataifa ya Kiislamu kuwa ni wajibu wa kidini na wa kimkakati.
-
Trump na matakwa ya kupindukia kwa Iran: Je, Washington inataka kufikia makubaliano au kutwisha matakwa?
Jun 05, 2025 00:45Rais Donald Trump wa Marekani amekariri matakwa ya kupindukia mipaka ya Washington kuhusu mpango wa amani wa nyuklia wa Iran kwa ajili ya kufikiwa mapatano ya pande mbili.
-
Jeshi la Iran latoa tahadhari: Tuko tayari kukabiliana na "Makosa ya Kimkakati" ya maadui
Jun 04, 2025 22:46Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran limesisitiza utayari wake kamili wa kukabiliana na vitendo vyovyote vya uchokozi au makosa ya kimkakati kutoka kwa maadui wa taifa la Iran, kwa wakati wowote na kwa kiwango chochote.
-
Iran yakataa masharti ya Marekani kwenye mazungumzo ya nyuklia
Jun 04, 2025 22:44Iran imesisitiza haitakubali kamwe masharti yoyote ya kusitisha urutubishaji wa urani, ikisema mafanikio yake ya nyuklia ni matokeo ya miaka mingi ya kujitolea, uwekezaji, na kujenga uwezo wa kitaifa.
-
Mamilioni ya Wairani na Waislamu waadhimisha miaka 36 ya kuaga dunia Imam Khomeini
Jun 04, 2025 11:02Mamilioni ya Wairani kutoka kila tabaka la kijamii, pamoja na idadi kubwa ya Waislamu na wapenda uhuru duniani kote, wameadhimisha kumbukumbu ya miaka 36 tangu kuaga dunia kwa mwanzilishi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Imam Ruhollah Khomeini (Mwenyezi Mungu Amrehemu).
-
Ayatullah Khamenei: Marekani haiwezi kufanya chochote kuhusu mradi wetu wa nyuklia
Jun 04, 2025 03:37Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amesema urutubishaji wa urani ndio ufunguo wa suala la nyuklia la Iran, akipuuzilia mbali pendekezo la Marekani kwa Tehran la kusimamisha kikamilifu urutubishaji wa madini hayo (ya urani).
-
Pezeshkian: Kutumia mabavu na kulazimisha matakwa si kanuni ya mazungumzo
Jun 03, 2025 23:18Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa Iran inakaribisha mazungumzo, lakini msingi wa mazungumzo ya kweli haupaswi kuwa kulazimisha matakwa au kutumia mabavu dhidi ya upande mwingine.
-
Araqchi: Tunaunga mkono umoja wa ardhi ya Lerbanon mkabala wa uvamizi wa Israel
Jun 03, 2025 08:12Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, tunaunga mkono mamlaka ya kujitawala na umoja wa ardhi ya Lebanon.
-
Baqaei: Visiwa vitatu vya Bu Musa, Tomb Kubwa na Tomb Ndogo haviwezi kutenganishika na Iran
Jun 03, 2025 07:44Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Iran ameyatupilia madai yaliyotolewa katika taarifa ya mwisho ya kikao cha Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Baraza la Ushirikiano wa Ghuba ya Uajemi kuhusu visiwa vitatu vya Bu Musa, Tomb Kubwa na Tomb Ndogo ambavyo ni milki ya Iran.
-
Nini madhumuni ya ripoti hasi ya IAEA kuhusu mpango wa amani wa nyuklia wa Iran?
Jun 03, 2025 07:15Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) hivi karibuni ulitoa ripoti yake na "kuelezea wasiwasi wake mkubwa" kuhusu ongezeko la urani iliyorutubishwa hadi asilimia 60 katika hifadhi ya Iran kati ya Februari na katikati ya Mei na kuelezea ushirikiano wa Tehran na ufuatiliaji wa mpango wake wa nyuklia kuwa uko "chini ya kiwango cha kuridhisha."