-
Maneva makubwa ya wanamaji wa SEPAH yanafanyika Lango Bahari la Hormoz
Jan 25, 2025 22:52Maneva makubwa ya kikosi cha Wanamaji cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (SEPAH) yanafanyika katika Ghuba ya Uajemi na katika Lango Bahari la Hormoz.
-
Rais wa Iraq: Iran ni jirani mkubwa na muhimu kwa Iraq
Jan 25, 2025 22:52Rais wa Iraq amesema kuwa, Iran ni jirani mkubwa na muhimu kwa Iraq na kubainisha kwamba, uhusiano kati ya Baghdad na Tehran ni wa kawaida na wa kirafiki.
-
Iran yakanusha tuhuma za Israel za kupeleka silaha Lebanon
Jan 25, 2025 08:05Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa amepuuzilia mbali madai ya Israel kamba Jamhuri ya Kiislamu inasafirisha kimagendo silaha kwenda Lebanon.
-
Afkham: Azimio la Bunge la Ulaya dhidi ya Iran halina msingi wa kisheria
Jan 25, 2025 07:51Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Haki za Binadamu na Masuala ya Wanawake ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema azimio lililopasishwa hivi karibuni na Bunge la Ulaya dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu halina msingi wowote wa kisheria na linaonyesha tabia ya uingiliaji ya chombo hicho.
-
Kwa nini Araqchi ametaja matamshi ya Guterres kuhusu Iran kuwa ni ya kifidhuli?
Jan 25, 2025 05:24Sayyid Abbas Araqchi Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema akijibu hotuba ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kuhusu miradi ya nyuklia ya Iran kwamba: "Kufungamana kwa muda mrefu Iran na mfumo wa kimataifa wa kutoeneza silaha za maangamizi kuko wazi kwa kila mtu."
-
Pezeshkian: Iran na Russia hazitakubali kuburuzwa na maadui
Jan 24, 2025 23:33Rais Masoud Pezeshkian wa Iran amesema kuwa, mapatano kamili ya ushirikiano wa kistratejia kati ya Iran na Russia yanaonyesha kwamba Tehran na Moscow kamwe hazitakubali matakwa ya kupindukia ya maadui, akisisitiza kuwa nchi mbili hizi zitashirikiana kuunda sera zinazotoa kipaumbele kwa masuala ya utulivu, usalama, maendeleo na ustawi wa uchumi katika eneo.
-
Muqawama ndiyo njia pekee ya kupambana na Marekani
Jan 24, 2025 08:35Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyosaliwa leo hapa mjini Tehran amesisitiza kuwa, njia pekee ya kukabiliana na uadui na tamaa za kupindukia za Marekani ni kuendeleza Muqawama.
-
Meja Jenerali Salami: Ushindi wa Gaza unamaanisha ushindi kwa ulimwengu wa Kiislamu
Jan 24, 2025 05:49Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran (SPAH) amesema kuwa, kujiuzulu kwa maafisa wa kijeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel baada ya kumalizika vita vya Gaza ni ishara tosha ya kushindwa kwao katika vita vya Gaza.
-
Rais Pezeshkian: Iran haitasalimu amri kwa vitisho na vikwazo
Jan 24, 2025 03:29Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, taifa hili halitasalimu amri kwa vitisho na vikwazo vya maadui.
-
Kiongozi Muadhamu: Ni muhimu kutoa taswira ya sifa na mienendo ya mashahidi
Jan 24, 2025 00:42Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, kuna umuhimu wa kuonyesha sifa na tabia za mashahidi katika kazi za kitamaduni na sanaa.