-
Rais Pezeshkian awasilisha rasimu ya bajeti katika Bunge la Iran
Dec 23, 2025 13:33Rais Masoud Pezeshkian wa Iran amewasilisha rasimu ya bajeti ya mwaka ujao wa kifedha wa Iran (kuanzia Machi 21, 2026) katika Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran).
-
Meja Jenerali Hatami: Tunafuatilia kwa karibu nyendo za adui
Dec 23, 2025 03:16Kamanda Mkuu wa Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, tunafuatilia kwa karibu hatari na nyendo kwa umakini mkubwa.
-
Mtafiti mwanamke wa Kiirani ashinda tuzo ya utafiti ya COMSTECH ya mwaka 2025
Dec 23, 2025 03:15Mwanamke mtafiti Muirani amechaguliwa kuwa mmoja wa wapokeaji wa Mpango wa Tuzo ya Utafiti kwa Watafiti Vijana Wanawake wa COMSTECH kwa mwaka wa 2025.
-
Baqaei: Uwezo wa kujihami wa nchi si wa kujadiliwa; Vikosi vya ulinzi vimejiandaa kikamilifu kulilinda taifa
Dec 22, 2025 11:29Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa uwezo wa kiulinzi wa nchi hii kimsingi umeratibiwa kwa lengo la kuzuia mashambulizi yoyote ya wavamizi na si suala la kujadiliwa.
-
Meli za kivita za Iran zaelekea Afrika Kusini kushiriki mazoezi ya kijeshi ya BRICS
Dec 22, 2025 07:31Kamanda wa Jeshi la Majini la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesifu “kuongezeka kwa uwepo wa Iran baharini” nje ya eneo la Asia Magharibi, akitangaza kwamba meli kadhaa za kivita za jeshi hilo zinaelekea Afrika Kusini.
-
Mkuu wa Majeshi ya Iran: Israel hutekeleza mashambulizi dhidi ya Wayahudi ili wengine walaumiwe
Dec 22, 2025 07:28Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameonya kuwa utawala wa Israel unatekeleza mashambulizi ya “kujidhuru” dhidi ya jumuiya za Wayahudi maeneo mbali mbali duniani ili kuchochea hofu ya chuki dhidi ya Wayahudi.
-
Iran yatengeneza kifaa cha kugundua saratani ya matiti kwa sekunde 15
Dec 22, 2025 07:28Iran imezindua kifaa kipya cha kusaidia upasuaji wa saratani ya matiti kinachoitwa Cancer Diagnostic Probe (CDP), ambacho kinapunguza muda wa kugundua mipaka ya tishu zilizoathirika kutoka dakika 45 hadi sekunde 15 pekee.
-
Rais Pezeshkian: Ushirikiano wa Iran na EAEU unafungua njia ya kuwa na 'kanda yenye nguvu'
Dec 22, 2025 03:23Rais Masoud Pezeshkian ameulezea ushirikiano wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Umoja wa Kiuchumi wa Ulaya na Asia EAEU kama mkakati wa muda mrefu wa kuimarisha mamlaka ya kitaifa ya kujitawala na kuanzisha kitovu cha nguvu ya kikanda.
-
Iran, Venezuela zalaani 'uharamia' wa Marekani Caribbean
Dec 21, 2025 11:13Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi na mwenzake wa Venezuela, Yvan Gil Pinto wamefanya mazungumzo kwa njia ya simu ambapo wamelaani uwepo wa jeshi la Marekani katika eneo la Caribbean, wakiishutumu Washington kwa kukiuka sheria za kimataifa, na kusisitiza dhamira yao ya kuimarisha ushirikiano wa pande mbili katika kupinga sera za upande mmoja.
-
Brigedia Jenerali Ahmad Vahidi: Utawala wa Israel unaficha kushindwa kwa kutoa vitisho
Dec 21, 2025 03:08Brigedia Jenerali Ahmad Vahidi, Naibu Mkuu wa Majeshi ya Iran, amesema "Israel" inajaribu kuficha kushindwa vikali katika Vita vya Siku Kumi na Mbili kupitia njia ya kutoa vitisho, propaganda za vyombo vya habari na ujanja wa kisiasa.