-
Iran: Dola ovu kabisa la Israel limekaribia mno kushindwa, si kushinda
Sep 09, 2024 22:56Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa, kuendelea jinai za Israel na ndoto zake za kuchupa mipaka katika mazungumzo ya hivi karibuni ya kusitisha mapigano, ni mambo ambayo yanaonesha kuwa utawala huo upo karibu zaidi kushindwa na si kushinda.
-
Kiongozi Muadhamu: Mkono wa adui ni mtupu, tofauti na wanavyojigamba
Sep 09, 2024 11:17Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amezungumzia vita vya kisaikolojia vinavyoendeshwa na maadui ili kuyaletea madhara mataifa huru na kusisitiza kuwa, tofauti na wanavyojigamba, mikono ya maadui ni mitupu na haina chochote cha maana.
-
Ripota Maalumu wa UN ataka kuwekewa vikwazo utawala wa Kizayuni
Sep 09, 2024 07:11Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa anayehusika na suala la haki ya chakula ametaka kuwekewa vikwazo utawala wa Kizayuni kwa jinai unaozoendelea kutekeleza katika Ukanda wa Gaza.
-
Naibu Waziri wa Kazi wa Oman: Iran ni mahala salama kwa wawekezaji wa Oman
Sep 09, 2024 03:22Naibu Waziri wa Kazi wa Oman amesisitiza kuwa Iran ni mahali salama kwa wawekezaji wa Oman kutokana na usalama na miundombinu yake mwafaka.
-
Iran: Hatuna nafasi yoyote katika vita vya Russia na Ukraine
Sep 08, 2024 08:34Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu haina mchango wowote katika vita vinavyoendelea kati ya Russia na Ukraine, na daima imekuwa ikikariri wito wake wa mazungumzo ya kuutafutia ufumbuzi mzozo huo.
-
Rais Pezeshkian wa Iran kuitembelea Iraq katika ziara ya kwanza nje ya nchi
Sep 08, 2024 08:05Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian anatazamiwa kuitembelea Iraq siku ya Jumatano katika safari yake ya kwanza ya nje tangu aingie madarakani.
-
Mkuu wa IRGC: Iran ililenga meli 12 za Israel baada ya meli zake za mafuta kulengwa
Sep 08, 2024 04:40Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) Meja Jenerali Hossein Salami amefichua kuwa Iran ilizilenga kwa mafanikio meli kumi na mbili za Israel baada ya utawala huo kulenga meli za mafuta za Iran katika maji ya kimataifa.
-
Mrusha mkuki wa Iran katika Paralimpiki apokonywa dhahabu kwa kupeperusha bendera ya kidini
Sep 08, 2024 03:31Mwanariadha wa Iran Beit Sayyah, ambaye alinyakua medali ya dhahabu na kuweka rekodi mpya ya Paralimpiki (Olimpiki ya Walemavu) katika kategoria ya F41 ya mchezo wa kurusha mkuki kwa wanaume amepokonywa dhahabu hiyo katika hatua iliyozua utata.
-
Iran yanyakua dhahabu, yashika nafasi ya 9 katika Olympiad ya Kompyuta 2024 nchini Misri
Sep 08, 2024 01:07Wanafunzi wa Iran wamefanya vizuri katika mashindano ya Olympiad ya Kompyuta 2024 nchini Misri na kujishindia medali ya dhahabu, fedha mbili na shaba moja.
-
Iran: Taasisi za kimataifa zina wajibu wa kuzuia jinai za Wazayuni katika Ukingo wa Magharibi
Sep 08, 2024 01:04Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Iran amesema kuwa, nchi na taasisi za kimataifa zina wajibu wa kimaadili, kiutu na kisheria wa kuzuia utawala wa Kizayuni wa Israel kutenda tena jinai za kivita katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.