-
Serikali: Uchaguzi wa rais wa Iran utafanyika ndani ya siku 50
May 20, 2024 04:19Msemaji wa Baraza la Kulinda Katiba ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema baraza maalumu litaundwa kwa ajili ya kuandaa mazingira ya kufanyika uchaguzi wa rais katika kipindi cha siku 50 zijazo.
-
Rais Ebrahim Raisi na ujumbe aliofuatana nao, wafa shahidi katika ajali ya helikopta
May 20, 2024 02:10Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Seyed Ebrahim Raisi na viongozi kadhaa aliofuatana nao wamekufa shahidi katika ajali ya helikopta iliyotokea katika eneo la Varzghan mkoani Azerbaijan Mashariki wakiwa katika kazi ya kuwahudumia na kuwatumikia wananchi.
-
Imethibitishwa: Rais Ebrahim Raisi na wenzake wameaga dunia katika ajali ya helikopta
May 20, 2024 01:20Habari iliyotufikia hivi punde inasema kuwa, imethibitika kuwa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Sayyid Ebrahim Raisi ameaga dunia akiwa na wenzake kadhaa katika ajali ya helikopta iliyotokea jana katika mkoa wa Azarbaijan Kashariki, kaskazini magharibi mwa Iran.
-
Kolivand: Tunakaribia kwenye eneo la ajali ya helikopta ya Rais Ebrahim Raisi
May 19, 2024 23:40Mkuu wa Jumuiya ya Hilali Nyekundu ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametangaza kuwa timu za uokoaji za shirika hilo zinakaribia eneo ilikotokea ajali ya helikopta iiliyokuwa imembeba Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na wenzake katika mkoa wa Azarbaijan Mashariki, kaskazini magharibi mwa Iran.
-
Helikopta ya Rais Ebrahim Raisi haijulikani ilipo, timu za uokoaji zinaendelea kutafuta
May 19, 2024 12:02Habari ambazo hazijathibitishwa zinaripoti kuwa helikopta iliyokuwa imembeba Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imeanguka katika eneo la Jolfa, kaskazini magharibi mwa Iran.
-
Iran yathibitisha imekuwa na mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja na Marekani
May 19, 2024 07:45Ofisi ya uwakilishi ya Iran katika Umoja wa Mataifa imethibitisha kuwa kumekuwepo na mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja kati ya Jamhuri ya Kiislamu na Marekani.
-
Iran inapanga kuongeza mauzo ya bidhaa zake za ulinzi kwa asilimia 50 duniani
May 19, 2024 04:48Afisa wa ngazi za juu wa ulinzi wa Iran amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu inapanga kuongeza mauzo ya bidhaa zake za ulinzi kwa asilimia 50 katika soko la kimataifa.
-
Wanachama wa BRICS wameamua kufuta sarafu ya dola katika miamala ya kibiashara
May 19, 2024 04:44Iran imesema nchi wanachama wa kundi la BRICS la nchi zinazoinukia kiuchumi zimeazimia kufuatilia juhudi za kutupilia mbali sarafu ya dola ya Marekani katika miamala ya kibiashara na kiuchumi.
-
Mkuu wa shirikisho la soka la Iran aondoka kikao cha FIFA kwa sababu ya kushiriki Israel
May 19, 2024 04:34Rais wa Shirikisho la Soka la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran (FFIRI) ametoka nje ya mkutano wa kila mwaka wa shirikisho la soka duniani FIFA, katika hatua ya kuonyesha kuunga mkono Wapalestina wanaouawa kwa umati katika vita vya miezi kadhaa vya Israel dhidi ya Gaza.
-
Kukua pakubwa sekta ya matibabu ya Iran katika kipindi cha miaka 5 ya karibuni
May 19, 2024 00:23Mkuu wa Taasisi ya Wataalamu wa Vifaa Tiba ya Iran ametangaza kuwa sekta ya vifaa tiba ya nchi hii imekuwa kwa kiwango cha asilimia 400 katika miaka mitano ya karibuni.